pascak
Member
- Nov 4, 2022
- 8
- 2
Boss huyo ni mdudu na anaweza sababisha magonjwa mbalimbali kutokana na sehemu ya mwili aliyopata nafasi ya kukaa, mpaka kumjua kuwa ni yeye basi watu wameshafanya kipimo cha culture na nadhani kwa kumalizia na sensitivity inaweza kuleta majibu sahihi ya dawa inayoweza tumika kumtibu kutokana na ugonjwa husika
Labda taja ugonjwa husika
Labda taja ugonjwa husika