Cost accounting siwezi isahau hii aisee,mimi nilikuwa mtu wakuchukilia vitu easy,ila huyo mjomba alinitoa jasho nikapata hadi "supu".Cost and management accounting ya mzumbe university , pia kuna wapuuzi wana somo lao jepesi wanaita ICT ila maksi mbovuu matokeo yakitoka
Ni amsha usipokua makiniraia wengi wanasema physics...mi sijalisoma hilo dude....inaonekana ni kisanga
Hahaha....hizo kitu ni habari nyingine.Engineering mechanics (statics na dynamic).
Dah .. dah...!!! Siwezi Shahau EG106 na ME207 pale FoE enzi hizo... EG106 na IshengomaKila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.
Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu za kuijenga future yangu nikabahatika kutua kwenye chuo kimoja wapo kikubwa hapa nchini kwa course ya miaka 3.
Harakati zikaanza, siku zikaenda nikafanikiwa kuingia mwaka wa pili hapa sasa ndipo nilikutana na ugumu na kuiona elimu ngumu...
Sitakuja kulisahau somo moja linaitwa ECONOMETRICS. Kwa wale waliosoma Economics au course zenye uhusiano na economics watakuwa wanalielewa hili somo. Kwa course yangu na department yangu nilipokuwa. Hili ni moja wapo ya masomo ambayo huwa 'yanawakamata' watu wengi sana.
Ingawa nilibahatika kulifaulu vizuri chamoto nilikiona na nilinyoosha mikono juu.
Hili ni somo au!?Mechanics Engineering.
We bro...!!!Namna ya kumuandaa maiti aliyechomwa moto akaiva
Open book utaishia kifunua vitabu ukomeAsee mkuu hiyo ni open book exam au closed?
Ni somo zuri Sana linatumika kutunga sera yaani public policyNa mbaya Zaidi unakuta halina msaada wowote au halitumiki kwenye utendaji wako wa kazi, mwisho wa yote ni Kama hivi tunapata vitu vya kukumbuka shule
Sema hesabu zilikuwa zinakupiga chenga kutoka O levelSitakuja kusahau Quantative method for business decision
Yaa it was a bit difficulty subject kama sijakosea humu ndani ndiko unakutana na Langrange Multiplier na Regression analysis.Kila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.
Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu za kuijenga future yangu nikabahatika kutua kwenye chuo kimoja wapo kikubwa hapa nchini kwa course ya miaka 3.
Harakati zikaanza, siku zikaenda nikafanikiwa kuingia mwaka wa pili hapa sasa ndipo nilikutana na ugumu na kuiona elimu ngumu...
Sitakuja kulisahau somo moja linaitwa ECONOMETRICS. Kwa wale waliosoma Economics au course zenye uhusiano na economics watakuwa wanalielewa hili somo. Kwa course yangu na department yangu nilipokuwa. Hili ni moja wapo ya masomo ambayo huwa 'yanawakamata' watu wengi sana.
Ingawa nilibahatika kulifaulu vizuri chamoto nilikiona na nilinyoosha mikono juu.
Mkuu na huku upo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Physics A level topic zote nilikuwa kilaza. [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Physics ya Advance level nilitoka kapa,
Pangu pakavu tia mchuzi
Almanusra nipige mswaki Necta.
Ila nguvu ya chabo ili nisevu...[emoji23]