Jibu ni kwamba inawezekana. Kama yupo/wapo waliotapeliwa basi waende mahakamani.Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .
1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?
2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?
3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?
4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?
USSR