Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheka Tu mkuu Ila nilipitia kipindi kigumu Sana, hapana nishamaliza chuo na niliichomoa Ila kwa mbinde SanaHahahhaha mkuu nimecheka sana.
Kwahiyo bado upo chuo na hiyo Biochemistry bado hujaichomoa?
pole sana mzee...sometimes masomo yanatutesa sana...mimi kuna somo linaitwa econometrics lilinitesa kama biochemistry yako...yote kwa yote Mungu ni mwema.Cheka Tu mkuu Ila nilipitia kipindi kigumu Sana, hapana nishamaliza chuo na niliichomoa Ila kwa mbinde Sana
Yani ni kama kushughulika na ndafu iliyobanikwa! Ukitoka hapo huli nyama wikiIlikuwaje mkuu wa kilinge
Duuu, hatari hatarini na ndomaana ukawa mkuu wa kilingeNamna ya kumuandaa maiti aliyechomwa moto akaiva
Na mbaya Zaidi unakuta halina msaada wowote au halitumiki kwenye utendaji wako wa kazi, mwisho wa yote ni Kama hivi tunapata vitu vya kukumbuka shulepole sana mzee...sometimes masomo yanatutesa sana...mimi kuna somo linaitwa econometrics lilinitesa kama biochemistry yako...yote kwa yote Mungu ni mwema.
[emoji851][emoji851][emoji851] ni fani mbili tofautiDuuu, hatari hatarini na ndomaana ukawa mkuu wa kilinge
Baadae analiwa??Namna ya kumuandaa maiti aliyechomwa moto akaiva
Uwiiiiii yereuwiiiiYani ni kama kushughulika na ndafu iliyobanikwa! Ukitoka hapo huli nyama wiki
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji851][emoji851][emoji851] ni fani mbili tofauti
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji851][emoji2839][emoji3]Baadae analiwa??
Asee mkuu hiyo ni open book exam au closed?C1 aisee... Pepa ina 18 printed pages ni balaaaaaaaaaaaaaaaa