Je, kuna uhusiano gani kati ya Simba na kung'oa viti?

Haiingii akilini kwa kua FOOTAGE ZIPO NA MULILO kazama front hakika itajulikana TU.

Na uhakika Kodi zetu haziwezi kwenda bureee wahuni na alio watuma lazima watiwe nguvuni .

HUJUMA ZA KIJINGA KWA TAIFA LETU HAZIKUBARIKI..WATU WALIO VUNJA NA KUNG'OA VITI WAPATIKANE NA WABINYWE NYETI ZAO ILI SIKU NYINGINE WAJUE KUHESHIMU MALI YA UMMA.
 
Watu wenye Akili kama zAko sijui kwa nini huwa nawatukana kimoyomoyo Kwa hiyo ule uwanja ni.mali ya Umma ? we ukiwa na kichenparty yako utaenda kufanyia pale si ndio?Mapato yanayopatikana pale huwa mnagaiwa wewe na familia yako zinawasaidia kujikimu si ndio? kodi yako wewe inakusaidia nini kwenyeazingira ya nchi kama hizi za kiafrika? we ungekuwa nchi za dunia ya kwanza nadhani ungeona tayari uko peponi kama uko bongo na una mawazo hayo basi una safari ndefu sana.
 
Mkuu,
Tuanzie hapa wewe UNAISHI? Nchi gani? Majibu..

Ukiugua unatibiwa wapi? Una uelewa gani maana ya neno MALI YA UMMA??

Ushawai kupanda ndege? Ushawai kusafir nje ya nchi? Una ELIMU gani..your educational level?

Unajishihurisha na Nini? Kwa maana ya kazi /Ushawai kwenda hapo Benjamin mkapa stadium?

Kwa kuanzia tuanze na haya maswali machache Tena kwa Nia nzurii TU ni jue naongea au ku argue na mtu wa namna gani?
 
Washamba nyie,Hapo Lubumbashi tu mnatiwa vidole na wakongo mnalialia tuu.
 
Kabisa mkuu
 
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
Tulimuelewa yule aliyewaita ninyi ni masokwe /Nyani. Pua tulimuelewa aliyekuwa msemaji wenu alitewaambia Yanga wenye akili ni wawili tu. Wengine wote ukiwemo na wewe kwenye akili umepita mshipa wa mavi!. Hamna akili kabisa yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…