Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Nimeona niangalie Quran yangu ya Kiingereza kuona kana unayo tafsiri tofauri na niliyo nayo

(34:12) And We subdued the wind to Solomon: its morning course was a month's journey and its evening course was a month's journey.17 We gave him a spring flowing with molten brass,18 and We subdued for him jinn who, by his Lord's permission,19 worked before him. Such of them as swerved from Our commandment, We let them taste the chastisement of the Blazing Fire. (34:13) They made for him whatever he would desire: stately buildings, images,20 basins like water-troughs and huge, built-in-cauldrons:21 “Work, O house of David, in thankfulness (to your Lord).

Nafikiri usome tena hiyo English version halafu unijulishe ni wapi masanam yalitengenezwa na kuwekwa msikitini?
Kwenye usomaji wa Koran Kuna kitu kinaitwa tafsir, bila tafsir au Hadith Koran ni kitabu kisichoeleweka kabisa

Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Ibn Abbas ni tafsir imeelezea hiyo Aya kwamba walimjengea Suleiman synagogue (msikiti) na Kuweka masanamu ya Malaika mitume na watumishi wa Allah
 
Nimeona niangalie Quran yangu ya Kiingereza kuona kana unayo tafsiri tofauri na niliyo nayo

(34:12) And We subdued the wind to Solomon: its morning course was a month's journey and its evening course was a month's journey.17 We gave him a spring flowing with molten brass,18 and We subdued for him jinn who, by his Lord's permission,19 worked before him. Such of them as swerved from Our commandment, We let them taste the chastisement of the Blazing Fire. (34:13) They made for him whatever he would desire: stately buildings, images,20 basins like water-troughs and huge, built-in-cauldrons:21 “Work, O house of David, in thankfulness (to your Lord).

Nafikiri usome tena hiyo English version halafu unijulishe ni wapi masanam yalitengenezwa na kuwekwa msikitini?
Koran bila maelezo ya binadamu haieleweki kabisa

Mfano
66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Allah, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake (Mtume), basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia

Utajiuliza hao wawili ni kina nani?
Wakisaidiana dhidi ya mtume kwani mtume kafanya nini?
Hao wawili wananguvu kubwa mpaka Allah , jibril ,Malaika wote na waumini wote muende kupigana nao?
 
Koran bila maelezo ya binadamu haieleweki kabisa

Mfano
66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Allah, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake (Mtume), basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia

Utajiuliza hao wawili ni kina nani?
Wakisaidiana dhidi ya mtume kwani mtume kafanya nini?
Hao wawili wananguvu kubwa mpaka Allah , jibril ,Malaika wote na waumini wote muende kupigana nao?
Kuelewa Quran naweza kufananisha na kitabu cha elimu darasani
Nafikiri leo hii ukichukua kitabu cha Kemia cha form two ukaanza kusoma, kama hujawahi kuwa na msingi wa Kemia utaelewa kiasi kidogo.
Hivyo hivyo Quran ni ufupisho (summary) ya mambo mengi sana yenye historia tofauti tofauti hivyo kama huna msingi wowote wa mafundisho ya Quran ni vigumu kuelewa kila kitu kwa maana iliyokusudiwa
Na hii ni changamoto kubwa kwa wasomaji wengi wa Quran na hata wasomaji wa Biblia na ndio sababu madhehebu mapya huibuka kila siku kwani kila mtumishi hujiona kuwa yeye ndiye ameelewa vizuri wakati wengine hawana msingi wowote wa kitabu husika
 
Habari Waheshimiwa wa JF.

Samahani kama nitamkwaza mtu kwa swala ninalotamani kulifahamu. Rafiki yangu wa Shuleni O Level, hata sasa nipo nae karibu ktkharakati za kupambania tonge, alifanikiwa kwenda KUHIJI Makka, miaka kama 7/8 sasa.

Aliporudi, akawa na katabia ka kuwasomea watu Dua kwa kadiri ya mahitaji yao, kitu ambacho hakuwahi kukifanya hapo awali.
Baadaye kidogo akaanza kuagua watu kwa dawa za kisuna. Mwishowe yote yamemshinda, na anaendelea na harakati za kufanya kazi alizokuwa ameziacha baada ya kutoka Kuhiji.

Mtu wa pili ni jirani yangu hapa Arusha, alifanikiwa kwenda kuhiji Makka kwa msaada wa kiongozi mmoja aliyemuahidi kwamba akipita Ubunge atamsapoti kwenda Kuhiji. Hatimaye mambo yalikuwa mazuri na alikwenda kuhiji.

Huyu naye akafanya kama yule rafiki yangu niliyetangulia kumzungumzia, Ni kama miaka 3/4 hivi iliyopita, alikuwa mganga wa kienyeji kabisa. Ila sasa yamemshinda, amerudi kwenye udalali wa viwanja huko Murieti, Njiro B & Kwenye hekaheka za CHAMA.

Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwenda HIJJA na HARAHATI ZA UGANGA ama TIBA ZA KISUNA?

Nini kinatoa HAMASA YA KUTOA TIBA YA NAMANA HIYO?
Hakuna uhusiano wa hija na uganga, huo uganga wao ni harakati za kusaka tonge tu ndio maana kulivyobuma wamerudia asili zao
 
Wote wezi tu. Unafikiri wajanja wajanja ni wale wanaoitwa "wachungaji" tu?

Wajinga ndio waliwao.

Hao wote na hayo yote uliyoyasema hayapo katika mafundisho ya Uislam.


Uislam umeamrisha watu wasome na ndiyo maana Uislam ukatoa mabingwa wa kila fani. Kwenye medicine tuna Ibn Sinna aka Avicenna. Kwenye sayansi zingine tunao kina Alkhwaarizim aka Algorithm. Tunao Al Jabr (Aljebra).

Sifahamu kwanini wazungu waliwabadili majina yao na kuyafanya yasieleweke kuwa ni ya Waislam?Jiulize wewe kwanini?
Msaada tutani, ni majina ya waislamu au ni majina ya Waarabu?
 
Allah anawaonea huruma mashoga, anasema wasutwe tu na kupigwa kidogo na makobazi

4:16. Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni.
Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals; ..
Wewe, huelewi kuwa Waislam tunaongozwa na Qur'an? Unaijuwa Qur'an?

Mbona unaleta mambo ya kiajabu ajabu ya kujitungia wewe na hao unaowawategemea?

Halafu hayo uliyoyaleta yanauhusiano upi na hii mada yahumu? Au mradi utafute ushari tu? Ndivyo "dini" yako inavyokutuma?
 
Ungeweka na andiko la biblia linaloruhusu kufanya hayo wanayofanya , mbali na hapo hao ni wapuuzi tu kama wanofanya mapenzi na watoto wa miaka 9

Koran inasema shoga ashutwe na kupigwa kidogo na makobasi
Wewe wa kanisa lipi?

Hivi Maryam mama'ke Yesu aliolewa ana miaka mingapi vile?
 
Na je mtu akienda hijja akisharudi anaruhusiwa kuendelea kumiliki malodge / nyumba za kulala wageni
Katika muktadha upi? Kumiliki nyumba ya wageni sio kosa kwamujibu
Nimeuliza waislamu wengi mno sipati majibu

Kwa nini mnabusu jiwe?
kama wewe ni mkristo umeshawahi kuwaza kwanini wakristo wanaabudu masanamu? Tena yapo hadi makanisani,
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mutah ni sexual pleasure ambayo inalipiwa Allah kasema mfanye hii kwa siku tatu au zaidi , Sheria yake ni mtoto ata akizaliwa hana haki yoyote kwa baba na wala hataweza kumjua baba yake
Umeyatoa wapi hayo mafundisho, au ndivyo mnavyodanganyana Sunday School?

Wewe ni wa kanisa lipi?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwa hiyo jiwe halina maana yoyote?

Wanaobusu wanahaba ya nini mpaka walibusu?
Kwa nini mkiswali mnaelekea jiwe lilipo?
Wewe wa kanisa lipi?

Nakushangaa sana unapofanya kejeli kusu Black stone.Unaijuwa Biblia kweli wewe? Soma...

Blackstone and bowing towards kaaba: Nothing to mock:-Actually you mocking on your own bible and torah
Sacred Stone in Kaaba-House of God and bowing to God facing towards Holy temple (Bible testifies and witnesses)
Sacred Stone: Gen.28:22 And this " Stone " which I have set for a pillar, shall be " God's House " and of all that thou shall give me I will surely give the tenth unto thee.
{"I will bow down toward your holy temple} and will praise your name for your love and your faithfulness, for you have exalted above all things your name and your word. (From the NIV Bible, Psalm 138:2)"
GOD Almighty's Holy Temple in Islam is the Kaaba in Mecca.
Allah Almighty Said in the Glorious Quran:
"Behold! We gave the site, To Abraham, of the (Sacred) House (i.e., the Kaaba), (Saying): 'Associate not anything (In worship) with Me; And sanctify My House For those who compass it round, Or stand up, Or bow, or prostrate themselves (Therein in prayer). And proclaim the Pilgrimage among men: they will come to thee on foot and (mounted) on every kind of camel, lean on account of journeys through deep and distant mountain highways; (The Noble Quran, 22:26-27)"
"Blessed is the man (Haji-pilmgrimi) whose strength is in thee; in whose heart are the ways of them. Who passing through the valley of Baca (Makkah) make it a well (zam zam); the rain also filleth the pools. (From the NIV Bible, Psalms 84:5-6)"
Exodus:24.4
Moses then wrote down everything the LORD had said. He got up early the next morning and built an altar at the foot of the mountain and set up twelve stone pillars representing the twelve tribes of Israel.
--------------
Exodus:20.25
If you make an altar of stones for me, do not build it with dressed stones, for you will defile it if you use a tool on it.
---------------------
Genesis:28.18
Early the next morning Jacob took the stone he had placed under his head and set it up as a pillar and poured oil on top of it.
#WHY_CHRISTIANS_IGNORANTLY_MOCKING_THE_ISLAMIC_BLACK_STONE ????
ON BLACK STONE,
⭕
If you are told that you are seeking omens from the Black Stone of Kaaba
🕋

🔵
Say:
Kissing the Black Stone can be a worship because the almighty Allah orders us to.
It is a following of the steps of the prophet, he kissed it because it is a piece of Paradise and because he told us it will be a testimony before Allah that we made pilgrimage to Mekkah ..etc
 
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Kwanza sielewi "koran" ni nini. Unajisumbua na vitu nisivyovijuwa, kama unataka kuelewa kitu, uliza Waislam tukufundishe, kujifanya unayajuwa usiyoyajuwa. Ni ujuha.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hata matapeli hawazuiwi kwenda Kuhiji ili Kujenga Imani kwa Wajinga wao,Kule Makka hakuna Mchujo...Ila nasikia ukienda kwa nia Ovu inakula kwako.
 
Back
Top Bottom