Je, kuna uhusiano gani kati ya Simba na kung'oa viti?

Je, kuna uhusiano gani kati ya Simba na kung'oa viti?

Lkn tumebebwa
Sisi hiyo haituhusu nyie endeleeni kuumia mpk nguvu zenu ziishe...
Screenshot_20241215-222925_Chrome.jpg

Na raha ya kubebwa ushindeee hahahahha
 
Uchambuzi

Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga

....wameshinda....lakini pia wakaanza kung'oa viti

NB: Yanga wanajitahidi kujenga plenty image kimataifa.....makolo yanavuruga.
View attachment 3177828
UMBUMBUMBU ndo unasumbua.
 
Back
Top Bottom