Je, kuna fidia yoyote ya kulea mtoto wa kusingiziwa?

Je, kuna fidia yoyote ya kulea mtoto wa kusingiziwa?

Sijui huwa mnatumia akili za wapi mimi mwanamke ajifanye kiburi aniambie hivyo ataona anavyoteseka!, chakufanya nikumchukulia ushahidi tu wa maneno yake halafu tulia usifanye chochote! akienda kwenye dawati la kijinsia kulalamika huko ni ataumbuka yeye!, halafu wewe shikilia msimamo tu.

Sidhani kama kuna fidia ya malezi labda ithibitike mtoto si wako ki DNA halafu apatikane baba halali ki DNA, huyu baba halali atatakiwa akulipe ila sidhani kama hiyo sheria ipo!.
vilevile anaweza kukukandia kama ukimpeleka mahakamani anaweza akakuomba risiti za matumizi yote uliyofanya ya mtoto!, maana huo ndo utakuwa kama kielelezo chakuwa ulitumia gharama so, unazo hizo risiti..?😂

by the way kwenye jamii linapokuja swala la familia wanaume huwa hatusikilizwi sana!, ni kama vile hatuna haki!, mwanaume unajitafutia haki mwenyewe na akili za kuishi vizuri ama vibaya ni zakwako mwenyewe!.

wewe ushaambiwa mtoto si wako, basi kusanya ushahidi wa maneno yake then kaa kimya, ukiitwa weka wazi huo ushahidi wausikie, najua anaweza akaomba msamaha wewe sema huna imani tena!.
Na hata kama pesa unayo usikimbilie kupima DNA, maana ipo sheria inawaruhusu madaktari wa DNA kukupa majibu batili pale atakapoona mtoto hana wa kumlea!, hivyo daktari hata akiongopa na ukaja ukagundua baadae kisheria huna chakumfanya!.

Sisi wanaume raha humu duniani tunajipa wenyewe, usitarajie maswala ya familia siku mambo yakigeuka yatakuwa upande wako never!, huwa tunaonekana ni mazumbukuku tu.
fanya vitu kwa utafakari mpana!.
Mtoa mada zingatia hili.
 
Sijui huwa mnatumia akili za wapi mimi mwanamke ajifanye kiburi aniambie hivyo ataona anavyoteseka!, chakufanya nikumchukulia ushahidi tu wa maneno yake halafu tulia usifanye chochote! akienda kwenye dawati la kijinsia kulalamika huko ni ataumbuka yeye!, halafu wewe shikilia msimamo tu.

Sidhani kama kuna fidia ya malezi labda ithibitike mtoto si wako ki DNA halafu apatikane baba halali ki DNA, huyu baba halali atatakiwa akulipe ila sidhani kama hiyo sheria ipo!.
vilevile anaweza kukukandia kama ukimpeleka mahakamani anaweza akakuomba risiti za matumizi yote uliyofanya ya mtoto!, maana huo ndo utakuwa kama kielelezo chakuwa ulitumia gharama so, unazo hizo risiti..?😂

by the way kwenye jamii linapokuja swala la familia wanaume huwa hatusikilizwi sana!, ni kama vile hatuna haki!, mwanaume unajitafutia haki mwenyewe na akili za kuishi vizuri ama vibaya ni zakwako mwenyewe!.

wewe ushaambiwa mtoto si wako, basi kusanya ushahidi wa maneno yake then kaa kimya, ukiitwa weka wazi huo ushahidi wausikie, najua anaweza akaomba msamaha wewe sema huna imani tena!.
Na hata kama pesa unayo usikimbilie kupima DNA, maana ipo sheria inawaruhusu madaktari wa DNA kukupa majibu batili pale atakapoona mtoto hana wa kumlea!, hivyo daktari hata akiongopa na ukaja ukagundua baadae kisheria huna chakumfanya!.

Sisi wanaume raha humu duniani tunajipa wenyewe, usitarajie maswala ya familia siku mambo yakigeuka yatakuwa upande wako never!, huwa tunaonekana ni mazumbukuku tu.
fanya vitu kwa utafakari mpana!.
Sina risiti, lakini miamala niliyokuwa nikimtumia kwenye namba yake nina uhakika nikienda kwenye ofisi za mtandao ninaotumia nitapata statement ya miamala yote niliyokuwa nikiituma kwenda kwenye namba yake. Uzuri namba yake hajawahi kubadilisha, na mimi pia sijawahi kubadilisha
 
Sina risiti, lakini miamala niliyokuwa nikimtumia kwenye namba yake nina uhakika nikienda kwenye ofisi za mtandao ninaotumia nitapata statement ya miamala yote niliyokuwa nikiituma kwenda kwenye namba yake. Uzuri namba yake hajawahi kubadilisha, na mimi pia sijawahi kubadilisha
Utadai vingapi hapa duniani ndugu?Futa mawazo hayo.Jidai tajiri.
 
Sina risiti, lakini miamala niliyokuwa nikimtumia kwenye namba yake nina uhakika nikienda kwenye ofisi za mtandao ninaotumia nitapata statement ya miamala yote niliyokuwa nikiituma kwenda kwenye namba yake. Uzuri namba yake hajawahi kubadilisha, na mimi pia sijawahi kubadilisha
Uchumi wake unahakika unaweza kukulipa hizo gharama kwa muda gani...??
 
Habari zenu wadau!, nahitaji ufafanuzi kidogo hapa, nilikuwa na Girlfriend wangu ambaye alipata ujauzito na kuniambia kwamba ni ujauzito wangu. Tangu hapo niliamua kwa upendo tu kumhudumia katika kipindi chote cha ujauzito hadi alipojifungua. Japo sikuwa naishi nae lakini nilimpatia mahitaji yote aliyokuwa akiniambia. Baada ya mtoto kuzaliwa, niliendelea kumhudumia hadi akafikisha umri wa miaka 10.

Sasa naona mwanamke huyu amebadilika mno na anatumia hiyo kama fursa ya kunikandamiza, maana anadai matumizi ambayo ni makubwa kiasi cha kunifanya nione kabisa ananitumia kwa masilahi yake kwa kisingizio cha mtoto.

Basi baada ya hayo, nikaona suluhisho ni mimi kumchukua huyo mtoto nikae nae, nimhudumie mimi mwenyewe. Lakini mama yake aligoma, kilichofuata hapo ikawa ni migogoro daily.

Wakati migogoro hiyo ikiendelea, ndipo mama wa mtoto ananiambia kuwa huyu sio mtoto wangu, kitu ambacho kimeniuma sana na kunivunja moyo. Nikapatwa na hasira sana

Sasa nimeleta hili suala kwenu wadau mnisaidie, je kuna sheria yoyote ya kudai fidia kwa gharama zote nilizotoa kumlea huyu mtoto kwa kipindi chote hicho, hadi kufikia hapo ambapo mama yake anadai kuwa sio mtoto wangu?? Na kama ipo sheria ,je utaratibu upoje??
Kiislam mtoto wa nje ya ndoa ni ntoto wa uzinzi ankuwa ni wa mama tu.

Uislam mwema sana. Simple.
 
Sijui huwa mnatumia akili za wapi mimi mwanamke ajifanye kiburi aniambie hivyo ataona anavyoteseka!, chakufanya nikumchukulia ushahidi tu wa maneno yake halafu tulia usifanye chochote! akienda kwenye dawati la kijinsia kulalamika huko ni ataumbuka yeye!, halafu wewe shikilia msimamo tu.

Sidhani kama kuna fidia ya malezi labda ithibitike mtoto si wako ki DNA halafu apatikane baba halali ki DNA, huyu baba halali atatakiwa akulipe ila sidhani kama hiyo sheria ipo!.
vilevile anaweza kukukandia kama ukimpeleka mahakamani anaweza akakuomba risiti za matumizi yote uliyofanya ya mtoto!, maana huo ndo utakuwa kama kielelezo chakuwa ulitumia gharama so, unazo hizo risiti..?[emoji23]

by the way kwenye jamii linapokuja swala la familia wanaume huwa hatusikilizwi sana!, ni kama vile hatuna haki!, mwanaume unajitafutia haki mwenyewe na akili za kuishi vizuri ama vibaya ni zakwako mwenyewe!.

wewe ushaambiwa mtoto si wako, basi kusanya ushahidi wa maneno yake then kaa kimya, ukiitwa weka wazi huo ushahidi wausikie, najua anaweza akaomba msamaha wewe sema huna imani tena!.
Na hata kama pesa unayo usikimbilie kupima DNA, maana ipo sheria inawaruhusu madaktari wa DNA kukupa majibu batili pale atakapoona mtoto hana wa kumlea!, hivyo daktari hata akiongopa na ukaja ukagundua baadae kisheria huna chakumfanya!.

Sisi wanaume raha humu duniani tunajipa wenyewe, usitarajie maswala ya familia siku mambo yakigeuka yatakuwa upande wako never!, huwa tunaonekana ni mazumbukuku tu.
fanya vitu kwa utafakari mpana!.
Hiyo sheria ya Daktari kuruhusiwa kudanganya majibu ikoje. Toa ufafanunuzi kidogo
 
Hiyo sheria ya Daktari kuruhusiwa kudanganya majibu ikoje. Toa ufafanunuzi kidogo
haipo mkuu!, nani akuwekee wazi ili msiamini..?
serikali haitaki watoto wa mitaani huko mitaani inajiepushia mizigo,majambazi na vibaka wanajua wakikupea wewe utamlea kama mwanao na kwa asilimia nyingi malezi yake yatakuwa kwa usahihi kuliko kumuachaniza!.. hii inaitwa akili kichwani si kila kitu uwekewe uchi..😂
 
Sijui huwa mnatumia akili za wapi mimi mwanamke ajifanye kiburi aniambie hivyo ataona anavyoteseka!, chakufanya nikumchukulia ushahidi tu wa maneno yake halafu tulia usifanye chochote! akienda kwenye dawati la kijinsia kulalamika huko ni ataumbuka yeye!, halafu wewe shikilia msimamo tu.

Sidhani kama kuna fidia ya malezi labda ithibitike mtoto si wako ki DNA halafu apatikane baba halali ki DNA, huyu baba halali atatakiwa akulipe ila sidhani kama hiyo sheria ipo!.
vilevile anaweza kukukandia kama ukimpeleka mahakamani anaweza akakuomba risiti za matumizi yote uliyofanya ya mtoto!, maana huo ndo utakuwa kama kielelezo chakuwa ulitumia gharama so, unazo hizo risiti..?😂

by the way kwenye jamii linapokuja swala la familia wanaume huwa hatusikilizwi sana!, ni kama vile hatuna haki!, mwanaume unajitafutia haki mwenyewe na akili za kuishi vizuri ama vibaya ni zakwako mwenyewe!.

wewe ushaambiwa mtoto si wako, basi kusanya ushahidi wa maneno yake then kaa kimya, ukiitwa weka wazi huo ushahidi wausikie, najua anaweza akaomba msamaha wewe sema huna imani tena!.
Na hata kama pesa unayo usikimbilie kupima DNA, maana ipo sheria inawaruhusu madaktari wa DNA kukupa majibu batili pale atakapoona mtoto hana wa kumlea!, hivyo daktari hata akiongopa na ukaja ukagundua baadae kisheria huna chakumfanya!.

Sisi wanaume raha humu duniani tunajipa wenyewe, usitarajie maswala ya familia siku mambo yakigeuka yatakuwa upande wako never!, huwa tunaonekana ni mazumbukuku tu.
fanya vitu kwa utafakari mpana!.
Dah umeshusha SoMo Pana sana, huo ndo uhalisia wa mwanaume ktk familia na jamii. Ukitegemea furaha kutoka Kwa familia au jamii utapata shida sana, vita ya mwanamke na mwanaume ktk mahusiano mara nyingi mwanamke hupatiwa udhindi hata kama yeye ndo mwenye makosa, maaumizi sahihi ya mwanaume ni mhimu sana vinginevyo unawezajikuta ama unapoteza uhai wako au wa mtu mwingine na ikagharimu maisha Yako yote. Ushauri mzuri kwa mleta mada aachane na hiyo vita na mwanamke huyo na mtoto wake aendelee na maisha yake.
 
Mkuu hii kitu inatia hasira sana, usipojizuia unaweza jikuta hata umeua mtu. Imagine nimehudumia kwa kipindi chote hicho, alaf sasahivi anakuja kuniambia kuwa mtoto sio wangu, tena ananijibu kwa nyodo kabisa😡😡
Panga jipya pamoja na kulinoa, haizidi 15,000/-
 
Habari zenu wadau!, nahitaji ufafanuzi kidogo hapa, nilikuwa na Girlfriend wangu ambaye alipata ujauzito na kuniambia kwamba ni ujauzito wangu. Tangu hapo niliamua kwa upendo tu kumhudumia katika kipindi chote cha ujauzito hadi alipojifungua. Japo sikuwa naishi nae lakini nilimpatia mahitaji yote aliyokuwa akiniambia. Baada ya mtoto kuzaliwa, niliendelea kumhudumia hadi akafikisha umri wa miaka 10.

Sasa naona mwanamke huyu amebadilika mno na anatumia hiyo kama fursa ya kunikandamiza, maana anadai matumizi ambayo ni makubwa kiasi cha kunifanya nione kabisa ananitumia kwa masilahi yake kwa kisingizio cha mtoto.

Basi baada ya hayo, nikaona suluhisho ni mimi kumchukua huyo mtoto nikae nae, nimhudumie mimi mwenyewe. Lakini mama yake aligoma, kilichofuata hapo ikawa ni migogoro daily.

Wakati migogoro hiyo ikiendelea, ndipo mama wa mtoto ananiambia kuwa huyu sio mtoto wangu, kitu ambacho kimeniuma sana na kunivunja moyo. Nikapatwa na hasira sana

Sasa nimeleta hili suala kwenu wadau mnisaidie, je kuna sheria yoyote ya kudai fidia kwa gharama zote nilizotoa kumlea huyu mtoto kwa kipindi chote hicho, hadi kufikia hapo ambapo mama yake anadai kuwa sio mtoto wangu?? Na kama ipo sheria ,je utaratibu upoje??
Ukienda mahakamani watakuuliza je una risiti zinazoonyesha gharama za matunzo ya mtoto?kama huna basi utakosa ushahidi na uthibitisho na kesi itatupiliwa mbali na kuonekana haina mashiko.
Cha msingi potezea tu huyo mtoto yeye hajui lolote na ugomvi wenu yeye haumuhusu
 
Amekomaa kabisa anasema " mtoto sio wako ,kama unabisha kapime DNA"... yaan kiufupi alikuwa anafanya kusudi kuniingizia gharama huku akijua mtoto sio wangu. Pia japo mtoto hajafanana na mimi kwa sura, ilikuwa ngumu mimi kumtilia shaka, mana mtoto kafanana na mama yake copy kabisa,, so nikaona kawaida tu
Hiyo bado siyo uhakika, anawez kusema hivyo ikawa ni wako. Labda hakutaki tena katika maisha yake. Komaa kapime DNA uwe na amani.
 
Back
Top Bottom