dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,172
- 3,082
Huyu hayupo vizurKama wanajua kuna asiyetakiwa kushinda Uchaguzi, kwanini wanapotezea watu muda na kuingiza nchi kwenye gharama kubwa za uchaguzi?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hayupo vizurKama wanajua kuna asiyetakiwa kushinda Uchaguzi, kwanini wanapotezea watu muda na kuingiza nchi kwenye gharama kubwa za uchaguzi?!!!
Kuna mambo huyajui ndio maana unaota ndoto kama hiyo.Wewe sibure una tatizo kichwani ikija issue ya ZANZIBAR daima unakuwa unajifyatu IPO siku utakufa kihoro wewe
Hili haliepukiki rejea Tume mbali mbali zilizoindwa kuhusu sulihisho la Muungano na zote zilikuja na Wazo la Serikali tatu
Hata hawo wenzako G55 walikuja kihivyo hivyo
Mayala Zanzibar itabaki kuwa Mali ya wazanzibar tukiwa hai au tukiwa tumekufa kuna siku Zanzibar itarudi Kwa wazanzibar
Wewe ndio utakuwa huyajui rejea tumezilizoundwa za kutafuta kero za Muungano zilikuja na sulihisho gani? Za kina Nyalali na wengineo kama huko mbali rejea ya Mapendekezo ya KATIBA YA WARIOBAKuna mambo huyajui ndio maana unaota ndoto kama hiyo.
Uchaguzi ni takwa la kikatiba, hivyo lazima ufanyike, ila matokeo ya uchaguzi sio kwa mujibu wa takwa la kikatiba bali hali halisi iliyopo, ukiona mtu anazungumzia sana muungano wa mkataba, na wewe unajijua muungano wenu ni for life, mtu huyo akishinda uchaguzi utampa?.Kama wanajua kuna asiyetakiwa kushinda Uchaguzi, kwanini wanapotezea watu muda na kuingiza nchi kwenye gharama kubwa za uchaguzi?!!!
Ataondolewa na nani? Je samia akikubaliana na mwinyi wakaamua kuvunja?Kiongozi yeyote atakaye jaribu kuvunja muungano ataondolewa madarakani mara moja!!
Ni kweli nina tatizoWewe sibure una tatizo kichwani ikija issue ya ZANZIBAR
Naisubiria hiyo sikudaima unakuwa unajifyatu IPO siku utakufa kihoro wewe
Kwenye uhuru wa maoni, kila mtu yuko huru, wa serikali moja, mbili na tatu wote wawe huru.Hili haliepukiki rejea Tume mbali mbali zilizoindwa kuhusu sulihisho la Muungano na zote zilikuja na Wazo la Serikali tatu
Hata hawo wenzako G55 walikuja kihivyo hivyo
Zanzibar ni mali halali ya Watanzania woteMayala Zanzibar itabaki kuwa Mali ya wazanzibar tukiwa hai au tukiwa tumekufa kuna siku Zanzibar itarudi Kwa wazanzibar
But Zanzibar still exist mkuuHakuna fyoko fyoko,
Hiyo siku haipo
Mkuu britanicca , hakuna siku Zanzibar itajitenga kwasababu Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.
Type ya muungano wetu ni very unique, kwa upande mmoja ni fused union, kwa nchi mbili kufa na kuzaliwa nchi moja. Nchi mbili hizo haziwezi kukufuliwa, they are dead and gone, hivyo kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, kuivunja ni uhaini!, ni muungano for life na hakuna room ya kuuvunja!.
Kwa upande wa pili ndani ya muungano, muungano wetu ni federation ya nchi mbili, serikali mbili, marais wawili, mabunge mawili. Nchi hizi mbili, moja ni dola na nyingine sio dola, nchi ambayo sio dola haiwezi kujitenga kwasababu inaitegemea dola!, hivyo muungano wetu upo sana na tutaulinda kwa gharama yoyote, na ndio maana kwenye kila uchaguzi wa upande ule kuna mtu huwa anashinda lakini hapewi kwa kuhofia hatma ya muungano!. Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano? hivyo lazima fulani ashinde!.
P
Yes Zanzibar name na eneo, exist, ni nchi jina isiyo na dola, sovereignty, sarafu, mipaka, etc.But Zanzibar still exist mkuu
DuhWakwende zao hatu wahitaji
HowHuu muungano ukivunjika nitafanya sherehe kubwa sana
Zanzibar wanajielewa kuliko bara,wakati wa uchaguzi utaona vyombo vya usalama vinavyoenda zenji 😀😀Nami inabidi niulize swali kama hilo hilo, ila kwa upande wa Tanganyika: Je, kuna siku Tanganyika itajitenga?
Kwa nini swali lisiwe hilo.
Hatima ya muungano inatakiwa kulindwa n katiba na sio hofu ya nani atashindaHakuna fyoko fyoko,
Hiyo siku haipo
Mkuu britanicca , hakuna siku Zanzibar itajitenga kwasababu Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.
Type ya muungano wetu ni very unique, kwa upande mmoja ni fused union, kwa nchi mbili kufa na kuzaliwa nchi moja. Nchi mbili hizo haziwezi kukufuliwa, they are dead and gone, hivyo kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, kuivunja ni uhaini!, ni muungano for life na hakuna room ya kuuvunja!.
Kwa upande wa pili ndani ya muungano, muungano wetu ni federation ya nchi mbili, serikali mbili, marais wawili, mabunge mawili. Nchi hizi mbili, moja ni dola na nyingine sio dola, nchi ambayo sio dola haiwezi kujitenga kwasababu inaitegemea dola!, hivyo muungano wetu upo sana na tutaulinda kwa gharama yoyote, na ndio maana kwenye kila uchaguzi wa upande ule kuna mtu huwa anashinda lakini hapewi kwa kuhofia hatma ya muungano!. Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano? hivyo lazima fulani ashinde!.
P
future impossible tenseDr Samia don't mess up , kwa gharama yoyote hakikisha uchagusi wa 2025 unashinda kwa maana haitakuja kutokea tena kwa Mzanzibar kuwa Rais wa JMT mitano inayofuata hakikisha unajenga visiwa unguja ina unaafu kwa sasa elekeza nguvu Pemba hata tukiachana nao tuwe tumejenga nguvu ya kiuchumi ya kuwatawala baadae. tumepigwa pini muda mlefu sana.
Tulishauri Toka enzi za tume ya katiba tuwena serikali 3 mkakataaZaweza ibuka fyoko fyoko kadhaa je yaweza kusababishwa marais wanaotoka upande wa pili? Maana wanajambo lao kifuani japo hawasemi hadharani ila nadhani there is a day zenji wataamua kukaa pembeni baada ya kuvuna bara bya kutokasha kutokana na awamu ambayo yaweza kuwa ya Bara kuhoji mzenji alowatangulia alokwepesha yaende kwao
Britanicca
Hujui kusoma alama za nyakati mkuu 'Girland'. CCM iko mlangoni, inaaga.Zanzibar wanajielewa kuliko bara,wakati wa uchaguzi utaona vyombo vya usalama vinavyoenda zenji 😀😀
Huku wajukuu wa Nyerere ili mradi kuna Simba na Yanga, Diamond na Ali Kiba utatawala milele
Wakiiba kura Kama wanavyofanya kila wakati utafanyaje au unaamini heche alizidiwa kura na CCM au Sugu pale Mbeya town?Hujui kusoma alama za nyakati mkuu 'Girland'. CCM iko mlangoni, inaaga.