Je, kuna Mkazi yeyote yule wa Jimbo la Kawe aliyeanza kuzishuhudia ahadi lukuki za maendeleo za Mbunge Askofu Gwajima?

Tapeli la injili hilo kwenye siasa ndo litawaliza balaaa
 
Huyu mh. Mbunge wa kawe watu wanamtafuta Kawe sokoni aliahidi ujenzi wa soko na barabara kuelekea kanisa la KKKT lakini wapi hata kupita kusalimia haonekani nadhani ataonekana tena 2025.

Watu wa Makonde Kwenye shule karibu nne wanamtafuta awaeleze ni kwanini Lami iliishia Shopperz tu ilihali nao ni walipakodi wazuri lakini lami haikuendelea mpaka makonde haonekani. Watu wamtafuta wamuulize ni kwanini Lami inaelekea kwa Lukuvi na Chibu dangote lakinj mitaa yenye mabepari ya kina Temu lami haikupigwa na ndio walipa kodi wakubwa haonekani

Ccm mlikosea sana kumsimika huyu mchunga kondoo wa bwana kwani jimbo lake watu wanamuulizia na barua,email wanamtumia mheshimiwa vipi vyuo vya uvuvi, miundombinu mbona kimya hata greda la manispaa lipite tuu lichonge barabara yeye kajichimbia Dar au dodoma . Mh mtume hata Metuselah aje aseme na wananchi wenyeviti wanafunga ofisi wanaogopa maswali magumu.
 
Mimi hapa nipo kwenye foleni ya kusubiri boti ya kwenda kuvua bahari kuu...
 
Huyo kichaa akiingia bunge la vichaa wenzie sababu alishaonekana anayo kichaa kinachofaa kwa enzi ya bwana yule. Kwa sasa he is irrelevant.
 
Niko BIRMINGHAM HAPA nimefika jana. Asante Msukuma Gwajima
 
Kama anapiga watu kamba kwa nini mulimchaguwa.
Pamoja na makosa ya kibinadamu aliyofanya Halima Mdee tukubali kwamba yeye Halima ni best kuliko Askofu na wabunge wengine wa upande ule.
 
Weka sawa hapo mkuu
 
Kwa njia Ile Ile haramu.
Kama vile Marehemu alivyongia 2015 kwa haramu na 2020 akarudi kwa haramu.
Tabia hii ni tabia halisi ya CCM
Kumbuka uchaguzi wa serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu.
Iko sawa?
 
Kuwa na subira mkuu, kama sio Marekani basi hata kwa Mpalange tu ukipelekwa inatosha.
 
Kwenye katiba mpya napendekeza kuwepo na kipengele cha wagombea kufanyiwa uchunguzi yakinifu kuhusu utimamu wa akili pia wasiishie kwenye miili tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…