Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Biblia. Kumbukumbu la Torati 18:10-11

[10]Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

[11]wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

1648455891147.png
 
Usipotoshe watu na SURA AL- BAQARA
Kilichokuwa kinaongelewa kwenye hiyo Sura ni Hedhi, kuwa msiwaingilie wanawake ila baada ya Hedhi mnaweza kuendelea.
Na wala wala tupu ya Nyuma haikutolewa kama mbadala wa kuwaingilia wanawake wakiwa kwenye hedhi...ACHA UPOTOSHAJI!!

Vifungu ulivyo quote hivi hapa;
222 - 223 Na wanakuuliza juu ya hedhi. Waambie, huo ni uchafu. Basi jitengeni na
wanawake wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka wat'ahirike. Wakisha t'ahirika
basi waendeeni alivyo kuamrisheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu
huwapenda wanao tubu na huwapenda wanao jisafisha.
Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Lakini
jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu, na jueni kuwa hakika
nyinyi mtakutana naye. Na wape bishara njema Waumini.

"Na kuziendea konde zenu mpendavyo, si sehemu ya nyuma, bali ni sehemu ambayo panapatikana uzazi na ndio ikafananishwa na konde/ shamba kwa sababu shamba hulimwa na kuota mazao ambayo kwayo hupatikana mavuno"

Reference nyingine kwa kifupi:

1. Allaah Hatomtazama mwanamume mwenye kumuingilia mkewe kwa nyuma" (an-Nasaaiy na Ibn Hibbaan kwa Isnadi nzuri).

2. "Amelaaniwa mwenye kumjia mwanamke kwa nyuma" (Ahmad, Abu Daawuud na Ibn 'Adiy).

3. "Mwenye kumuingilia mwenye hedhi au mwanamke kwa nyuma au kumuendea mchawi na kumuamini kwa anayosema basi amekufuru kwa aliyoteremshiwa Muhammad" (Abu Daawuud, at-Tirmidhiy na Ibn Maajah, na Isnadi yake ni Sahihi).
 
Usipotoshe watu na SURA AL- BAQARA
Kilichokuwa kinaongelewa kwenye hiyo Sura ni Hedhi, kuwa msiwaingilie wanawake ila baada ya Hedhi mnaweza kuendelea.
Na wala wala tupu ya Nyuma haikutolewa kama mbadala wa kuwaingilia wanawake wakiwa kwenye hedhi...ACHA UPOTOSHAJI!!

Vifungu ulivyo quote hivi hapa;
222 - 223 Na wanakuuliza juu ya hedhi. Waambie, huo ni uchafu. Basi jitengeni na
wanawake wakati wa hedhi. Wala msiwaingilie mpaka wat'ahirike. Wakisha t'ahirika
basi waendeeni alivyo kuamrisheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu
huwapenda wanao tubu na huwapenda wanao jisafisha.
Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Lakini
jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu, na jueni kuwa hakika
nyinyi mtakutana naye. Na wape bishara njema Waumini.

"Na kuziendea konde zenu mpendavyo, si sehemu ya nyuma, bali ni sehemu ambayo panapatikana uzazi na ndio ikafananishwa na konde/ shamba kwa sababu shamba hulimwa na kuota mazao ambayo kwayo hupatikana mavuno"

Reference nyingine kwa kifupi:

1. Allaah Hatomtazama mwanamume mwenye kumuingilia mkewe kwa nyuma" (an-Nasaaiy na Ibn Hibbaan kwa Isnadi nzuri).

2. "Amelaaniwa mwenye kumjia mwanamke kwa nyuma" (Ahmad, Abu Daawuud na Ibn 'Adiy).

3. "Mwenye kumuingilia mwenye hedhi au mwanamke kwa nyuma au kumuendea mchawi na kumuamini kwa anayosema basi amekufuru kwa aliyoteremshiwa Muhammad" (Abu Daawuud, at-Tirmidhiy na Ibn Maajah, na Isnadi yake ni Sahihi).
Icho kitabu ni Cha kweli au uongo?

Nina swali nimekuuliza
Kwa nini mnabusu jiwe?
 
Icho kitabu ni Cha kweli au uongo?

Nina swali nimekuuliza
Kwa nini mnabusu jiwe?
sijawahi kukutana na maandishi yoyote kwenye Quran yakielekeza kubusu jiwe
Kama unayo naomba unijuze na mimi nielimike
 
Ivi Allah anavyo waambia mfanye mutah (umalaya) ni maadili?
"mutah" ndio nini? ndio huo umalaya uusemao? Umefundishwa wapi hilo? Nadhani waliokufundisha walitaka kukufanya malaya wao.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
"mutah" ndio nini? ndio huo umalaya uusemao? Umefundishwa wapi hilo? Nadhani waliokufundisha walitaka kukufanya malaya wao.
Mutah ni sexual pleasure ambayo inalipiwa Allah kasema mfanye hii kwa siku tatu au zaidi , Sheria yake ni mtoto ata akizaliwa hana haki yoyote kwa baba na wala hataweza kumjua baba yake
 
Biblia. Mambo ya Walawi 26:1

[1]Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


View attachment 2166726
Kunajiwe lilichorwa hapo? Au huoni? Hulijuwi hilo jiwe? Tukepe elimu?

Wewe ni wa kanisa lipi?


Tazama hii...

File:All Saints Catholic Church (St. Peters, Missouri) - altar to Saint Joseph, statues.jpg


Nikuongeze?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Biblia. Kumbukumbu la Torati 18:10-11

[10]Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

[11]wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

Mungu alipiga marufuku wabashiri lakini Mohammad anajiita mbashiri
Alipiga marufuku kuwaomba wafu lakini maislam yanaendelea kuwaomba makaburini
View attachment 2166719
Huyo hawaombi wafu, anawaombea wafu.


Wamuombao mfu ni Wakristo. Yesu yuko wapi mnaemuomba?
 
Kunajiwe lilichorwa hapo? Au huoni? Hulijuwi hilo jiwe? Tukepe elimu?

Wewe ni wa kanisa lipi?


Tazama hii...

File:All Saints Catholic Church (St. Peters, Missouri) - altar to Saint Joseph, statues.jpg


Nikuongeze?
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
waislam wana maadili gani ya maana

ushoga,ugaidi,n.k
ZANZIBAR: UNGUJA YATAJWA KUONGOZA KWA UKAHABA NA USHOGA

Waziri Dkt. Saada Salum Mkuya amesema #Unguja ina Wanawake 4,854 na Pemba 700 wanaofanya Biashara ya kuuza miili yao

Wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja #Zanzibar ni 3,300

Soma - https://jamii.app/UshogaUkahaba

Watu 20 wakamatwa kwa kushtumiwa ushoga Zanzibar - RFI



MAUSIA/MAADILI YA MUNGU WALIPEWA WAYAHUDI ,KUPITIA BIBLIA(AGANO LA KALE NA JIPYA)

Warumi 3​

Neno: Bibilia Takatifu​

Uaminifu Wa Mungu​

3 Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Je, kutahiriwa kuna faida yo yote? 2 Ndio, zipo faida nyingi. Kwanza, Mungu aliwaka bidhi Wayahudi maagizo yake. 3 Na hata kama baadhi yao hawaku amini,je, kutokuamini kwao kutamfanya Mungu aache kuwa mwaminifu? 4 Hata kidogo!Mungu ataendelea kuwa wa kweli hata kama kila mwan adamu atakuwa mwongo. Kama ilivyoandikwa katika Maandiko,“Wewe Mungu, uthibitishwe kuwa wahaki katika maneno yako, na mshindi katika hukumu.”
Sasa Unguja ndio Uislam? We poyoyo lweli kweli.


Sema Vatican, tutakuelewa, si unaelewa ndio chimbuko la Ukristo huko> Au wewe wa kanisa lipi?Tukupe ya kanisani kwako.
 
Sio lazima wala sio akida ni mahaba ya mtu tu. Kama vile kumbusu mama'ko ni mahaba yako tu.
Kwa hiyo jiwe halina maana yoyote?

Wanaobusu wanahaba ya nini mpaka walibusu?
Kwa nini mkiswali mnaelekea jiwe lilipo?
 
Back
Top Bottom