Je, kuna namna Kiboko ya Wachawi anaweza kuletwa tena Tanzania ili afunguliwe mashitaka ya utapeli?

Je, kuna namna Kiboko ya Wachawi anaweza kuletwa tena Tanzania ili afunguliwe mashitaka ya utapeli?

Bado mwamposa na miujiza yake ila yule anajua kula na hawa wenye nchi mie hua nacheka enzi za mzee wa chato yani ukakope pesa trillioni 1 then ukimbiilie kanisani usemw tuombe taifa amani , amani iwepo na utulivu utueleze deni tutalilipaje na sio maombi yani tuligeuzwa wote watu wa kusoma madua as if nchi yetu imeingiwa na mashetani ukikua ni upmbavu sana naona unaelendelea bado
 
Naanza kuamini sasa wanaojiita wasomi kwenye nchi hii ndo wajinga wanaotapeliwa
Ety kikombe cha babu kinaponesha hhhhh dah wasomi uchwara wana matukio aiseee
Bado kawe sasa
 
DPP na watu wake bado wako fofofo sana… labda mpaka waagizwe na Raisi au Mwabukusi ndio waafungue mashtaka…
Kesi iko wazi- kakili mwenyewe but mpaka sasa DPP wetu yuko kimya.
Mambo mengine yanafikirisha sana na hawa watu wetu wa liwalo na liwe tonge mdomoni ndio kwanza wamepotezea…
 
Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .

1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?

2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?

3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?

4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?


USSR

 
Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .

1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?

2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?

3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?

4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?


USSR

Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .

1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?

2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?

3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?

4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?


USSR

 
Huyu jamaa watanzania huwa nawashanga sana
Mtu kaanza kuuza vipodozi tena kwa magendo mpaka akashtukiwa...mara kawa nabii 😄
Hivi watu wanashindwa kuchuja mambo na kuelewa
Huyu mtu tokea mwanzo tulikuwa tunawambia siyo watu tu hawasiki hawaambiliki
Alafu kesi hizi za mambo ya kiimani huwa ni ngumu kumshtaki mtu maana,yeye atakuambia mimi sijawalazimisha kuja

Ova
Ni kama wmbavyo tunawaambia kuhusu Mwamposa kuwa ni tapeli, lkn hawasikii. Ipo siku Mwamposa naye ataanza kujigamba na kuwalingishia waumini wake yale mahoteli anayojenga mkoani Mbeya.
 
Watu walikuwa wanapeleka wenyewe pesa zao wakitafuta miujiza.
Waache wapigwe, walipigwa na babu wa Loliondo hawakusikia!
 
Waumini wake wanajskiaje😂😂😂utumwa ... Fake P unakumbuka kiboko aliwahi fufua wafu😂😂😂😂hii kupenda miujiza ya haraka inawafanya watu kuwa misukule ya manabii feki
😂😂😂😂 Nashindwa nimtukane yeye au niwatukane wafuasi wake 😂😂😂 Kumbe ilikua fake
 
Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .

1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?

2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?

3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?

4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?


USSR
Adui wa viongozi wako ni Chadema tu. The rest ni marafiki. Kwa hiyo usitegemee chochote maana hao manabii feki wanapendwa sana na ccm! Kisa tu wanawasaidia kuwafanya wananchi kuwa misukule.
 
Huyo alitakiwa kuwa mpole ila kwakuwa anataka sifa anachokifanya kwasasa ndo ile inaitwa KUNYEA KAMBI, nawatu roho inawauma kweli kwajinsi anavyotuona wabongo wote hatuna akili, mpunga ukikata ndo atajua, labda nahuko awaokote
Huyo kasha yakoroga atakipata anacho kitafuta nchi hii sio kama anavyo dhani yeye
 
Back
Top Bottom