Je kuna nyimbo mwanaume hupaswa kuzishabikia pia kuna nyimbo mwanaume hapaswi kuzishabikia?

Je kuna nyimbo mwanaume hupaswa kuzishabikia pia kuna nyimbo mwanaume hapaswi kuzishabikia?

Nasililiza nyimbo nyingi za wasanii tofauti tofauti

Dizasta
Nikki
Mawenge
Kinya
Nala
Kadgo
Ghetto
Songa

Wapo wengi hapo ni kwa uchache tu
Du! hapo siujui hata mmoja, labda kwa sababu sio mpenzi sana wa Bongofleva
 
Ila siku hizi double standards kwa wanaume zimekuwa nyingi Sana.

Mpaka mmefika kwenye kuchaguliana nyimbo za kuzikiliza
[emoji28][emoji28],haya yamekuwepo kitambo tu, utasikia gari ya kike hio haikufai mwanaume
 
Wakuu,

Nataka kujua tu,hivi kuna aina za nyimbo mwanaume akizipenda ataonekana kama mtu asiyejielewa na pia kuna nyimbo mwanamke akizipenda ataoneka wa ajabu au asiyejielewa pia?

Kwa mfano chukulia umeenda gheto kwa mshikaji labda ana mke na watoto labda na kipara kwa mbali ameweka huu wimbo na anaimba

Nipo chuchu nipo Nyonyo aaah nimejaa teleee....[emoji3][emoji3]

Au kuna Mdada kaolewa na ana watoto lakini au hana na anapenda nyimbo kama huu

Gusanisha hasi na Chanya mamaa weeee,Mabaharia toka buza tulifika.....waweke fresh tunarukaga ukuta....[emoji3]

Tukuchulie wote hawa bado wako kwenye umri wa ujana,

Kwa kawaida kila mtu anapenda anachopenda huwezi kumpangia lakini kimtizamo je kuna nyimbo wanaume hawapaswi kuzishabika na pia kuna nyimbo wanawake hawapaswi kuzishabikia kwa sababu tofauti tofauti?


Karibu kwa maoni yako.
Haha ha ha ha ha ha.
mkuu umefanya nicheke leo. ahsante sana .
 
Kina Nikki, Songa, na Mawenge mbona wako popular sana.

Basi inaonekana mziki wa hip hop hujaupa nafasi hata kidogo
Ni kweli,Hiphop hata ya mbele huwa siwafutilii kabisa labda niwajue tu kwa sababu ya umaarufu wao
 
Hebu toa mfano wa nyimbo ngumu,maana wengine tunapenda soft music kama za kian Celine,JLO,RKelly nk
X-Plastaz..Nini dhambi.
"
Uliza swali, kama
Sote tungekuwa wasomi,
Matajiri
Ni nani angelifanya kazi za
Kutisha na hatari mfano ya
Mochwari Kila mmoja wetu hapa mjini
Kaja kwa dili
Kila kitu, kila mahali
Na hata ngozi ya mtu dili
Wengine wachawi, waganga
Feki Matapeli, wasafiri ------
Wakati wengine wapole kama
Walokole"

Madude kama hayo yapo na kule kwa Baideni.. DMX Where the hood At

"Man, cats don't know what it's gonna be
Messin' with a dog like me
D to the M to the X
Last I heard, you cowards was havin' sex with the same sex
I show no love"

Mambo ni mengi muda mchache sana,

Unakutana na Gentleman anaimba Sukariii...😀😀😀😀😀😀😀😀
 
X-Plastaz..Nini dhambi.
"
Uliza swali, kama
Sote tungekuwa wasomi,
Matajiri
Ni nani angelifanya kazi za
Kutisha na hatari mfano ya
Mochwari Kila mmoja wetu hapa mjini
Kaja kwa dili
Kila kitu, kila mahali
Na hata ngozi ya mtu dili
Wengine wachawi, waganga
Feki Matapeli, wasafiri ------
Wakati wengine wapole kama
Walokole"

Madude kama hayo yapo na kule kwa Baideni.. DMX Where the hood At

"Man, cats don't know what it's gonna be
Messin' with a dog like me
D to the M to the X
Last I heard, you cowards was havin' sex with the same sex
I show no love"

Mambo ni mengi muda mchache sana,

Unakutana na Gentleman anaimba Sukariii...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji28][emoji28][emoji28],Jamaa wanakuaga na ujumbe hatari,tatizo mabiti yao magumu tu
 
Wakuu,

Nataka kujua tu,hivi kuna aina za nyimbo mwanaume akizipenda ataonekana kama mtu asiyejielewa na pia kuna nyimbo mwanamke akizipenda ataoneka wa ajabu au asiyejielewa pia?

Kwa mfano chukulia umeenda gheto kwa mshikaji labda ana mke na watoto labda na kipara kwa mbali ameweka huu wimbo na anaimba

Nipo chuchu nipo Nyonyo aaah nimejaa teleee....[emoji3][emoji3]

Au kuna Mdada kaolewa na ana watoto lakini au hana na anapenda nyimbo kama huu

Gusanisha hasi na Chanya mamaa weeee,Mabaharia toka buza tulifika.....waweke fresh tunarukaga ukuta....[emoji3]

Tukuchulie wote hawa bado wako kwenye umri wa ujana,

Kwa kawaida kila mtu anapenda anachopenda huwezi kumpangia lakini kimtizamo je kuna nyimbo wanaume hawapaswi kuzishabika na pia kuna nyimbo wanawake hawapaswi kuzishabikia kwa sababu tofauti tofauti?


Karibu kwa maoni yako.
It depends on energy needs and demand ya muda huo.

kunakuwaga na zile nyimbo huwezi sikiliza mbele ya washikaji na masela zako for the sake of maintaining your masculine frame.
 
Wengine kazi zetu ni u DJ na kusherehesha, so lazma tuskilize ujue sehem ipi ya wimbo utachange kuingizia wimbo mwingine ili kuburudisha n.k
Hilo halina shida,maana ni sehemu ya kazi,ila hata wewe kuna nyimbo unazipenda kutoka moyoni kiasi kwamba ukiwa home unasikiliza kama starehe sio kazi
 
Wakuu,

Nataka kujua tu,hivi kuna aina za nyimbo mwanaume akizipenda ataonekana kama mtu asiyejielewa na pia kuna nyimbo mwanamke akizipenda ataoneka wa ajabu au asiyejielewa pia?

Kwa mfano chukulia umeenda gheto kwa mshikaji labda ana mke na watoto labda na kipara kwa mbali ameweka huu wimbo na anaimba

Nipo chuchu nipo Nyonyo aaah nimejaa teleee....[emoji3][emoji3]

Au kuna Mdada kaolewa na ana watoto lakini au hana na anapenda nyimbo kama huu

Gusanisha hasi na Chanya mamaa weeee,Mabaharia toka buza tulifika.....waweke fresh tunarukaga ukuta....[emoji3]

Tukuchulie wote hawa bado wako kwenye umri wa ujana,

Kwa kawaida kila mtu anapenda anachopenda huwezi kumpangia lakini kimtizamo je kuna nyimbo wanaume hawapaswi kuzishabika na pia kuna nyimbo wanawake hawapaswi kuzishabikia kwa sababu tofauti tofauti?


Karibu kwa maoni yako.
Sasa mwanaume unaskiza blues ili iweje
 
It depends on energy needs and demand ya muda huo.

kunakuwaga na zile nyimbo huwezi sikiliza mbele ya washikaji na masela zako for the sake of maintaining your masculine frame.
[emoji3][emoji3]Hapo nimekuelewa,kwamba kuna nyimbo ukisikiliza mbele ya masela watakuona unazingua
 
Back
Top Bottom