Antidius Mutalemwa
Member
- Oct 26, 2013
- 77
- 4
Mimi nadhani ni game of chances tu. Kwa sababu, kama nilivyotolea mfano hapo awali, nilikuwa na jirani ambao wazazi wote wawili ni maprofesa tena kwenye fani za sayansi lakini watoto wao hata common sense hawakuwa nazo achilia mbali akili za darasani.
Na nina dada-binamu ambaye mama yake hata kusoma vizuri hajui lakini sasa hivi huyo binti yupo chuoni akisomea shahada ya usanifu majengo. Mdingi wake naye si mwenye 'akili' nyingi kivile - ni mjeda tu wa V tatu.
Sasa hapo utaona kabisa kuwa huyo binti hakurithi toka kwa mama wala baba. Who knows karithi toka kwa nani.
Halafu, sidhani kama ni lazima sana kurithi akili toka kwa mtu. Nadhani hata wewe mwenyewe tu DNA yako inaweza ikawa configured kihivyo, kwamba ukawa na maakili mengi tu.
Pamoja na hayo, bado naamini katika uwezekano wa mtu kurithi akili kutoka kwa wazazi wote wawili kuwa ni mkubwa zaidi kuliko kurithi kutoka kwa babu au bibi au hiyo ya DNA yako mwenyewe.
Siwezi kusema kama walikuwa vilaza lakini hawakuwa magenius kama walivyokuwa hao ma sperm donors. Hao sperm donors walitakiwa wawe ma genius. Wiki inasema hivi:
Hahaaa yaani wewe bana.
Hoja zako zinachekesha na kusikitisha kweli. Kwa nini mama "genius square" azae mtoto kilaza kama akili tunarithi kwa mama? Halafu, yaani kweli mtu kutambua kuwa mtoto asiye na akili nyingi ni mzigo ndo kipimo cha u "genius square"? Good grief. Daaaah!!!
Manake hata logic tu ni shida.
Kama walikuwa "genius square" ya nini sasa kwenda kwenye sperm bank kutafuta mbegu 'bora' kiakili? Wao wamama si ndo wanarithisha akili...?
Kama ni hivyo basi wangezaa na yeyote tu yule maana isingejalisha kwa sababu watoto wangerithi akili za mama zao ambao ni "genius square"!
Heri ufanye hivyo kuliko kuja na hivi vichekesho kama hicho hapo juu.
Haya nimeisikiliza mwanzo mwisho...
Mama yake Doron alikuwa doctor (sikumbuki kama walisema ni PhD au medical) hapo utasema amerithi intelligence kwa baba?
Na walisema walikuwa wanatafuta clever and interested women?
walikuwa wanamaanisha nini?
Kuna wamama wawili walikuwa waharifu, wakanyang'anywa watoto...na ikawa lesson...
Mbona hawakutuambia hao watoto kama waliishia kuwa nani? Maan hao ndio wangekuwa control group (japo mi sio natural scientist wala quantitative researcher haya hayanipigi chenga) experiment lazima iwe na control group...
Graham's original intention was to monitor the outcomes of children produced through the bank's sperm, and he asked families using the bank's sperm to agree to periodic surveys; however, most recipients showed no interest in sharing information on their children once the procedure was over, and when he sent out a survey to recipient families in the early 1990s, few families responded. Two women who claimed to have been the recipients of Repository sperm and to have raised children born of that sperm responded anonymously to a series of articles in Slate in 2001. Both stated that their children were extremely intelligent and healthy.[SUP][2][/SUP]
A later segment of the same Slate article reported on the highlights of the lives of fifteen of the resultant children. Of the fifteen, six reportedly had 4.0 GPAs and two were reported to be "artistically precocious". Still others were reported to be "geniuses" and "whizzes" at various disciplines. All the children contacted by Slate were in good health, except one, who had what his mother described as a "developmental disability".[SUP][3[/SUP]
Hii documentary hai make much sense to me as long as hao wanawake hawakupimwa level yao ya intelligence....
Na hao watoto wanaweza kuwa smart sababu wanajua kuwa wanategemewa kuwa hivyo...
Kama nilivyosema ukimuita mtoto mjinga...ata behave like one...
At least wangewapa hizo sperms bila kuwaambia kuhusu donor na mambo ya intelligence...lakini kuwa aware kume wa condition wazazi na watoto....
Umeshasoma vitabu vya Ben Carson? umeona jinsi maneno ya wazazi yanavyotoa motisha kwa watoto...ukiambiwa now and then that you are genius you will behave like one hata kama akili zako za manati...
Na kwa kumalizia hiyo study ni ya mwaka gani...je haijawa challenged? outdated?
- The Repository for Germinal Choice was an elite sperm bank that closed in 1999
- Its founder recruited only men of high intelligence and strong athletic ability
- The so-called "Nobel Prize sperm bank" drew criticism
- "This is Life with Lisa Ling"features some of the children born as a result
Baadhi ya snippets za article ya CNN hizi hapa:
Here are some interesting facts about the Repository for Germinal Choice:
It didn't cost that much
Women who applied for Graham's genius sperm only had to come up a $50 application fee and $10 a month for storage and shipping costs, according to a 1984 New York Times article on the sperm bank.
The moms didn't have to be geniuses
They had to be married (although there was an exception made for at least one single mother), but the mothers did not have to take an IQ test or go through any genetic screening.
Most of the progeny of the "genius sperm bank" who have spoken publicly say they did quite well in school. Today, as adults, many seem to be pretty ordinary: Tom runs a roofing business, Leandra is an opera singer, Courtney is a dancer, Logan has a form of autism.
And several claim to feel pressure to do something extraordinary with their lives. As Tom puts it, "I have to do something with the gifts that I've been given."
But Adrienne -- mother of Leandra, Courtney, and Logan -- says having "genius sperm" is no guarantee for happiness and success. "There's only so much you can control when it comes to genetics," she says. "It all has to do with what you give to your family.
Na kwanza wao wala hawakutakiwa wawe ma geniuses kama ilivyokuwa kwa ma sperm donors.
We hakikisha tu unazaa mtoto mwenye nywele maana waswahili tunasema akili ni nywele kila mtu ana zake
Hata mimi nakunali katika hili. Kama genotype wanarirhi toka kwa mama zao(kama wengi wanavyoainisha hapa) mbona physical appearance mtoto aweza rithi toka kwa mjomba, shangazi, baba mdogo... Binafsi naamini, kama phenotype inarithiwa toka kwa yoyote, basi hata genotype inaweza kurithiwa toka kwa yoyote kati ya wazazi au ndugu wa wazazi.Lakini kusema moja kwa moja kwamba watoto wanarithi akili (nyingi na ndogo) kutoka kwa mama pekee nakataa.
Hapo mimi nakubali.
Na kwenda ndani zaidi, mtoto anaweza kurithi kutoka hata kwa babu mzaa baba au babu mzaa mama, au bibi mzaa baba, bibi mzaa mama, na kadhalika.
Lakini kusema moja kwa moja kwamba watoto wanarithi akili (nyingi na ndogo) kutoka kwa mama pekee nakataa.
Halafu mi huwa naona kama vile wanawake ndio huonekana kupenda sana kufuata dini.....
Kwa observations zangu za kwenye makanisa (sijui kuhusu misikiti na mengineyo) wanawake huwa wana wa-outnumber wanaume.
Nyani Ngabu hao wanawake hawakutakiwa wawe ma-geniuses lakini haina maana they weren't kwasababu hiyo haikuwa requirement kwao na wala hawakuangaliwa. Bado kuna uwezekano kwamba walikuwa na akili sana ama talents ambazo zinaonekana kwa baadhi ya watoto.
Hiyo project ingetoa majibu mazuri kama wangezingatia pia u-genius wa wamama ili mwisho iangaliwe kwamba u-genius wa baba na wa mama umechangia vipi u-genius wa mtoto. Hapo tungejua kwamba wababa TU ndo waliowapa watoto 'vichwa' kama wamama wote walikuwa 'vilaza' na watoto wote wamezaliwa 'vichwa'.
Vi2 viwili vinadetermine akili ya mtoto,kwanza nature,hii n ya kurithi,anaweza rithi kwa baba au kwa mama au sehemu kwa baba sehemu kwa mama!kama ilivo katikq kurithi maumbile,rangi na tabiq mbalimbali.Kitu chq pili ni nurture,haya n mazingira anayokulia mtoto,yanaweza kuisharpen akili ya mtoto au kuidumaza,inqhusisha chqngqmoto mbalimbali na lishe pia!sasa msikomae tu nq kwamba mtoto amerithi akili ya baba au mama,kunq kitu unaweza kufanya ili kumsaidia mwanao
Hata mimi nakunali katika hili. Kama genotype wanarirhi toka kwa mama zao(kama wengi wanavyoainisha hapa) mbona physical appearance mtoto aweza rithi toka kwa mjomba, shangazi, baba mdogo... Binafsi naamini, kama phenotype inarithiwa toka kwa yoyote, basi hata genotype inaweza kurithiwa toka kwa yoyote kati ya wazazi au ndugu wa wazazi.
Agree...ie Mimi nimerithi upande wa mama zaidi, hususani wajomba zangu(numbers ##😉
Women are moral and men are rational
Te te te next time ntamshauri apige magoti kuomba presenter a wind up...hasa kama presenter ni mwanaume...
Huyo dada hakuwa mtanzania...ni mkenya...
Nadhani ndio zana ya emancipation inapokuja...
Haya, twende kazi.
Kama baba alikuwa genius kuna kila uwezekano akawa amerithi kwa baba. Bado hujaonyesha ushahidi wowote ule kwamba mtoto hawezi kurithi akili kutoka kwa baba. Bado hujaonyesha.
Si unadai umesikiliza? Sasa kama umesikiliza kwa nini unaniuliza tena? Wewe ulichosikia ni nini? Halafu umesikiliza au umetazama?
Is this a rhetorical questions?
What's this got to do with what we are discussing about?
Haya, soma hiki kipande kwa umakini (hususan hicho cha pili) na ikiwezekana rudia kusoma hata mara tatu na ambapo hutaelewa niulize nikueleweshe. Sawa? Haya soma sasa.
Intelligence inapimwaje kwani?
Na kwanza wao wala hawakutakiwa wawe ma geniuses kama ilivyokuwa kwa ma sperm donors. Kwa akili ya kawaida tu naweza kusema walitakiwa wasiwe wendawazimu among other things lakini si kuwa extremely intelligent au "genius square".
Hii kauli yako inapingana na madai yako kuwa watoto wanarithi akili za mama zao.
Kama ana akili alizozirithi kutoka kwa mama yake kwa nini a-behave hivyo ilhali yeye si mjinga? Hizo akili alizorithi hazimtoshi kubaini kuwa ulivyomwita mjinga hayuko hivyo?
Kwa taarifa yako hao watoto walikuwa observed kuanzia wakiwa wachanga. Na sijui kama umewahi kupeleka wanao (nasadiki unao kadhaa, kama huna niwie radhi) kwa pediatrician? Pediatrcian hakuwa ana track development yao na kukupa percentile ranking?
Mara nyingi watoto wenye akili nyingi huwa wanaonyesha uwezo mkubwa tokea wakiwa wadogo sana. I have one so I know what I'm talking about. Mtoto wa miaka 2 akiwa na verbal skills za mtoto wa miaka 7 au 8 si sawa na mtoto wa miaka 2 aliye na verbal skills za mtoto wa miaka 3 au 4.
Ku behave kama genius hakumfanyi mtu awe genius. Nakubali kwamba kutia mtu moyo huwa kunaleta matokeo chanya lakini pia ili hayo matokeo chanya yatokee ni lazima kuwepo na fundamentals. Kwa hiyo hata uambiwe una maakili kumzidi Einstein wewe kama hesabu hazipandi ni hazipandi tu.
Haikuwa study. Ilikuwa ni project. Na sidhani hata unasoma vizuri ninayoyaandika.
Kwa kifupi, watoto waliozaliwa kwenye hiyo project bado wapo hai. Na miezi kama miwili iliyopita CNN walirusha documentary kuhusu hiyo project na matokeo (watoto) yake.
Story highlights za hiyo documentary hizi hapa:
Sasa bonyeza hapa uende moja kwa moja kwenye tovuti ya CNN ilipo hiyo makala ambako pia kuna clips kadhaa za hiyo documentary.
Haya niliyaongelea jana na inavyoonekana hata hukuyasoma. Kama uliyasoma basi ni ama umeyasahau au hukuyaelewa.
Nyani Ngabu hao wanawake hawakutakiwa wawe ma-geniuses lakini haina maana they weren't kwasababu hiyo haikuwa requirement kwao na wala hawakuangaliwa. Bado kuna uwezekano kwamba walikuwa na akili sana ama talents ambazo zinaonekana kwa baadhi ya watoto.
Hiyo project ingetoa majibu mazuri kama wangezingatia pia u-genius wa wamama ili mwisho iangaliwe kwamba u-genius wa baba na wa mama umechangia vipi u-genius wa mtoto. Hapo tungejua kwamba wababa TU ndo waliowapa watoto 'vichwa' kama wamama wote walikuwa 'vilaza' na watoto wote wamezaliwa 'vichwa'.
It's scientifically proven that a child takes about 80% intelligency from it's mother and 20% from the biological father..
Nakuuliza wewe sababu ndio uloweka hii clip ambayo ni meaningless...just a journalistic work...
Unajua unatakiwa kitu unachokitumia kama evidence uwe tayari kukitetea...? wewe unaniachia mimi burden of the proof?
Uminikumbusha juzi kati nilikuwa na discuss PhD thesis ya kijana mmoja...nikamuuliza maswali mengi kuhusu table aloweka kwenye one of his chapters...
Eti ananijibu siyo yangu; angalia chin nimeweka source...te te te...like serious...how do you use something you are not able to defend or criticize? Hii thesis ni ya mwenye table?