Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kwa Raha zangu, wenye wivu mjinyongeUshakamatwa ww huruki....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Raha zangu, wenye wivu mjinyongeUshakamatwa ww huruki....
Hee kwani hujui utaratibu kuwa ukikubali kuolewa shurti ulale bila kyupi?😅 Kuliwa popote na muda wowote ni haki ya msingi ya mume.Kila unapotaka hiyo vipi? Hakuna kingine unafanya zaidi ya kutaka tu[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Khaaah!!Hee kwani hujui utaratibu kuwa ukikubali kuolewa shurti ulale bila kyupi?[emoji28] Kuliwa popote na muda wowote ni haki ya msingi ya mume.
Ndo uelewe hilo kuanzia sasa!Khaaah!!
Hapana kwakweli, fanyeni kazi muwe busy mchoke[emoji1787][emoji1787]Ndo uelewe hilo kuanzia sasa!
Hio pia ni kazi kama kazi zingine, mkikaa vilingeni mnatusema oh hajanigusa mwezi sasa😅😅😅Hapana kwakweli, fanyeni kazi muwe busy mchoke[emoji1787][emoji1787]
Ni kweli 40+ uchepukaji unapungua Sana hata ikitokea kwa mwaka haizidi mara kumi hasa kipindi hiki Cha uchumi wa Kati!Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.
Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
Wapo wanaoacha kabisa, na wanawake tuliokomaa kimtizamo tunapenda wanaume umri huo maana shughuli wanaiweza na kiasi chake wanao uelewa wa mahusianoNi kweli 40+ uchepukaji unapungua Sana hata ikitokea kwa mwaka haizidi mara kumi hasa kipindi hiki Cha uchumi wa Kati!
Ukiwa na mwanamke anaye jua kuutumia muda wake na ni msafi inawezekana!Wapo wanaoacha kabisa, na wanawake tuliokomaa kimtizamo tunapenda wanaume umri huo maana shughuli wanaiweza na kiasi chake wanao uelewa wa mahusiano
Khaaah!! Hatutawasengenya tena.Hio pia ni kazi kama kazi zingine, mkikaa vilingeni mnatusema oh hajanigusa mwezi sasa[emoji28][emoji28][emoji28]
Ina maana unaogopa mdudu kiasi hiki😅Khaaah!! Hatutawasengenya tena.
Hudumie wanawake single sio wake za watu!Zizini kunakuwaga na uwiano wa dume moja la ng'ombe majike manne hadi matano na dume anawahudumia wote so hyo ni nature mwanaume hachepuki Bali ni LAW OF NATURE kuwahudumia wanawake wengi kadir tuwezavyo lakini wanawake si ruhusa na wakijarbu ndo chanzo cha magonjwa ya ngono
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ina maana unaogopa mdudu kiasi hiki[emoji28]
Hapa umeongea broo sijui kwa nini wake za watu hua wanajirahisisha lakini tunajitahid mimi na masingo boiz wenzangu ukizingatia wanawake wazuri na wenye pesa wapo kibaoHudumie wanawake single sio wake za watu!
Hata sisi sio nature yetu kuwa na dume moja tu.Zizini kunakuwaga na uwiano wa dume moja la ng'ombe majike manne hadi matano na dume anawahudumia wote so hyo ni nature mwanaume hachepuki Bali ni LAW OF NATURE kuwahudumia wanawake wengi kadir tuwezavyo lakini wanawake si ruhusa na wakijarbu ndo chanzo cha magonjwa ya ngono
Wake za watu wanakuwa washachoshana huko ndoani wanatafta relief nje ya ndoa!Hapa umeongea broo sijui kwa nini wake za watu hua wanajirahisisha lakini tunajitahid mimi na masingo boiz wenzangu ukizingatia wanawake wazuri na wenye pesa wapo kibao
😂😂 Nlimsikilza Chriss Mauki akizungumzia saikolojia ya mwanamke katka mahusiano huwa wanapenda mwanaume bila sababu na hyo kuwafanya mmoja tu atawale akili zao tofauti na wanaume ambao hua tunapenda huyu kwa sababu ya Umbo, Yule sura kazuri, Yule kifua chenye mvuto, yaan ili mradi fujo tu kuanzia hapo sasa ndo Tunaanza yetuHata sisi sio nature yetu kuwa na dume moja tu.
Mmh ,mbona mi always nina sbb? Mauki anazingua[emoji23][emoji23] Nlimsikilza Chriss Mauki akizungumzia saikolojia ya mwanamke katka mahusiano huwa wanapenda mwanaume bila sababu na hyo kuwafanya mmoja tu atawale akili zao tofauti na wanaume ambao hua tunapenda huyu kwa sababu ya Umbo, Yule sura kazuri, Yule kifua chenye mvuto, yaan ili mradi fujo tu kuanzia hapo sasa ndo Tunaanza yetu
Hili in tatizo,ila bado sielewi shida ni nini?Wanawake wengi sikuhizi hawawezi kutoa huduma pale unapohitaji! Aidha akuzungushe wee akukate mood kabisa. We have a very short term endurance katika haya maswala. Ukiwa ignored 2-3 times in a row you actually start seeking for relief outside