Mjinga wewe jambazi akivamia counter akapora pesa counter na wateja kumpata inakuwa ngumu kama kageuza gari kukimbia
Sheria imewekwa kuchelewesha ns raisi ku block gari hiyo ya majambazi tena ashukuru kakuta mlinzi mpole ingekuwa Kenya angetwangwa risasi
Vituo kama vya mafuta gesi nk ndio unatakiwa gari ugeuze mwendo wa kutoka