Eti dege🤣🤣🤣Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inautangazia Umma kuwa kufuatia maelekezo ya Serikali kuhamia Dodoma, imehamishia baadhi ya shughuli zake za Makao Makuu jijini Dodoma kuanzia tarehe 30 Septemba 2022.
Ofisi za Mamlaka zitakuwa katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma.
Wasiliana nasi kupitia anuani ifuatayo;
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,
S. L. P 250, Dodoma,
Simu: +255262354418
Barua Pepe: tcaa@tcaa.go.tz
Imetolewa na:
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCCA)
Source : TCAA : Tanzania Civil Aviation Authority
Habari za ziada:
MANDHARI YA UWANJA WA DODOMA
Uwanja wa ndege jijini Dodoma wapokea dege kubwa la jeshi la Marekani aina ya C-17. Ripoti ya tarehe 31 August 2022 Boeing C-17 Globemaster
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naskia mzimu wa mwendazake una watesa
Kama terminal 3 haifanyi kazi si zitue terminal 2? Mbona kabla ya hiyo terminal 3 tulitumia 2 bila shida?Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?
Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?
Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.
Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?
Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?
Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam
View attachment 2428883
Kwani hao wote wapo kwenye ziara pamoja na makamo wa Rais ?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
Siku hizi analamba asaliEnzi za Magu ungekuta bango tayari kwa kigogo na nchi tayari ipo kwenye taharuki...aya mambo yanajilipa yenyewe yenyewe tu.
Unamaanisha imechoka kama uwanja wenyewe?CCM imechoka
Ufisadi! Pesa nyingi sana ya Terminal three ilipigwa!Ni moja mkuu, sijui kwa nini hawakuongeza njia nyingine kama backup ikitokea dharura kwenye main primary runway...
View attachment 2428916
Kuna wateja waliokuwa kwa KLM jana usiku walitangaziwa kuwa kwenye runway ya Dar kuna shimo hivyo sio salama kutua/ndege zimezuiliwa kutua; KLM ikaishia JRO.[emoji3064]Kuna wateja waliokuwa kwa KLM jana usiku walitangaziwa kuwa kwenye runway ya Dar kuna shimo hivyo sio salama kutua/ndege zimezuiliwa kutua; KLM ikaishia JRO.
Inawezekana limesababishwa na Mvua inayonyesha pande hizo
Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport
Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
NI AIBU SANA NAONA NCHI HII SASA KILA KITU KINAKWENDA MRAMA
Nani kakwambia Tanzania Kuna shida..shida Ni watu labdaMmmhh Tanzania kuna shida gani kwani!
Pale run way ni moja ile ile aliotuachia mkoloni- sisi tumejenga majengo tu haya mawili terminal two na three . Kiualisia tulitakiwa jenga new airport with more than 4 runways maeneo ya kibaha au Bagamoyo. Eneo pale for more than 2 runways alitoshimimi nilivyosikia terminal 2 inatumika na ndege za ndani na terminal 3 za nje nikajua kila kitu kinajitegemea, asante kwa kunifahamisha.
Dharura zimeanza kutokea baada ya ajali?kama kawaida yenu mnasubiri yatokee ndio mreact........hovyoAibu nini hapo? Mlitaka yatokee ya Bukoba au, better safe than sorry.
When was the last time kulikua na hitilafu?
Dharura zipo popote pale duniani.