Boss huyo ni mdudu na anaweza sababisha magonjwa mbalimbali kutokana na sehemu ya mwili aliyopata nafasi ya kukaa, mpaka kumjua kuwa ni yeye basi watu wameshafanya kipimo cha culture na nadhani kwa kumalizia na sensitivity inaweza kuleta majibu sahihi ya dawa inayoweza tumika kumtibu kutokana na ugonjwa husika
Labda taja ugonjwa husika
Kwene uume, mgongo na kifua….
Kuna tiba nataka nitume Ila nashindwa kutuma hiyo picha na maelekezo ya tiba ya donda ndugu, najaribu kutuma siwezi nashindwa yaanimdudu balaa
Kuna tiba nataka nitume Ila nashindwa kutuma hiyo picha na maelekezo ya tiba ya donda ndugu, najaribu kutuma siwezi nashindwa yaani
Nashindwa tu, sio net siwezi tu kila nikijaribu naona sio.Itakua unashida ya netwok
Nashindwa tu, sio net siwezi tu kila nikijaribu naona sio.
Uyo s. Aureus mbona anatibika mkuu labda hujapata antibiotic konky au una resistance ya dawa
Yupo sehemu Gani mdudu...? (Ni kidonda ama UTI sugu ama mahoma ya damuni ama nn??)
Na nani alikwambia una MRSA?
dawa zipi ulitumia kabla ya kupewa vancomycin?
Dawa hizo ulitumia baada ya kufanya kipimo Cha culture and sensitivity?
au ushapona? maana naona upo ila haurespond chochote...
jishushe andika katika lugha ambayo kila mtu atakuelewa
hata kama gonjwa halina jina kwa lugha yetu jaribu kuufafanua ugonjwa
Huyu Stafilokukus urius ni balaa nyie mnaosema anatibika kirahisi hamumjui vyema uyo jamaa
Ndo maana haponi, sababu ya ujuaji