Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inautangazia Umma kuwa kufuatia maelekezo ya Serikali kuhamia Dodoma, imehamishia baadhi ya shughuli zake za Makao Makuu jijini Dodoma kuanzia tarehe 30 Septemba 2022.
Ofisi za Mamlaka zitakuwa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma.
Wasiliana nasi kupitia anuani ifuatayo;
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,
S. L. P 250, Dodoma,
Simu: +255262354418
Barua Pepe: tcaa@tcaa.go.tz
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCCA)
Source : TCAA : Tanzania Civil Aviation Authority
Habari za ziada:
MANDHARI YA UWANJA WA DODOMA
Uwanja wa ndege jijini Dodoma wapokea dege kubwa la jeshi la Marekani aina ya C-17. Ripoti ya tarehe 31 August 2022 Boeing C-17 Globemaster
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inautangazia Umma kuwa kufuatia maelekezo ya Serikali kuhamia Dodoma, imehamishia baadhi ya shughuli zake za Makao Makuu jijini Dodoma kuanzia tarehe 30 Septemba 2022.
Ofisi za Mamlaka zitakuwa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma.
Wasiliana nasi kupitia anuani ifuatayo;
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,
S. L. P 250, Dodoma,
Simu: +255262354418
Barua Pepe: tcaa@tcaa.go.tz
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCCA)
Source : TCAA : Tanzania Civil Aviation Authority
Habari za ziada:
MANDHARI YA UWANJA WA DODOMA
Uwanja wa ndege jijini Dodoma wapokea dege kubwa la jeshi la Marekani aina ya C-17. Ripoti ya tarehe 31 August 2022 Boeing C-17 Globemaster