Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

Hii ni kulinda Viwanda vya ndani na kivijengea uwezo

kiuchumi inaitwa Protectionisim Policy

Wazalishaji wa ndani wanalindwa kwa kutoruhusu au kuruhusu kidogo bidhaa inayo zalishwa na wazalishaji wa ndani kuingia nchini.

Kuna aina mbili

Kwa kutoza kodi juu bidhaa inayoingizwa hivyo kuifanya iwe na bei juu kuliko ile iliyozalishwa ndani

Kutoruhusu kabisa au kwa uchache bidhaa hiyo kutoka nje.
 
Hii ni kulinda Viwanda vya ndani na kivijengea uwezo

kiuchumi inaitwa Protectionisim Policy

Wazalishaji wa ndani wanalindwa kwa kutoruhusu au kuruhusu kidogo bidhaa inayo zalishwa na wazalishaji wa ndani kuingia nchini.

Kuna aina mbili

Kwa kutoza kodi juu bidhaa inayoingizwa hivyo kuifanya iwe na bei juu kuliko ile iliyozalishwa ndani

Kutoruhusu kabisa au kwa uchache bidhaa hiyo kutoka nje.
Nani kabisha?

Unarudia nilichosema, nimeuliza, kama wanalindwa na hawakui wala kuongeza uzalishaji, badala yake wanashirikiana na walanguzi kulimit uzalishaji iki wapewe vibali vya kuagiza sukari na kuja kuuza bei mara nne huku wananchi wakiumia, ni kwanini sukari isiagizwe kwa uhuru ili watu wapone na mateso haya?
 
Nani kabisha?

Unarudia nilichosema, nimeuliza, kama wanalindwa na hawakui wala kuongeza uzalishaji, badala yake wanashirikiana na walanguzi kulimit uzalishaji iki wapewe vibali vya kuagiza sukari na kuja kuuza bei mara nne huku wananchi wakiumia, ni kwanini sukari isiagizwe kwa uhuru ili watu wapone na mateso haya?

Hasara zakuagiza sukari hovyo na kito vilinda viwanda vya ndani ni kubwa kuliko.

Fikiriria kuhusu

1.Kodi
2.Ajira
3.Huduma za kijamii
 
Tunafahamu lengo ni kulinda viwanda vya ndani, ila je, hivyo viwanda vya ndani vinakidhi mahitaji?

Kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani, mbona viwanda husika haviongezeki ukubwa wala idadi? Kwanini havikuwi pamoja na ukinzi wote huu at the expemse ya WaTZ kununua sukari shs. 6,000/= kwa kilo?

Huu mzigo mzito hivi wa kulinda viwanda vya wahindi anaobeneshwa mTz ni kwa faida ya nani? Iweje mijitu inalindwa kila siku kw amaumivu na mateso makali, ila haiongezi uzalishaji, kwanini?

Hawa washenzi tumewahakikishia soko la ndani la uhakika, tumewahakikishia ardhickubwa ya uhakika ya kulima miwa, tunawalindia soko lao kisheria Kwa maumivu na mateso makali, kwanini hawaongezi uzalishaji tu, kwanini?

Dawa pekee ya kuzuia uhaba na hujuma ya wanaoficha sukari ili kupandisha bei ni kuzalisha nyingi kiasi kwamba waishie maghala ya kuficha sukari, yaani wakificha tani 100 wewe unazalisha tani 200, wakificha tena hizo 200 wewe unazalisha tani 400, dawa ni hiyo kote.

Leo jaribu kuficha chumvi ili upandishe bei, ndio utajua hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ukifcha tani 100 za chumvi, Neel salt anachukua ile pesa uliyonunulia hizo tani 100 kisha anaenda kuzalisha tani 500.., tuone kama utaficha tena.

USHAURI: Kwakuwa wahindi wenye viwanda wameamua kushirikiana na walanguzi kwa kuzalisha sukari kidogo ili wapewe vibali (kumbuka wanaopewa vibali vya kuagiza sukari ni wamiliki wa viwanda vya sukari nchini tu) vya kuagiza sukari na kuja kuiuza kwa bei mara tatu hadi nne nankisha kugawana pesa hiyo na serikali kupitia watendaji na waziri mwenye dhamana kwa mfumo wa rushwa nzito za mabilioni kwa mabilioni;

SASA TUNAHITAJI SUKARI IAGIZWE KWA UHURU KAMA NGUO KARIAKOO,

Sababu sheria hii ya kulinda sukari inawafaidisha walanguzi na watendaji wa serikali wala rushwa, kama hivi viwanda vimeshindwa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kupewa ulinzi mzito kiasi hiki, basi let nature take its course, kama kufa vife tu! Tumeumizwa vya kutosha.
Huu ni mradi wa watu wazito (viongozi na wafanyabiashara) Kipindi wewe unalalamika bei ya sukari ndivyo watu wanavyopiga hela
 
Hasara zakuagiza sukari hovyo na kito vilinda viwanda vya ndani ni kubwa kuliko.

Fikiriria kuhusu

1.Kodi
2.Ajira
3.Huduma za kijamii
Wakiagiza sukari nje.
1. Kodi gani itakosekana?
2. Ajira zipi zitakosekana?
3. Huduma gani za kijamii zitakosekana?
Siku zote uzalishaji wa sukari hapa nchi upo chini sana na ndiyo maana kila siku sukari inapanda bei.
Kikwete sukari ilikuwa shilingi ngapi? Magufuli je? Juzi hapa sukari ilikuwa 2800 kilo ila sasa ni 4,000 mpk 5500.
Kwa viwanda hivi vya ovyo Tanzania sukari itakuwa ni 7000 kilo 1. Time will tell
Endelea kulinda ujinga wakati watanzania wanalia
 
Wakiagiza sukari nje.
1. Kodi gani itakosekana?
2. Ajira zipi zitakosekana?
3. Huduma gani za kijamii zitakosekana?
Siku zote uzalishaji wa sukari hapa nchi upo chini sana na ndiyo maana kila siku sukari inapanda bei.
Kikwete sukari ilikuwa shilingi ngapi? Magufuli je? Juzi hapa sukari ilikuwa 2800 kilo ila sasa ni 4,000 mpk 5500.
Kwa viwanda hivi vya ovyo Tanzania sukari itakuwa ni 7000 kilo 1. Time will tell
Endelea kulinda ujinga wakati watanzania wanalia
Bora umenisaidia, Mimi sikuona hata haja ya kumjibu, sina muda wa kuchezea
 
 
 
Kwa jinsi hii nchi inavyotamaniwa tutalishwa sumu tupukutike
 
Sukari iagizwe kwa mtindo wa soko huria, umeme sasa ni wa kutosha na wa uhakika, wenye viwanda wajisimamie wenyewe sasa..
 
Mkuu hizo ndio moja ya dili kubwa za CCM, ili upewe kibali lazima uwe unakula nao, usikute mtu anatakiwa alipe B 2 kila kwaka ili aendelee kuwa na kibali.
 
Back
Top Bottom