Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Rais si Mwajiriwa wa Mwananchi, na yeye ndo Mwananchi sasa!!Mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais si Mwajiriwa wa Mwananchi, na yeye ndo Mwananchi sasa!!Mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa
Wenye hayo majibu hawako JFKuna mbishano hapa nilipo mpaka wat u wanaweka hela kujua nani analipwa zaidi ya mshahara was rais ukiacha posho. So anaejua please ataje wakuuu gani hao
Naomba uniambie Ni Section no. Ngapi niangalie nikapanue mawazo kidogo mkuu.Kwa mujibu wa KATIBA mshahala wa jaji aufahamiki wala aujadiliwi...
Ulikua unaamini story za Stone khs Mishahara wake?Raisi analipwa milioni 9 wakati wabunge wanalipwa milioni 12
Muuliza swali ni mwananchi na ndio mwajiri wa mwanasiasaMkuu unataka kujua ili kusaidiwa nini. Mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa
mbongo ni creature ya kipekee sana. tayari umeshaongeza swali lako
Rais 9.5millMsaada please kwa anaejua. A cha na na posho Bali mshahara tuuu
Perday?Raisi analipwa milioni 9 wakati wabunge wanalipwa milioni 12
Mkurugenzi wa CrdbMsaada please kwa anaejua. A cha na na posho Bali mshahara tuuu
Acha kubishania mambo ya kijinga.Kuna mbishano hapa nilipo mpaka wat u wanaweka hela kujua nani analipwa zaidi ya mshahara was rais ukiacha posho. So anaejua please ataje wakuuu gani hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan rais azidiwe na huyo anae mteua? Lol.Wapo wengi tu wanamzidi Rais mshahara akiwemo gavana wa BoT
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raisi analipwa milioni 9 wakati wabunge wanalipwa milioni 12
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rais 9.5mill
DG/CEO Bandari, TRA, TBS, Tanesco 15mill
Hebu fafanua kwani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkurugenzi wa Crdb
Ufafanuzi wa figure auHebu fafanua kwani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rais wa Tanzania analipwa Tsh 36m+allowances kama zote kwa mwezi.Raisi analipwa milioni 9 wakati wabunge wanalipwa milioni 12
Ndyo. [emoji23][emoji23][emoji23]Ufafanuzi wa figure au