Je Kuna tofauti ya mtu kuwa Communist na mwingine kuwa Marxist?

Je Kuna tofauti ya mtu kuwa Communist na mwingine kuwa Marxist?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Karibuni wanasayansi wa siasa na maswala ya kimataifa.
 
Cha kushangaza karl marx alikuwa mjerumani , lakini falsafa yake haijawa well applied kwenye nchi za ulaya magharibi. Bali ulaya mashariki na nchi za asia
 
Ha
Cha kushangaza karl marx alikuwa mjerumani , lakini falsafa yake haijawa well applied kwenye nchi za ulaya magharibi. Bali ulaya mashariki na nchi za asia
Hata Afrika,tumekuwa wachuuzi wa bidhaa fake za kichina na zingine kutoka Japan nk wakati bidhaa hizo kwenye Masoko ya kwao hazipo.

Half knowledge is a poison of truth.
 
Cha kushangaza karl marx alikuwa mjerumani , lakini falsafa yake haijawa well applied kwenye nchi za ulaya magharibi. Bali ulaya mashariki na nchi za asia
Ujerumani iliwahi kugawanyika, ufaransa iliwahi kuonja ukomunisti.

By the way ukomunisti haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani sio ulaya mashariki sio Asia
 
Back
Top Bottom