Je, kuna uhusiano gani kati ya Simba na kung'oa viti?

Je, kuna uhusiano gani kati ya Simba na kung'oa viti?

Uchambuzi

Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga

....wameshinda....lakini pia wakaanza kung'oa viti

NB: Yanga wanajitahidi kujenga plenty image kimataifa.....makolo yanavuruga.
View attachment 3177828
Kuna mashabiki wengi wa utopolo mfano wa mchome.
Mchome anaweza kuwa ameandaliwa maalum kuichafua Simba akiwa na genge lake wanaolipwa kwa huo ujinga.
Mi nashangaa sana mashabiki na viongozi wa Simba wanaomchekea huyu na watu kama hawa.
 
Kuna mashabiki wengi wa utopolo mfano wa mchome.
Mchome anaweza kuwa ameandaliwa maalum kuichafua Simba akiwa na genge lake wanaolipwa kwa huo ujinga.
Mi nashangaa sana mashabiki na viongozi wa Simba wanaomchekea huyu na watu kama hawa.
Yule ni kolo pure ....sema tu ni vile anajitambua
 
Anaye pendekeza dakika ziongezwe ni refa na anaye hakiki dakika ambazo wachezaji wanazipoteza ni refa ina maana refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho uwanjani kwa mchezo husika
 
Mkuu,
Tuanzie hapa wewe UNAISHI? Nchi gani? Majibu..

Ukiugua unatibiwa wapi? Una uelewa gani maana ya neno MALI YA UMMA??

Ushawai kupanda ndege? Ushawai kusafir nje ya nchi? Una ELIMU gani..your educational level?

Unajishihurisha na Nini? Kwa maana ya kazi /Ushawai kwenda hapo Benjamin mkapa stadium?

Kwa kuanzia tuanze na haya maswali machache Tena kwa Nia nzurii TU ni jue naongea au ku argue na mtu wa namna gani?
Sina majibu ya maswali yako isipokuwa nitakwambia kwa nini niliandika nilichoandika kwa level ya aina ya watu waliopo tanzania kuanzia watawala mpaka watawaliwa hakuna tofauti katika swala zima la kufikiri na kutenda wewe hapo ulipo inawezekana una maslahi fulani unayapata kutoka kwenye utawala na ndo wengi huwa mnahubiri kuhusu uzalendo na hayo mambo ya sijui mali ya umma hivi ni Umma gani unauongelea ni ule wa kupiga kura siku ya uchaguzi wakaporwa maamuzi yao juu ya mgombea wanayemtaka na hao unaowaita viongozi?au unazungumzia Umma wa kupigwa marungu na mabomu ya machozi bila huruma kama haujui linapokuja swala la maslahi ya serikali ndo huwa unasikia hizo mambo za sijui umma uzalendo lakini kiuhalisia hakuna hicho kitu acha kujidanganya kwenye nchi kama zetu za kiafrika neno Umma lipo kwenye makaratasi kiuhalisia halipo ikiwa Umma hauheshimiki kwenye kufanya maamuzi ya nani aongoze nani hatumtaki aongoze wewe unaona kuna mantiki ya kujivunia mali za serikali kuwa za Umma?Wewe kama uko daraja la juu kimaisha jaribu siku moja uende hospitali za wilaya uone raia wanachokutana nacho kuna mantiki gani mgonjwa kufia hospitali ikazuiawa mwili mpaka lilipwe deni la huduma za hospitali wewe unaona ni sawa?
 
Sina majibu ya maswali yako isipokuwa nitakwambia kwa nini niliandika nilichoandika kwa level ya aina ya watu waliopo tanzania kuanzia watawala mpaka watawaliwa hakuna tofauti katika swala zima la kufikiri na kutenda wewe hapo ulipo inawezekana una maslahi fulani unayapata kutoka kwenye utawala na ndo wengi huwa mnahubiri kuhusu uzalendo na hayo mambo ya sijui mali ya umma hivi ni Umma gani unauongelea ni ule wa kupiga kura siku ya uchaguzi wakaporwa maamuzi yao juu ya mgombea wanayemtaka na hao unaowaita viongozi?au unazungumzia Umma wa kupigwa marungu na mabomu ya machozi bila huruma kama haujui linapokuja swala la maslahi ya serikali ndo huwa unasikia hizo mambo za sijui umma uzalendo lakini kiuhalisia hakuna hicho kitu acha kujidanganya kwenye nchi kama zetu za kiafrika neno Umma lipo kwenye makaratasi kiuhalisia halipo ikiwa Umma hauheshimiki kwenye kufanya maamuzi ya nani aongoze nani hatumtaki aongoze wewe unaona kuna mantiki ya kujivunia mali za serikali kuwa za Umma?Wewe kama uko daraja la juu kimaisha jaribu siku moja uende hospitali za wilaya uone raia wanachokutana nacho kuna mantiki gani mgonjwa kufia hospitali ikazuiawa mwili mpaka lilipwe deni la huduma za hospitali wewe unaona ni sawa?
Umeandika mambo mazito Sana Sanaa mkuu.

Nimekuelewa 🙏
 
Uchambuzi

Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga

....wameshinda....lakini pia wakaanza kung'oa viti

NB: Yanga wanajitahidi kujenga plenty image kimataifa.....makolo yanavuruga.
View attachment 3177828
Ile kauli ya Rage itakuwa bado inawatesa. Maana haiji akilini mtu mzima na akili zako, eti unang'oa kiti ulichokalia na kuwatupia watu wengine.
 
Back
Top Bottom