Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

Tunafahamu lengo ni kulinda viwanda vya ndani, ila je, hivyo viwanda vya ndani vinakidhi mahitaji?

Kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani, mbona viwanda husika haviongezeki ukubwa wala idadi? Kwanini havikuwi pamoja na ukinzi wote huu at the expemse ya WaTZ kununua sukari shs. 6,000/= kwa kilo?

Huu mzigo mzito hivi wa kulinda viwanda vya wahindi anaobeneshwa mTz ni kwa faida ya nani? Iweje mijitu inalindwa kila siku kw amaumivu na mateso makali, ila haiongezi uzalishaji, kwanini?

Hawa washenzi tumewahakikishia soko la ndani la uhakika, tumewahakikishia ardhickubwa ya uhakika ya kulima miwa, tunawalindia soko lao kisheria Kwa maumivu na mateso makali, kwanini hawaongezi uzalishaji tu, kwanini?

Dawa pekee ya kuzuia uhaba na hujuma ya wanaoficha sukari ili kupandisha bei ni kuzalisha nyingi kiasi kwamba waishie maghala ya kuficha sukari, yaani wakificha tani 100 wewe unazalisha tani 200, wakificha tena hizo 200 wewe unazalisha tani 400, dawa ni hiyo kote.

Leo jaribu kuficha chumvi ili upandishe bei, ndio utajua hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ukifcha tani 100 za chumvi, Neel salt anachukua ile pesa uliyonunulia hizo tani 100 kisha anaenda kuzalisha tani 500.., tuone kama utaficha tena.

USHAURI: Kwakuwa wahindi wenye viwanda wameamua kushirikiana na walanguzi kwa kuzalisha sukari kidogo ili wapewe vibali (kumbuka wanaopewa vibali vya kuagiza sukari ni wamiliki wa viwanda vya sukari nchini tu) vya kuagiza sukari na kuja kuiuza kwa bei mara tatu hadi nne nankisha kugawana pesa hiyo na serikali kupitia watendaji na waziri mwenye dhamana kwa mfumo wa rushwa nzito za mabilioni kwa mabilioni;

SASA TUNAHITAJI SUKARI IAGIZWE KWA UHURU KAMA NGUO KARIAKOO,

Sababu sheria hii ya kulinda sukari inawafaidisha walanguzi na watendaji wa serikali wala rushwa, kama hivi viwanda vimeshindwa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kupewa ulinzi mzito kiasi hiki, basi let nature take its course, kama kufa vife tu! Tumeumizwa vya kutosha.
==========================

UPDATE: 22/02/2024


BASHE: WAFANYABIASHARA WA SUKARI WACHAGUE KUUZA AU KUACHA, TUMEWALINDA VYA KUTOSHA
Akifafanua kuhusu changamoto ya Sukari Nchini, Waziri wa Kilimo, Hussein Mohammed Bashe amegusia kuhusu Serikali kufanya mabadiliko ya biashara ya sukari na kuruhusu ushindani wa biashara hiyo kwa wawekezaji wa ndani na wa nje ya Nchi”
Sukari ikiwa nyingi, Haitakua Bidhaaa hadimu. Pia idadi ya wagonjwa wa kisukari itaongezeka. Sababu tutakunywa sana Chai na Juice za matunda.
Watengenezaji wa pombe haramu nao waongezeka na kutengeza pombe nyingi. Walev wataongezeka na kukosa Nguvu kaz ya Taifa. Sababu itakua inauzwa kwa Bei ndogo
 
Hii issue ya sukari wanaofaidika nayo ni mabwanyenye wa nchi hii. Wamiliki wa viwanda ndio watu pekee wanaruhusuwa kuagiza sukari nje ya nchi hii kwa mujibu wa sheria. Lakini kwa kuwa gharama za uzalishaji sukari hapa nchini zipo juu kuliko kuagiza nje basi ni rahisi kwa wamiliki kucheza na system, kuzalisha kidogo sukari na kuomba vibali vya kuagiza sukari nje ili wapate faida zaidi.
 
Ungeusikiliza na upande wa wazalishaji.
Hawa mawaziri ni wabwatukaji tu
 
Tunafahamu lengo ni kulinda viwanda vya ndani, ila je, hivyo viwanda vya ndani vinakidhi mahitaji?

Kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani, mbona viwanda husika haviongezeki ukubwa wala idadi? Kwanini havikuwi pamoja na ukinzi wote huu at the expemse ya WaTZ kununua sukari shs. 6,000/= kwa kilo?

Huu mzigo mzito hivi wa kulinda viwanda vya wahindi anaobeneshwa mTz ni kwa faida ya nani? Iweje mijitu inalindwa kila siku kw amaumivu na mateso makali, ila haiongezi uzalishaji, kwanini?

Hawa washenzi tumewahakikishia soko la ndani la uhakika, tumewahakikishia ardhickubwa ya uhakika ya kulima miwa, tunawalindia soko lao kisheria Kwa maumivu na mateso makali, kwanini hawaongezi uzalishaji tu, kwanini?

Dawa pekee ya kuzuia uhaba na hujuma ya wanaoficha sukari ili kupandisha bei ni kuzalisha nyingi kiasi kwamba waishie maghala ya kuficha sukari, yaani wakificha tani 100 wewe unazalisha tani 200, wakificha tena hizo 200 wewe unazalisha tani 400, dawa ni hiyo kote.

Leo jaribu kuficha chumvi ili upandishe bei, ndio utajua hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ukifcha tani 100 za chumvi, Neel salt anachukua ile pesa uliyonunulia hizo tani 100 kisha anaenda kuzalisha tani 500.., tuone kama utaficha tena.

USHAURI: Kwakuwa wahindi wenye viwanda wameamua kushirikiana na walanguzi kwa kuzalisha sukari kidogo ili wapewe vibali (kumbuka wanaopewa vibali vya kuagiza sukari ni wamiliki wa viwanda vya sukari nchini tu) vya kuagiza sukari na kuja kuiuza kwa bei mara tatu hadi nne nankisha kugawana pesa hiyo na serikali kupitia watendaji na waziri mwenye dhamana kwa mfumo wa rushwa nzito za mabilioni kwa mabilioni;

SASA TUNAHITAJI SUKARI IAGIZWE KWA UHURU KAMA NGUO KARIAKOO,

Sababu sheria hii ya kulinda sukari inawafaidisha walanguzi na watendaji wa serikali wala rushwa, kama hivi viwanda vimeshindwa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kupewa ulinzi mzito kiasi hiki, basi let nature take its course, kama kufa vife tu! Tumeumizwa vya kutosha.
==========================

UPDATE: 22/02/2024


BASHE: WAFANYABIASHARA WA SUKARI WACHAGUE KUUZA AU KUACHA, TUMEWALINDA VYA KUTOSHA
Akifafanua kuhusu changamoto ya Sukari Nchini, Waziri wa Kilimo, Hussein Mohammed Bashe amegusia kuhusu Serikali kufanya mabadiliko ya biashara ya sukari na kuruhusu ushindani wa biashara hiyo kwa wawekezaji wa ndani na wa nje ya Nchi”

Hakuna zaidi ya kulinda viwanda vya sukari, wakulima wa miwa na viwanda vya alcohol.
 
Back
Top Bottom