MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Bado mwamposa na miujiza yake ila yule anajua kula na hawa wenye nchi mie hua nacheka enzi za mzee wa chato yani ukakope pesa trillioni 1 then ukimbiilie kanisani usemw tuombe taifa amani , amani iwepo na utulivu utueleze deni tutalilipaje na sio maombi yani tuligeuzwa wote watu wa kusoma madua as if nchi yetu imeingiwa na mashetani ukikua ni upmbavu sana naona unaelendelea bado