Mwajiri wa Rais ni nani?Mkuu unataka kujua ili kusaidiwa nini. Mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwajiri wa Rais ni nani?Mkuu unataka kujua ili kusaidiwa nini. Mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Utaanguka nikiandika, kuna watu wanakula neema za nchii hii, we endelea kushindia makande [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ndyo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Uwongo!,uwongo!,huo ni uongo bhana.Raisi analipwa milioni 9 wakati wabunge wanalipwa milioni 12
Mshahara ni kiini macho.... Tazama kichwa Cha treni kidogo... Nyuma kinavuta mabehewa lukuki !!!! Wapo wenye mishahara midogo lakini... Nyuma wamefungasha zigo kama mwanamke asili wa kibantu, na wengine mishahara inaonekana mikubwa lakini nyuma wamepigwa pasi ... Au wako kama nyoka !!Rais 9.5mill
DG/CEO Bandari, TRA, TBS, Tanesco 15mill