Je, kuna tofauti kati ya bond fund na liquid/ukwasi kwenye uwekezaji wa pamoja (UTT)?

Je, kuna tofauti kati ya bond fund na liquid/ukwasi kwenye uwekezaji wa pamoja (UTT)?

Naomba mtu mmoja mwenye uelewa na hii UTT atiririke nondo hapa huenda mtu akielewa atakuwa interested maana elimu Kama hizi wanazifahamu wachache. Ukiskia michongo ya mjini ndo Kama hii.

Binafsi ningependa kufahamu yafuatayo:

1. Mtaji mdogo kabisa wa kuwekeza Utt liquidity/ukwasi ni kiasi gani? Na faida yake approximately inaweza kuwa kiasi gani kwa mwezi?

2. Kwenye utt bond kima cha chini kuwekeza ni kiasi gani? Na gawio ni kila baada ya muda gani?

3. Ni masharti yapi / vigezo vya muhimu kuwa navyo kukuwezesha kuwa navyo?

4. Ukiwekeza huko unaruhusiwa kuchukua faida kila baada ya muda gani?

Natanguliza shukrani zangu kwa atakayenifafanulia haya. Natamani kweli kupata huu mchongo
 
Naomba mtu mmoja mwenye uelewa na hii UTT atiririke nondo hapa huenda mtu akielewa atakuwa interested maana elimu Kama hizi wanazifahamu wachache. Ukiskia michongo ya mjini ndo Kama hii.

Binafsi ningependa kufahamu yafuatayo:

1. Mtaji mdogo kabisa wa kuwekeza Utt liquidity/ukwasi ni kiasi gani? Na faida yake approximately inaweza kuwa kiasi gani kwa mwezi?

2. Kwenye utt bond kima cha chini kuwekeza ni kiasi gani? Na gawio ni kila baada ya muda gani?

3. Ni masharti yapi / vigezo vya muhimu kuwa navyo kukuwezesha kuwa navyo?

4. Ukiwekeza huko unaruhusiwa kuchukua faida kila baada ya muda gani?

Natanguliza shukrani zangu kwa atakayenifafanulia haya. Natamani kweli kupata huu mchongo
Huuu ni mfuko wa liquid fund au ukwasi nilijiunga mimi baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamiii na kusoma YouTube nikapata mwanga ila kujiunga kuanzia 5000 na faida yake inatoka kila mwezi japo kila wiki salio litakuwa linaongezeka asilimia 1% kila mwezi inafaida sana halafu pia ukitaka kutoa ela unajaza fomu crdb bank na ni bure au kwenye ofisi zao na pesa yako unaipata ndani ya siku tatu ni mfuko mzuri sana kwa sababu unafaida kuliko fixed account au pesa ingekaa benki tuu yaniii nimeipendaa sana usidanganywe na watu jiunge na ukwasi broo utajutia ingia YouTube utaeleaa
 
Vitu kama hivi jamani mbona wachangiaji ni wachache naomba muwe wengi tupate elimu zaidi mimi nina mwezi nimejiunga utt mfuko wa liquid Fund au ukwasi nimeona unafaida sana ila mkwanja ukiwa mrefu kidogo utafurai sana wadau
Tupe mfano uliwekeza kiasi gani na ukapata sh ngapi gawio kwa mwezi
 
Ni private life kama unaona ni matapeli wewe wekeza unapoona utapata faida maana nchi hii watu mnapenda ubishi usio na tija
tufungukie nasi tunahitaji ushuhuda wako,unavyotuficha bado unatuweka kwenye wasiwasi na sio kama tumebisha tunapenda utupe abc zake
 
tufungukie nasi tunahitaji ushuhuda wako,unavyotuficha bado unatuweka kwenye wasiwasi na sio kama tumebisha tunapenda utupe abc zake
Faida yake iko hivi 1% kwa mwezi na 12 % kwa mwakaka na risk ni kama hamna ni taasisi nzuri sana ya kuwekeza kwa kijana mwenye vision na anayejua elimu ya fedha sio ya kukaririshwa darasani unaweza kufika kwenye benki ya crdb na ukapata maelekezo na ukajaza fomu na kujiunga ni kwenye simu au ukaenda ofisi zao ziko kila mkoa
 
Vipi malipo yao UTT kwa upande wa bond, ni kila mwezi? Maana benki kuu unalipwa mara mbili kwa mwaka.
Kama umewekeza kuanzia 10m unalipwa kila mwezi ukiamua hivyo lakin pianunaweza kuamua kuendelea kuwekeza faida na mtaji mama- compound interest. Kama ni 5m utalipwa mara mbili kwa mwaka
 
kwa theory niliyosoma. ni monthly payment, ukiwa na mil 200,000,000/= wanatoa riba asilimia 12%

200,000,000 *12%=24,000,000/= per year

24,000,000 gawa kwa 12 = 2,000,000 per month.
ni hela unaweza kusema ni ndogo, ila ni kubwa sana pindi unapokutwa na majanga ya afya kupelekea kushindwa kufanya biashara hata kupoteza kazi kwa private sectors. sasa wewe hapo unaingiziwa automatically tu ukiwa umelala kitandani na ,muda wa bond ukiisha unapewa hela yako uliyokuwa umewekeza mwanzo.
Minimum kiasi Cha kujiunga ni shiling ngapi?
 
Unapaswa kuwa na account ya CRDB
sio lazima uwe na akaunti crdb, unakuwa na akaunti UTT crdb unaingiza pesa zako tu kwenye akaunti yako ya utt.
Wanaofikiria kuwekeza miaka kumi, wekezeni kwenye mfuko wa WEKEZA MAISHA una faida nyingi ikiwemo bima ya maisha.
 
sio lazima uwe na akaunti crdb, unakuwa na akaunti UTT crdb unaingiza pesa zako tu kwenye akaunti yako ya utt.
Wanaofikiria kuwekeza miaka kumi, wekezeni kwenye mfuko wa WEKEZA MAISHA una faida nyingi ikiwemo bima ya maisha.
Ila mfuko wa liquid fund ni mzuri sana kibongo bongo tena ukiwa na mtaji chini ya milioni 100 unafaa sana sema ndio hivyo wabongo ni wabishi kila kitu
 
Ila mfuko wa liquid fund ni mzuri sana kibongo bongo tena ukiwa na mtaji chini ya milioni 100 unafaa sana sema ndio hivyo wabongo ni wabishi kila kitu
Hii elimu wanayo watu wachache mnoo,wabongo ni wavivu wa kutafuta elimu.
 
Nilikuwa utt ofisini kwao Kwa lengo la kujua namba ya hii mifuko na faida zake... Swali la kwanza kumuuliza mpokea maswali ilikuwa juu ya return au faida..jamaa alijibu Kwa kusisitiza kuwa utt haitoi faida Wala return Kwa mwenzi au Kwa mwaka... Wanachokifanya wao ni ongezeko la thamani ya kipande jinsi Inavyokuwa kutoka siku unayoanza kuwekeza Hadi siku unayopanga kufikia ukomo WA UWEKEZAJI wako...
Nilimuelewa but napata tabu napopitia huu Uzi naona Kuna wadau bado wanazungumza faida inayoingi a Kwa Kila mwenzi au Kwa Kila mwaka sijui hii imekaaje hapa...
 
Nilikuwa utt ofisini kwao Kwa lengo la kujua namba ya hii mifuko na faida zake... Swali la kwanza kumuuliza mpokea maswali ilikuwa juu ya return au faida..jamaa alijibu Kwa kusisitiza kuwa utt haitoi faida Wala return Kwa mwenzi au Kwa mwaka... Wanachokifanya wao ni ongezeko la thamani ya kipande jinsi Inavyokuwa kutoka siku unayoanza kuwekeza Hadi siku unayopanga kufikia ukomo WA UWEKEZAJI wako...
Nilimuelewa but napata tabu napopitia huu Uzi naona Kuna wadau bado wanazungumza faida inayoingi a Kwa Kila mwenzi au Kwa Kila mwaka sijui hii imekaaje hapa...
Nenda clubhouse pitia meeting zao zote, utajifunza vizuri
 
Back
Top Bottom