Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?
Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?
Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.
Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?
Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?
Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam
View attachment 2428883
mimi nilivyosikia terminal 2 inatumika na ndege za ndani na terminal 3 za nje nikajua kila kitu kinajitegemea, asante kwa kunifahamisha.Inavyoonekana uwanja wote una runway moja, ile iliyokuwa ikitumika na terminal 2 wakati huo, sasa inatumika na terminal 3
mimi nilivyosikia terminal 2 inatumika na ndege za ndani na terminal 3 za nje nikajua kila kitu kinajitegemea, asante kwa kunifahamisha.
Hivi kumbe zilikuwa chini ya TITHHHHHHPoleni sana wazee wa mwewe.
Hapana i mean "Mwewe" aka wazee wa kuruka angani.....Not Vipepeo weusi.Hivi kumbe zilikuwa chini ya TITHHHHHH
Mambo mengi yameharibika hakuna uwajibikaji wala taarifa rasmi. Mtamkumbuka yule babaSwali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?
Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?
Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.
Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?
Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?
Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam
View attachment 2428883
Hahaha.........hapa msimuhusishe Shujaa tafadhaliNi mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
Maji na umeme kwanza.Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
Uwanja Bora ni CIA tu GeitaWaje watue Z’bar... So far wapo vizuri siku hizi....
Makampuni ya ndege yanaingia gharama zisizo na ulazima.Abiria wote wa KLM iliyotakiwa kuwasili jana usiku Dar es Salaam kutokea Amsterdam kupitia Kilimanjaro wamekwama KIA, na wako Mount Meru Hotel. Mpaka sasa (saa sita na robo mchana leo) hakuna taarifa ni saa ngapi wataendelea na safari yao ya Dar es Salaam. Abiria waliambiwa runway ya Dar ina mashimo makubwa na hivyo ndege kubwa zote haziwezi kutua. Only ndege ndogo ndogo zinaweza kutua kwa sababu haziitaji runway ndefu. Hatma ya abiria waliokwamba KIA itajulikana leo saa kumi jioni kama watasafiri leo ama vipi.