Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Nchi za kijinga na zenye viwanda vichache vya sukari wanapata uzalishaji mkubwa kuliko hata Tanzania yenye viwanda vingi vya sukari hapo Uganda, Malawi, Zimbabwe, Zambia na Uganda wanazalisha sana sukari kutuzidi wakati wana viwanda vichache ila Sera zao kwenye sukari sio ukiritimba kama kwetu..Acha bhana.., kumbe hivi viwanda vinawekewa limit ya kiasi cha kuzalisha?!!!! Huu mbona kama ni Umafia tunafanyiwa na serikali yetu wenyewe dhidi ya walalahoi?!