Kuna mashabiki wengi wa utopolo mfano wa mchome.Uchambuzi
Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga
....wameshinda....lakini pia wakaanza kung'oa viti
NB: Yanga wanajitahidi kujenga plenty image kimataifa.....makolo yanavuruga.
View attachment 3177828
Yule ni kolo pure ....sema tu ni vile anajitambuaKuna mashabiki wengi wa utopolo mfano wa mchome.
Mchome anaweza kuwa ameandaliwa maalum kuichafua Simba akiwa na genge lake wanaolipwa kwa huo ujinga.
Mi nashangaa sana mashabiki na viongozi wa Simba wanaomchekea huyu na watu kama hawa.
Kwamba tunawaonea wivu kung'oa viti kweli mkuu ππPale mnapotafutiza faraja...
Hatucheki na wowotee
Wivuuuuu
Kufungwa haiwezekani kwasababu nawao wenye uwanja wanategemea Simba na Yanga kupata PesaSiku Mkapa stadium ikifungiwa ndio Simba na Yanga tutajua
Hawana akili, kumbe mnabishana na watu ambao hawana akiliKwamba tunawaonea wivu kung'oa viti kweli mkuu ππ
Baa haliondoki ila kwa baa!Kivip mkuu....do you support uhuni
Sina majibu ya maswali yako isipokuwa nitakwambia kwa nini niliandika nilichoandika kwa level ya aina ya watu waliopo tanzania kuanzia watawala mpaka watawaliwa hakuna tofauti katika swala zima la kufikiri na kutenda wewe hapo ulipo inawezekana una maslahi fulani unayapata kutoka kwenye utawala na ndo wengi huwa mnahubiri kuhusu uzalendo na hayo mambo ya sijui mali ya umma hivi ni Umma gani unauongelea ni ule wa kupiga kura siku ya uchaguzi wakaporwa maamuzi yao juu ya mgombea wanayemtaka na hao unaowaita viongozi?au unazungumzia Umma wa kupigwa marungu na mabomu ya machozi bila huruma kama haujui linapokuja swala la maslahi ya serikali ndo huwa unasikia hizo mambo za sijui umma uzalendo lakini kiuhalisia hakuna hicho kitu acha kujidanganya kwenye nchi kama zetu za kiafrika neno Umma lipo kwenye makaratasi kiuhalisia halipo ikiwa Umma hauheshimiki kwenye kufanya maamuzi ya nani aongoze nani hatumtaki aongoze wewe unaona kuna mantiki ya kujivunia mali za serikali kuwa za Umma?Wewe kama uko daraja la juu kimaisha jaribu siku moja uende hospitali za wilaya uone raia wanachokutana nacho kuna mantiki gani mgonjwa kufia hospitali ikazuiawa mwili mpaka lilipwe deni la huduma za hospitali wewe unaona ni sawa?Mkuu,
Tuanzie hapa wewe UNAISHI? Nchi gani? Majibu..
Ukiugua unatibiwa wapi? Una uelewa gani maana ya neno MALI YA UMMA??
Ushawai kupanda ndege? Ushawai kusafir nje ya nchi? Una ELIMU gani..your educational level?
Unajishihurisha na Nini? Kwa maana ya kazi /Ushawai kwenda hapo Benjamin mkapa stadium?
Kwa kuanzia tuanze na haya maswali machache Tena kwa Nia nzurii TU ni jue naongea au ku argue na mtu wa namna gani?
Umeandika mambo mazito Sana Sanaa mkuu.Sina majibu ya maswali yako isipokuwa nitakwambia kwa nini niliandika nilichoandika kwa level ya aina ya watu waliopo tanzania kuanzia watawala mpaka watawaliwa hakuna tofauti katika swala zima la kufikiri na kutenda wewe hapo ulipo inawezekana una maslahi fulani unayapata kutoka kwenye utawala na ndo wengi huwa mnahubiri kuhusu uzalendo na hayo mambo ya sijui mali ya umma hivi ni Umma gani unauongelea ni ule wa kupiga kura siku ya uchaguzi wakaporwa maamuzi yao juu ya mgombea wanayemtaka na hao unaowaita viongozi?au unazungumzia Umma wa kupigwa marungu na mabomu ya machozi bila huruma kama haujui linapokuja swala la maslahi ya serikali ndo huwa unasikia hizo mambo za sijui umma uzalendo lakini kiuhalisia hakuna hicho kitu acha kujidanganya kwenye nchi kama zetu za kiafrika neno Umma lipo kwenye makaratasi kiuhalisia halipo ikiwa Umma hauheshimiki kwenye kufanya maamuzi ya nani aongoze nani hatumtaki aongoze wewe unaona kuna mantiki ya kujivunia mali za serikali kuwa za Umma?Wewe kama uko daraja la juu kimaisha jaribu siku moja uende hospitali za wilaya uone raia wanachokutana nacho kuna mantiki gani mgonjwa kufia hospitali ikazuiawa mwili mpaka lilipwe deni la huduma za hospitali wewe unaona ni sawa?
Ile kauli ya Rage itakuwa bado inawatesa. Maana haiji akilini mtu mzima na akili zako, eti unang'oa kiti ulichokalia na kuwatupia watu wengine.Uchambuzi
Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga
....wameshinda....lakini pia wakaanza kung'oa viti
NB: Yanga wanajitahidi kujenga plenty image kimataifa.....makolo yanavuruga.
View attachment 3177828