- Thread starter
- #41
ohooo kumbeeeHiyo script ishapangwa wewe ili kugusa hisia, kuongeza ratings, hence kuongeza pesa!
Usiamini kila kitu ukionacho kwenye hizi TV shows!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohooo kumbeeeHiyo script ishapangwa wewe ili kugusa hisia, kuongeza ratings, hence kuongeza pesa!
Usiamini kila kitu ukionacho kwenye hizi TV shows!
🤣🤣🤣Kwa hiyo tunacontrol skin tone only....sasa hivi vitu kama pua, komwe na uchogo huwezi kuvicontrol, 😂inabidi ukubali tu.....
Nami nimeshangaa kwakweli.Sasa hao kina Katty Perry ndo "jamii yetu"?? Seriously??
Hata huyu anaweza kushitakiIngekuwa mwanamke kafanyiwa hivyo basi kesho kesi ingeanza kulindimba mahakamani
Acha ubaguzi we ntotoWazungu sio jamii yetu
Wana tabia zao personalAcha ubaguzi we ntoto
Kama yako tu ulivyo mkorofi hahaWana tabia zao personal
Jamani jamani!nimeanza lini ukorofi binti wa Yesu mie?Kama yako tu ulivyo mkorofi haha
Tena judge angekua black man ndo kabisaaaaaaaaaNajaribu kuimagine angekuwa ni binti wa miaka 19 halafu judge ni mwanaume ndio afanye hivyo.
Angefanyiwa backlashing ya hatari na wangemfanyia media mob lynching yenye canceling ndani yake.
Double standards zina apply sana kwa wanawake huko majuu.
We likorofi sana tuJamani jamani!nimeanza lini ukorofi binti wa Yesu mie?
🤣🤣🤣Una jambo wewe sio bureWe likorofi sana tu
Ninalo jambo kwako, unataka kulijua?🤣🤣🤣Una jambo wewe sio bure
Umeona wao wanatubusu busu tu bila mpangilio sisi tukifanya hivyo kesi ningekuwa dogo mkono mmoja ungekuwa kwenye kalio 😃Ingekuwa mwanamke kafanyiwa hivyo basi kesho kesi ingeanza kulindimba mahakamani
Yap katy anakaribia 40 kamparamia dogo nusu ya umri wake mnyamwezi rkelly wamempa makesi hukoNajaribu kuimagine angekuwa ni binti wa miaka 19 halafu judge ni mwanaume ndio afanye hivyo.
Angefanyiwa backlashing ya hatari na wangemfanyia media mob lynching yenye canceling ndani yake.
Double standards zina apply sana kwa wanawake huko majuu.
Nitafurahi kulijua jamboNinalo jambo kwako, unataka kulijua?