M mmaroroi JF-Expert Member Joined May 8, 2008 Posts 4,635 Reaction score 2,271 Aug 17, 2024 #1 Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maelewano kwa wanasiasa Tanzania. Je, hiyo ni dalili ya uchaguzi wa huru na haki?
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maelewano kwa wanasiasa Tanzania. Je, hiyo ni dalili ya uchaguzi wa huru na haki?
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Aug 17, 2024 #2 Ni mpaka yatokee kwanza machafuko.
Fake P JF-Expert Member Joined Jan 3, 2017 Posts 3,952 Reaction score 11,919 Aug 17, 2024 #3 Labda kama Huru na Haki itakuja kuwa na maana nyingine mpya
edon66 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 2,907 Reaction score 9,135 Aug 17, 2024 #5 Hyooo sahau km ulivyosahau kunyonyaa ziwa la mama Yako mkuu c Kwa CCM hii na viongozi wakee .. Unaijuaaa V8 ww
Hyooo sahau km ulivyosahau kunyonyaa ziwa la mama Yako mkuu c Kwa CCM hii na viongozi wakee .. Unaijuaaa V8 ww
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Aug 17, 2024 #6 mmaroroi said: Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maelewano kwa wanasiasa Tanzania. Je hiyo ni dalili ya uchaguzi wa huru na haki? Click to expand... ni washirikina pekeyake ndio hua hawaoni uhuru na haki kwenye uchaguzi 🐒
mmaroroi said: Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maelewano kwa wanasiasa Tanzania. Je hiyo ni dalili ya uchaguzi wa huru na haki? Click to expand... ni washirikina pekeyake ndio hua hawaoni uhuru na haki kwenye uchaguzi 🐒