Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Mbongo kazi kazi au vipi?eti sitaki busu kidume WTFeti mbongo upigwe busu umind, 😂utaambiwa una promote upinde😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mbongo kazi kazi au vipi?eti sitaki busu kidume WTFeti mbongo upigwe busu umind, 😂utaambiwa una promote upinde😂
fursa ikitokea, usiiachie kabisa 😂🤣🤣🤣🤣Mbongo kazi kazi au vipi?eti sitaki busu kidume WTF
Hakika!ni kuichangamkia chap kwa harakafursa ikitokea, usiiachie kabisa 😂
vipi leo, usiku mrefu??Hakika!ni kuichangamkia chap kwa haraka
We Acha tu!ndio nalala sasavipi leo, usiku mrefu??
hata hivyo wanasema ukilalala sana unafupisha maisha yako....We Acha tu!ndio nalala sasa
Basi Mimi nitaishi sana...silalagi kizembe🤣🤣🤣Hadi nikasema au Nina mental disability nini?hata hivyo wanasema ukilalala sana unafupisha maisha yako....
utaishi sana, ule mda umelala ni kama umekufa, hamna cha maana umekifanya.....Basi Mimi nitaishi sana...silalagi kizembe🤣🤣🤣Hadi nikasema au Nina mental disability nini?
Kwa maana hiyo,Kuna haja gani ya kufariki daily wakati Kuna siku nitafariki milele!utaishi sana, ule mda umelala ni kama umekufa, hamna cha maana umekifanya.....
kabisa kabisa, unatakiwa ulale pale unapochoka na siyo kufuata ratiba....Kwa maana hiyo,Kuna haja gani ya kufariki daily wakati Kuna siku nitafariki milele!
Kuna watu wanaogopa ratiba,ikifika saa tatu tu huyooi anaenda force kufa 🤣🤣🤣🤣kabisa kabisa, unatakiwa ulale pale unapochoka na siyo kufuata ratiba....
mimi siku nalala mapema ni siku sina shughuli yeyote.... ila nimeona wanawake wengi wanasema wakilala sana inawasaidia kutunza uzuri wao 😂Kuna watu wanaogopa ratiba,ikifika saa tatu tu huyooi anaenda force kufa 🤣🤣🤣🤣
Kama mbaya mbaya tu,hata ukilala ndio maumbile ya pua zitabadilika?mimi siku nalala mapema ni siku sina shughuli yeyote.... ila nimeona wanawake wengi wanasema wakilala sana inawasaidia kutunza uzuri wao 😂
sasa pua na uzuri wapi na wapi 😂Kama mbaya mbaya tu,hata ukilala ndio maumbile ya pua zitabadilika?
🤣🤣🤣🤣Sasa Kama una pua Kama babalevo hata ukilala ukiamka zitabadilika???uwii ngoja nilale mie niamke mzuriiiiiisasa pua na uzuri wapi na wapi 😂
sasa hivi vitu kama pua, komwe na uchogo huwezi kuvicontrol, 😂inabidi ukubali tu.....🤣🤣🤣🤣Sasa Kama una pua Kama babalevo hata ukilala ukiamka zitabadilika???uwii ngoja nilale mie niamke mzuriiiiii
Hivi jamaa hawezi kufile charges kweli?Mshiriki huyu wa American Idol mwenye umri wa miaka 19, Benjamin Glaze, anatoka katika familia yenye maadili sana. Majaji wanamuuliza kama ameshawahi ku-kiss. Benjamin anasema kuwa hajawahi kwasababu kwake ku-kiss ni kitu kikubwa sana na anasubiri hadi aingie kwenye mahusiano ya kueleweka.
Benjamin ana rafiki wa kike, lakini hahisi kuwa bado ni uhusiano wa kutosha, na amechagua kungoja!
Hiyo ilipaswa kuwa mwisho wake, lakini Katy Perry anamuita ili ambusu. Benjamin anasita ila anakubali kumbusu Katy Perry shavuni. Mara paaap! Katy Perry anageuka na kumbusu Benjamin mdomoni bila kujali msimamo wa Benjamin kuwa hataki ku-kiss nje ya mahusiano! Majaji wengine wanafurahia kitendo hiko ila Benjamin anaonekana kutopendezwa na tukio hilo.
Kutokuelewa au kuheshimu mipaka ya watu ni jambo lisilofaa kwa jamii ya leo. Kucheka juu yake, haswa ikiwa ni kitu kinachotokea kwa mwanaume, hufanya iwe mbaya zaidi. Unyanyasaji wa kijinsia sio tatizo linapotokea kwa wanawake tu, ni tatizo linapotokea kwa wanaume pia!
Safi..Mshiriki huyu wa American Idol mwenye umri wa miaka 19, Benjamin Glaze, anatoka katika familia yenye maadili sana. Majaji wanamuuliza kama ameshawahi ku-kiss. Benjamin anasema kuwa hajawahi kwasababu kwake ku-kiss ni kitu kikubwa sana na anasubiri hadi aingie kwenye mahusiano ya kueleweka.
Benjamin ana rafiki wa kike, lakini hahisi kuwa bado ni uhusiano wa kutosha, na amechagua kungoja!
Hiyo ilipaswa kuwa mwisho wake, lakini Katy Perry anamuita ili ambusu. Benjamin anasita ila anakubali kumbusu Katy Perry shavuni. Mara paaap! Katy Perry anageuka na kumbusu Benjamin mdomoni bila kujali msimamo wa Benjamin kuwa hataki ku-kiss nje ya mahusiano! Majaji wengine wanafurahia kitendo hiko ila Benjamin anaonekana kutopendezwa na tukio hilo.
Kutokuelewa au kuheshimu mipaka ya watu ni jambo lisilofaa kwa jamii ya leo. Kucheka juu yake, haswa ikiwa ni kitu kinachotokea kwa mwanaume, hufanya iwe mbaya zaidi. Unyanyasaji wa kijinsia sio tatizo linapotokea kwa wanawake tu, ni tatizo linapotokea kwa wanaume pia!
Katty Perry anataka aichukue bikra ya kijana kilazimaKipindi hiyo Katty Perry anatoa ngoma ya 'last friday night', i had a mad crush on her.
Her voice ilikua fiti kinyama.
Sema nini, as time.went by nkazeeka, sasa hivi nmetulia na SEEDCO wangu, akijitahidi saana ameimba Yesu ni zaidi ya kikombe cha babu.
N aibu if a man would give up a chance to kiss her.
Na yeye ilibidi amgonge Katty Perry hapo hapo jukwaani kuonyesha ushirikiano tumbafu Perry hajakuna na vichaa wenzieSafi..
Ni muoga tu..
Ameondolewa uoga.