Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulishashuka baada ya kuchukua point ..vipi ww bado umelala mgongoni...utajikojolea shuka harakaMimi ni Simba ...ila tumebebwa
Sisi hiyo haituhusu nyie endeleeni kuumia mpk nguvu zenu ziishe...Lkn tumebebwa
UMBUMBUMBU ndo unasumbua.Uchambuzi
Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga
....wameshinda....lakini pia wakaanza kung'oa viti
NB: Yanga wanajitahidi kujenga plenty image kimataifa.....makolo yanavuruga.
View attachment 3177828
Kubebwa kiaje?Lkn tumebebwa
Hatumtetei mwarabu kwakuwa yeye ndio chanzo cha vurugu.Sio sisi walee inamaan mnawatetea waarabu jamani..
🤣🤣 Kuwa mpole viti vitalipwaMakolo ni balaa sana
Hakuna mwanasimba aloyeng'oa viti uwanjani?Sio sisi walee inamaan mnawatetea waarabu jamani..
Hakuna mwanasimba aliyeng'oa viti uwanjani?Sio sisi walee inamaan mnawatetea waarabu jamani..
[emoji32]Sisi hiyo haituhusu nyie endeleeni kuumia mpk nguvu zenu ziishe...
View attachment 3177889
Na raha ya kubebwa ushindeee hahahahha
Hilooooooo....jinyongee
Unayo video ikionyesha dhahiri shahiri?Hakuna mwanasimba aliyeng'oa viti uwanjani?