Je, kuna madhara gani kiafya usipofanya mapenzi kwa muda mrefu?

 
si kweli nawaza kama hajatumia hicho kikojoleo chake hata kama anakishika kila siku ataona kawaida maana hakijatumika. Atabaki na wasiwasi maana anaweza asijue kibamia kinalinganaje. Bora sie ke hili tatizo hatuna. Usipinge tena labda uweke hapa picha.
 
Inawezekana tena sana,Mimi nimekuja kujihusisha nikiwa na miaka 29,sikupata tatizo lolote kipindi hicho chore.malezi na mazingira yana nafasi kubwa kukushape
 
THE WAY U USE IT,IT BECOME STRONGER ONE AND VICE VERSA IT PERISHED
 
Duuuhh Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…