Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Wanaosababisha uchepuke ni mkeo,mfano,anaanza kukupa mashariti ya haki yako unyumba anakupa cku anayo jickia,sasa kama mwanaume kutulza makelele unaamua kutafuta mchepuko ambao unapo taka mda wowote unapata
 
Huyo atakayeniita hanisi ahakikishe ni pisi kali na niletee niichakate then arudishe majibu hapa.
[emoji16]

Kwahiyo kumbe pisi kali ikikuletea unaichakata, na bado unajidai huchepuki…funny uh..!!
 
Sisi wajasiriamali wa ufugaji wa kuku tunashauriwa jogoo moja kwa mitetea kumi, so applies to us humans[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa Raha zangu, wenye wivu mjinyonge
Haya! lkn ndo ushafinywa.......
umekutana na a big time player....
mtoto ushadanganywa........
kwamba 1+1=11 na sio 2.....
Mpe hongera mumeo.......
manake na Mimi nakitamani kipawa cha usanii kama chake lkn sijafikia bado
mtoto kapigwa kamba huyu mpaka haoni
 
Haya! lkn ndo ushafinywa.......
umekutana na a big time player....
mtoto ushadanganywa........
kwamba 1+1=11 na sio 2.....
Mpe hongera mumeo.......
manake na Mimi nakitamani kipawa cha usanii kama chake lkn sijafikia bado
mtoto kapigwa kamba huyu mpaka haoni
Endelea kuteseka, 😏😏😏
 
Ngoja na mm niteme kidogo.
Kutochepuka inawezekana, since nimeoa nilichepuka siku moja 2019 dec hivi, hio siku sitokaa nilisahau, nilikosa raha, nilimuonea huruma mke wangu, nilikua na utaratibu kwa kusali kila jioni na familia yangu, karibu miezi miwili yote sikuweza tena. Nilikua na hatia sana. Since then nikajiapiza sitokaa nifanye vile. Na sijawahi tena, simaanishi sitamani lkn namshukuru Mungu ananisaidia kushinda vishawishi vyote.

By experience, ukiwa na mchepuko huwezi kufurahia ndoa yako, utakua hujiamini, matumizi makubwa ya pesa, ratiba kubadirika kabisa, na wakati mwingine mgonjwa. Raha ya tendo la ndoa kwa mkeo litapungua, huwez kumfurahia coz utakua unamfananisha na show za nje, na hawa wanawake wengi wakijua umeoa utapewa vitu utasahau familia. Watoto wako watateseka.

Ewe Mwanaume, umebeba vision na future ya familia yako (watoto), kuchepuka kunakuletea laana, kukupunguzia kipato na migogoro katika familia.

In God we trust.
 
Ngoja na mm niteme kidogo.
Kutochepuka inawezekana, since nimeoa nilichepuka siku moja 2019 dec hivi, hio siku sitokaa nilisahau, nilikosa raha, nilimuonea huruma mke wangu, nilikua na utaratibu kwa kusali kila jioni na familia yangu, karibu miezi miwili yote sikuweza tena. Nilikua na hatia sana. Since then nikajiapiza sitokaa nifanye vile. Na sijawahi tena, simaanishi sitamani lkn namshukuru Mungu ananisaidia kushinda vishawishi vyote.

By experience, ukiwa na mchepuko huwezi kufurahia ndoa yako, utakua hujiamini, matumizi makubwa ya pesa, ratiba kubadirika kabisa, na wakati mwingine mgonjwa. Raha ya tendo la ndoa kwa mkeo litapungua, huwez kumfurahia coz utakua unamfananisha na show za nje, na hawa wanawake wengi wakijua umeoa utapewa vitu utasahau familia. Watoto wako watateseka.

Ewe Mwanaume, umebeba vision na future ya familia yako (watoto), kuchepuka kunakuletea laana, kukupunguzia kipato na migogoro katika familia.

In God we trust.
Be blessed
 
AMEN
Ngoja na mm niteme kidogo.
Kutochepuka inawezekana, since nimeoa nilichepuka siku moja 2019 dec hivi, hio siku sitokaa nilisahau, nilikosa raha, nilimuonea huruma mke wangu, nilikua na utaratibu kwa kusali kila jioni na familia yangu, karibu miezi miwili yote sikuweza tena. Nilikua na hatia sana. Since then nikajiapiza sitokaa nifanye vile. Na sijawahi tena, simaanishi sitamani lkn namshukuru Mungu ananisaidia kushinda vishawishi vyote.

By experience, ukiwa na mchepuko huwezi kufurahia ndoa yako, utakua hujiamini, matumizi makubwa ya pesa, ratiba kubadirika kabisa, na wakati mwingine mgonjwa. Raha ya tendo la ndoa kwa mkeo litapungua, huwez kumfurahia coz utakua unamfananisha na show za nje, na hawa wanawake wengi wakijua umeoa utapewa vitu utasahau familia. Watoto wako watateseka.

Ewe Mwanaume, umebeba vision na future ya familia yako (watoto), kuchepuka kunakuletea laana, kukupunguzia kipato na migogoro katika familia.

In God we trust.
 
Kwani kuchepuka inawahusu hata wasio kwenye ndoa? Fafanua kwanza hapo ili tujipime.
Yaani unaweza ukawa hujaoa lakini una mpenzi mmoja ambaye mahusiano yenu yako wazi lakini bado unapiga pembeni na hao wa pembeni hawajulikani....bado ni kuchepuka pia.... Mungu atusamehe wanaume
 
Habari yako ndugu msomaji.

Hili ni swali la kizazi cha leo, watu wengi wamelijibu kutokana na hisia zao na sababu mbali mbali zisizo na ukweli. Leo tulijibu katika uhalisia wake.

Kabla hujajibu lazima ujue hili, nini kinapelekea wanaume kuwasaliti wapenzi wao? Tuanze na mzizi.

Ukweli ni kwamba, japokuwa wapo wanaume waliojengewa au kujijengea tabia hii, kinachomfanya mwanaume achepuka ni kukosa CONTROL dhidi ya asili yake ambayo ni HUNTERS/WAWINDAJI. Hii ni asili yetu kama wanaume, kuwawinda wanawake kwa kila namna ili kuwapata kimapenzi.

Baada ya kuelewa chanzo, sasa utanielewa nikisema SWALI halitakiwi kuwa NI KWELI HAKUNA MWANAUME ASIE CHEPUKA? bali linatakiwa liwe JE, INAWEZEKANA MWANAUME ASICHEPUKE?. Ukweli ni kwamba WAPO WANAUME WASIO CHEPUKA na INAWEZEKANA KABISA.

Yafuatayo ni mambo matatu yanayoweza mfanya mwanaume aitawale asili yake na hatimae kutochepuka kabisa:

KUWA NA MALENGO:

Hapa simaanishi zile ndoto zisizo na kichwa wala mkia, mfano unasema malengo yako ni kuwa na pesa nyingi! Sasa Ukiwa na hela ndio utafahamika kama nani? Ninaposema malengo namaanisha lile kusudi la wewe kuwepo duniani. Usiniambie ulizaliwa ili tu uwe na pesa.

Hakuna kiumbe hatari zaidi duniani kama mwanaume asie na malengo. Huyu ni sawa na risasi iliyokosa muelekeo.

Ukiwa na malengo, utakuwa na muelekeo katika maisha na hutakuwa na muda wa kupoteza kuwinda winda wanawake.

2. MARAFIKI:

Huji kukuta swala anatembea msafara mmoja na Simba, labda ajichanganye na nyumbu. Wazungu wanasema,

"Show me your friends and I will tell you who you are."

Ukiwa na mke au mpenzi basi kaa na rafiki wenye wake/wapenzi pia. Ukikaa na nyumbu au wanaokula majani wakati wewe unakula nyama mwisho wa siku utajikuta unakuwa kama wao. Mwanaume mwenye malengo hakai vijiweni kupiga soga hata sikumoja. Vijiwe wanakaaga swala na nyumbu sio masimba dume embu jiheshimu. Asilimia kubwa vijiwe vinamfanya mwanaume atamani kufanana au kuwazidi wenzake ambao wanatembea na wanawake wanne kwa wiki! Maranyingi hizi ndio story za vijiweni, story zinazohamasisha kuwatumia wanawake kimapenzi; ukikaa nao utaishia kuingia kwenye hii ligi tu!

3. TAFUTA ROLE MODEL/MENTOR:

Hili ndio kosa wanalolifanya wanaume wengi sana. Hakuna kitu muhimu kama kuwa na mtu unaejifunza toka kwake na anaeweza kukushauri. Wanaume wengi hawajui kuchagua mentors/role models hivyo unakuta mtu anauwezo wa kibiashara lakini role model wake ni CHRIS BROWN! wapi na wapi???

Tafuta role model anaeweza kufanya lile unalofanya wewe. Na awe kafanikiwa katika hilo. Sio lazima awe perfect lakini katika yale unayovutiwa kuyafanya awe ameyamudu.

Namna ya kumchagua role model:

Usiangalie umri wakeHakikisha haishi maisha ya kuigizaAwe na uwezo wa kukusaidia katika unalojifunza toka kwakeAwe na mafanikio katika unalojifunza toka kwakeAwe na sifa ya uongoziSio lazima awe ndugu au mtu wa karibu. Hata akiwa taifa tofauti ni sawa.View attachment 1880033
Wapo, wale walioolewa
 
Habari yako ndugu msomaji.

Hili ni swali la kizazi cha leo, watu wengi wamelijibu kutokana na hisia zao na sababu mbali mbali zisizo na ukweli. Leo tulijibu katika uhalisia wake.

Kabla hujajibu lazima ujue hili, nini kinapelekea wanaume kuwasaliti wapenzi wao? Tuanze na mzizi.

Ukweli ni kwamba, japokuwa wapo wanaume waliojengewa au kujijengea tabia hii, kinachomfanya mwanaume achepuka ni kukosa CONTROL dhidi ya asili yake ambayo ni HUNTERS/WAWINDAJI. Hii ni asili yetu kama wanaume, kuwawinda wanawake kwa kila namna ili kuwapata kimapenzi.

Baada ya kuelewa chanzo, sasa utanielewa nikisema SWALI halitakiwi kuwa NI KWELI HAKUNA MWANAUME ASIE CHEPUKA? bali linatakiwa liwe JE, INAWEZEKANA MWANAUME ASICHEPUKE?. Ukweli ni kwamba WAPO WANAUME WASIO CHEPUKA na INAWEZEKANA KABISA.

Yafuatayo ni mambo matatu yanayoweza mfanya mwanaume aitawale asili yake na hatimae kutochepuka kabisa:

KUWA NA MALENGO:

Hapa simaanishi zile ndoto zisizo na kichwa wala mkia, mfano unasema malengo yako ni kuwa na pesa nyingi! Sasa Ukiwa na hela ndio utafahamika kama nani? Ninaposema malengo namaanisha lile kusudi la wewe kuwepo duniani. Usiniambie ulizaliwa ili tu uwe na pesa.

Hakuna kiumbe hatari zaidi duniani kama mwanaume asie na malengo. Huyu ni sawa na risasi iliyokosa muelekeo.

Ukiwa na malengo, utakuwa na muelekeo katika maisha na hutakuwa na muda wa kupoteza kuwinda winda wanawake.

2. MARAFIKI:

Huji kukuta swala anatembea msafara mmoja na Simba, labda ajichanganye na nyumbu. Wazungu wanasema,

"Show me your friends and I will tell you who you are."

Ukiwa na mke au mpenzi basi kaa na rafiki wenye wake/wapenzi pia. Ukikaa na nyumbu au wanaokula majani wakati wewe unakula nyama mwisho wa siku utajikuta unakuwa kama wao. Mwanaume mwenye malengo hakai vijiweni kupiga soga hata sikumoja. Vijiwe wanakaaga swala na nyumbu sio masimba dume embu jiheshimu. Asilimia kubwa vijiwe vinamfanya mwanaume atamani kufanana au kuwazidi wenzake ambao wanatembea na wanawake wanne kwa wiki! Maranyingi hizi ndio story za vijiweni, story zinazohamasisha kuwatumia wanawake kimapenzi; ukikaa nao utaishia kuingia kwenye hii ligi tu!

3. TAFUTA ROLE MODEL/MENTOR:

Hili ndio kosa wanalolifanya wanaume wengi sana. Hakuna kitu muhimu kama kuwa na mtu unaejifunza toka kwake na anaeweza kukushauri. Wanaume wengi hawajui kuchagua mentors/role models hivyo unakuta mtu anauwezo wa kibiashara lakini role model wake ni CHRIS BROWN! wapi na wapi???

Tafuta role model anaeweza kufanya lile unalofanya wewe. Na awe kafanikiwa katika hilo. Sio lazima awe perfect lakini katika yale unayovutiwa kuyafanya awe ameyamudu.

Namna ya kumchagua role model:

Usiangalie umri wakeHakikisha haishi maisha ya kuigizaAwe na uwezo wa kukusaidia katika unalojifunza toka kwakeAwe na mafanikio katika unalojifunza toka kwakeAwe na sifa ya uongoziSio lazima awe ndugu au mtu wa karibu. Hata akiwa taifa tofauti ni sawa.View attachment 1880033
Wapo kuna watu sex sio kipaumbele lwa hiyo basi hamna namna ya wewe kucheat .
 
Uko sawa kuna muda unafika unatulia na unajua kwa nini unatulia?

Ni kwa sababu ukizeeka hata nguvu hupungua.

Umesema kizazi hili ndo kina shida, si kweli ukirejea zamani mababu zetu walikuwa na wake hata zaidi wa watano.

Bado ni mulemule tu, kutokuridhika na mmoja.
Mkuu huu ni mtizamo wako binafsi,kuna factor nyingi sana ambazo zinaweza kumfanya mtu asichepuke ikiwemo Imani,uamuzi binafsi nk.Even Under 40 wanaume waliotulia wapo.
 
Back
Top Bottom