DOKEZO Je, kuna nini kinaendelea JNIA Terminal 3? Ndege hazitui wala kuondoka

DOKEZO Je, kuna nini kinaendelea JNIA Terminal 3? Ndege hazitui wala kuondoka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inautangazia Umma kuwa kufuatia maelekezo ya Serikali kuhamia Dodoma, imehamishia baadhi ya shughuli zake za Makao Makuu jijini Dodoma kuanzia tarehe 30 Septemba 2022.

Ofisi za Mamlaka zitakuwa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma.

Wasiliana nasi kupitia anuani ifuatayo;
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,
S. L. P 250, Dodoma,
Simu: +255262354418
Barua Pepe: tcaa@tcaa.go.tz
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCCA)
Source : TCAA : Tanzania Civil Aviation Authority

Habari za ziada:

MANDHARI YA UWANJA WA DODOMA

Uwanja wa ndege jijini Dodoma wapokea dege kubwa la jeshi la Marekani aina ya C-17. Ripoti ya tarehe 31 August 2022 Boeing C-17 Globemaster

 
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inautangazia Umma kuwa kufuatia maelekezo ya Serikali kuhamia Dodoma, imehamishia baadhi ya shughuli zake za Makao Makuu jijini Dodoma kuanzia tarehe 30 Septemba 2022.

Ofisi za Mamlaka zitakuwa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma.

Wasiliana nasi kupitia anuani ifuatayo;
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,
S. L. P 250, Dodoma,
Simu: +255262354418
Barua Pepe: tcaa@tcaa.go.tz
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCCA)
Source : TCAA : Tanzania Civil Aviation Authority

Habari za ziada:

MANDHARI YA UWANJA WA DODOMA

Uwanja wa ndege jijini Dodoma wapokea dege kubwa la jeshi la Marekani aina ya C-17


Duh; hiyo ni airport au shamba? Mbona vumbi limefunika kila kitu hadi majengo during take off? Wali risk sana kushusha huo mdege hapo Dodoma.
 
Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?

Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?

Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.

Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?

Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?

Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam

View attachment 2428883
mama anaupiga mwingi
 
Wale tu bata wanagalamiwa kila kitu hao watasafiri j4 asubuhi.

Suala ni kupotezewa muda, una tiketi ya ndege kutokea JNIA na unawahi kikao cha kikazi, shule, una likizo ya wiki n.k hadi hapo ushapotezewa ratiba yote...
 
Huu uwanja una eneo kubwa la kujenga Runway nyingine upande wa mashariki-upande wa reli ya TAZARA. Eneo hilo linatosha hata kuweka terminal nyingine tatu. Sijui kwa nini hili halikufanyika wakati wa maboresho ya Runway hiyo hiyo moja? 🤔
 
Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.


Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport

Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania

Mainzi yako yanazurura
 
Huu uwanja una eneo kubwa la kujenga Runway nyingine upande wa mashariki-upande wa reli ya TAZARA. Eneo hilo linatosha hata kuweka terminal nyingine tatu. Sijui kwa nini hili halikufanyika wakati wa maboresho ya Runway hiyo hiyo moja? 🤔
CC TAA
 
Abiria wote wa KLM iliyotakiwa kuwasili jana usiku Dar es Salaam kutokea Amsterdam kupitia Kilimanjaro wamekwama KIA, na wako Mount Meru Hotel.

Mpaka sasa (saa sita na robo mchana leo) hakuna taarifa ni saa ngapi wataendelea na safari yao ya Dar es Salaam.

Abiria waliambiwa runway ya Dar ina mashimo makubwa na hivyo ndege kubwa zote haziwezi kutua. Only ndege ndogo ndogo zinaweza kutua kwa sababu haziitaji runway ndefu.

Hatma ya abiria waliokwamba KIA itajulikana leo saa kumi jioni kama watasafiri leo ama vipi.
Nan anawalipia hotel au wanajilipia
 

26 November 2022​

| UONGOZI WATOA UFAFANUZI SABABU YA FOLENI UWANJA WA NDEGE JNIA DAR ES SALAAM

26 November 2022
Na Lovin Kefa,
Kaimu Mkurugenzi wa kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere JNIA, Mhandisi Rehema Myeya amesema tatizo la msongamano ambalo lilitokea Novemba 22, 2022 katika geti la kupitia magari lilisababishwa na kuisha kwa kadi katika geti husika ambazo hutumika kuruhusu geti kufunguka.

Mhandisi Myeya ametoa ufafanuzi huo jijini DSM na kueleza kuwa tatizo hilo lilidumu kwa dakika thelathini na kupatiwa ufumbuzi.

Hata hivyo Kaimu Mkurugenzi huyo ameomba radhi kwa niaba ya uongozi kwa usumbufu uliojitokeza siku hiyo na kuahidi kuwachukulia hatua wote waliohusika na uzembe huo.
 
Ehh ehhh hizo fidia nani analipa!

Mana mtu km una connection yako mbelez inakua ishakula kwako

Walipeleka watu kulala hotelini ama?
 
Kama Ndege kubwa hazitui na ndogo zinatua kwa nini Wana cancel flights ,KIA kuna Ndege ndogo zingebeba abilia kuleta dar na wale wa dar wanaosafiri kimataifa wangepelekwa KIA kuliko kusimamisha Safari Za watu wenye ratiba zao kwa kuwalaza hotelini na gharama zinaongezeka kwa shirika husikA unless kama sifahamu sheria za airline

For me Kukodi Ndege would have been the best option to save time and Money.
Sio basi lile ndugu hio gharama ya kukodi ndege nipesa mingi sana hafu kibongo bongo utakodi ndege gani mana kama I Ababa abiriq wengi sana
 
Back
Top Bottom