Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Kama vipi twende zetu Kwa Kagame mkuuNi mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
Kama hizi taarifa ni za kweli hapo inafaa kufukuza wote hadi Waziri. Monitoring and repair ya uwanja si lazima shimo lidhihirike. Daily assessment ya hali ya uwanja inatakiwa kufanyika tena haraka kabisa.Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
Uzembe na sasa hakuna kiongozi mkuu.Mmmhh Tanzania kuna shida gani kwani!
Aliyezinunua angekuwepo!!!Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
Hayo mashimo kwenye runway ndiyo tukio la siku moja, kwani hakuna maintenance schedule?Dharura ni kawaida sana.Tukio la siku Moja haliwezi kufuta mazuri ya miaka 50 iliyopita.Safety matters first
Kama hizi taarifa ni za kweli hapo inafaa kufukuza wote hadi Waziri. Monitoring and repair ya uwanja si lazima shimo lidhihirike. Daily assessment ya hali ya uwanja unatakiwa kufanyika tena haraka kabisa.
Kuna uwezekano mtandao wa kigogo ni miongoni mwa viongozi waandamizi kwa sasa. Kipindi kile waliwekwa benchiEnzi za Magu ungekuta bango tayari kwa kigogo na nchi tayari ipo kwenye taharuki...aya mambo yanajilipa yenyewe yenyewe tu.
Wale tu bata wanagalamiwa kila kitu hao watasafiri j4 asubuhi.Abiria wote wa KLM iliyotakiwa kuwasili jana usiku Dar es Salaam kutokea Amsterdam kupitia Kilimanjaro wamekwama KIA, na wako Mount Meru Hotel. Mpaka sasa (saa sita na robo mchana leo) hakuna taarifa ni saa ngapi wataendelea na safari yao ya Dar es Salaam. Abiria waliambiwa runway ya Dar ina mashimo makubwa na hivyo ndege kubwa zote haziwezi kutua. Only ndege ndogo ndogo zinaweza kutua kwa sababu haziitaji runway ndefu. Hatma ya abiria waliokwamba KIA itajulikana leo saa kumi jioni kama watasafiri leo ama vipi.
Hii ya Kadi pale Terminal 3 imeshakuwa kawaida. Na utakuta kuna mtu pale kwenye kibanda karibu na geti, sasa sijui kazi yake ni nini?Nasikia pia kadi za maegesho ya magari zimeisha watu wamezuiwa kuingia! Uzembe umerudi kwa kasi kubwa kuliko kawaida!
Mama Samia awe mkali kidogo otherwise tutarudi kwenye damage beyond repair! Hii ngozi nyeusi bila kufukuzana na ukali wanakutia kidole machoni taifa linaingia hasara.
Mauzauza na kulipua mambo ya ujenzi. Njia ya kutua/ kupaa ndege (lami) imekatika.Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?
Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?
Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.
Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?
Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?
Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam
View attachment 2428883
Kufaulisha abiria inawezekana ikawa cost kubwa kuliko kuwalaza hotelini.Kama Ndege kubwa hazitui na ndogo zinatua kwa nini Wana cancel flights ,KIA kuna Ndege ndogo zingebeba abilia kuleta dar na wale wa dar wanaosafiri kimataifa wangepelekwa KIA kuliko kusimamisha Safari Za watu wenye ratiba zao kwa kuwalaza hotelini na gharama zinaongezeka kwa shirika husikA unless kama sifahamu sheria za airline
For me Kukodi Ndege would have been the best option to save time and Money.
Kufaulisha abiria inawezekana ikawa cost kubwa kuliko kuwalaza hotelini.
Chato? You must be kidding ...Uwanja Bora ni CIA tu Geita