Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P
Swali la kichochezi mkuu Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?, kama jeshini tuna watu wa dini zote, inamaana wanao panda hadi kufikia top rank ya majenerali, kwa nini wengi wawe wa dini fulani hiyo hiyo?, kwani hao wa dini nyingine kwa nini hawawi majenerali?, jee wapo lakini hawana sifa za ujenerali au wapo na wanasifa lakini wanabaguliwa hivyo majenerali wengi kuwa watu wa dini moja?.
Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu?
.
Na tukija kwenye makabila, jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?. Kwa nini watu wa makabila fulani fulani ndio wajae majeshini na kupata hadi kuwa majenerali?. Yaani Majenerali wote ni watu wa makabila ya bara tuu, yaani watu wa Pwani na visiwani hawawezi kupanda na kuwa majenerali?.

Nauliza hivi makusudi ili baadae huko mbele ya safari, tusije kulaumiana, kati ya majenerali wote 8 wa jeshi letu, tangu tumepata uhuru, majerali watutu, sio tuu walitoka mkoa mmoja, bali ni watu wa kabila moja, sasa kuna unaya wowote, na mimi nikibahatika kuwa CinC wa majeshi yetu, nami nikatafuta angalau generali wa kabila langu, hata kama rank yake ilikuwa chini, nikamuongezea muda kidogo wa kustaafu jenerali aliyepo ambaye muda wake umekwisha, kisha nikampandisha vyeo chap chap jererali wa kabila langu, lakini kufuatia good track record ya utekelezaji wake wa mambo makubwa, ikaamuliwa kuanzia sasa, majerali wawe kutoka kabila fulani angalau hata watatu kama lile kabila jingine, wakati huo tukifanya affirmative action jeshini kwa kuwapandisha vyeo chap chap watu wa dini nyine ambao hawajapata majenerali, na kuwajaribisha watu wa makabila mengine kwenye vyeo vya juu, ili Jeshi letu la Wananchi wa Tanzania, liwe ni jeshi la wote kuweza kuwa majenerali?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P
Kwani Musuguri na Kiaro walikuwa wa dini gani?!
 
Kwani Musuguri na Kiaro walikuwa wa dini gani?!
Kiswahili kigumu sana, mimi hapa sijazungumzia dini ya mtu yoyote, bali nimesema majina yanayoashiria dini fulani, na nikasema kabisa ni majina tuu kama Anna Abdalah, Asha Rose, au Jaji Ramadhani.
NB. Jina la mtu sio dini ya mtu!.
P.
 
Kiswahili kigumu sana, mimi hapa sijazungumzia dini ya mtu yoyote, bali nimesema majina yanayoashiria dini fulani, na nikasema kabisa ni majina tuu kama Anna Abdalah, Asha Rose, au Jaji Ramadhani.
NB. Jina la mtu sio dini ya mtu!.
P.
Wagumu ni watu kama kina Paskali.
 
No , historia ni mwalimu mzuri! Wakurya ni wezi wa ngombe na hivyo ni wakakamavu. Rais wa kwanza alitoka kwao/upande ule na hivyo kuwa influenced na ukakamavu wao kuwaweka jeshini! Dini inategemea nani alikwenda huko. Pwani Mwarabu/islamu ilitawala. Bara Yesu affiliantes walitawala.
Mkuu Retired, kwani ni rais wa nchi ndiye huwa anapeleka watu jeshini?.
P.
 
Samahani Pascal Mayalla kama gari basi leo ninathubutu kabisa kusema umelegeza bolt ya tairi ili usababishe ajari lakini sidhani kama utashinda! Ushauri tu ungeufuta mwenyewe uzi wako huu.
Mkuu Mpinzire, ajali gani?!, Hudhani kama nitashinda?, nitashinda kwenye nini kwani mashindano yoyote humu hadi nishinde?. Niufutie nini?, uzi huu una kosa gani?.
P.
 
Wagumu ni watu kama kina Paskali.
Kiukweli tukubali tukatae, kuna makabila wagumu na makabila walaini, kuna ule msemo "mzigo mzito mpe ...".
Nimepandisha uzi huu, baada ya jana kumsikia CinC akimsifia CDF, tangu inchi hii imezaliwa, kwa mara ya kwanza jeshi limetoa gaiwo serikali!. Kumbe kuna makabila ya wachapa kazi, ukimuweka CDF kutoka kabila la wachapa kazi, jeshi linachapa kazi kama ambavyo tunashuhudia sasa, sasa kwa vile Tanzania tunachotaka ni maendeleo, CDF chapa kazi amethibisha kuchapa kazi kuleta maendeleo, sio jeshi wakati hakuna vita, kazi yao ilikuwa kula kulala, sasa hakuna vita jeshi linachapa kazi ya kujenga nchi na kuleta maendeleo hadi kutoa gaiwo, sasa kuna ubaya kabila hilo ndio likwa kabila rasmi la kutoa ma CDF?.
P.
 
Hakuna uhusiano kati ya dini na ukakamavu bali ulichokionesha ni namna gani dini inazingatiwa katika kuchagua hao mageneral katika jeshi
Mkuu tilmikha, jee wewe umewahi kuiona kanzi data ya JWTZ kuonyesha wenye majina ya dini fulani pia wapo wengi wa kutosha ila hawachaguliwi kuwa majerarali?.
P.
 
Kama vyeo ndio vinajenga nchi na kufikisha tunakotaka basi kila jumapili mchague mtoe vyeo mpaka field Marshall kutoka kila kanisa wawe 30 i mean every Sunday halafu tuone kama mtatengeneza the best weapons
Jamani hebu tuache mambo haya ya udini na ukabila halitusaidii

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Ktk ulimwengu wa sasa kuwekeza ktk IQ ni dili zaid ya ukakamavu. Computerized weapons n ........
Ila mnaitaj Assad wangapi apa nchini?
 
Zamani hizo nikiwa mdogo kulikuwa na utani mmoja ulikuwa ukitumiwa na binamu yangu mmoja Wakati fulani kabla wilaya ya Tarime haijagawanywa na kuwa wilaya ya Tarime na Rorya eti walikuja watu wakisaka vijana wa kujiunga na jeshi sasa walikuwa wakiuliza tu jina, wakikuuliza jina ukataja Mwita,Chacha,Odhiambo,Otieno wanakwambia wewe mwanaume wa kazi safi,lakini ukitaja Abdalah,Saidi,Juma wanakwambia kwenda huko wewe mtu wa wali huwezi jeshi.
 
Kama huna cha kuandika ni afadhali usiandike kitu. Huu ni ujinga wa karne uliondika leo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ka-Torero, mtu kujua kusoma ni jambo moja, kusoma na kuelewa ni jambo jingine, hivyo ukisoma kitu usichoelewa, unaweza kuona ni ujinga wa karne, huo ndio ndio mwisho wa uwezo wako. Pole.
Wenye uelewa zaidi, wanasomo huku wakijuiliza the motive behind ya mleta bandiko ni nini?, ukiwa huna uwezo wa kusoma in between the lines, the motive behind, then utaona huu ni ujinga,wa karne, kumbe mjinga wa karne ni wewe!.
Pole!.
P
 
Paskali una hoja,ila tutegemee mvua kubwa na matope punde tu!!

Nahisi chimbuko lilianzia kwa Nyerere kwa tukio hili......"Masikitiko ya Mwalimu ndicho kiini cha kuvunja jeshi la KAR na kuunda JWTZ. Katika kifupi hiki cha jina la jeshi letu jipya, Mwalimu alisema, alipenda sana neno "Wananchi" ila muktadha wa wananchi huo ndio umejaa hao anaojaribu kuhoji Paskali,jumlisha na historia ya Mwlm kuingia TAA hadi TANU na waliomkaribisha!!!
Mkuu Kipumbwi, kwanza asante, pili mimi ni ngozi ngumu, sio katope, hivyo siogopi mvua.
P.
 
Back
Top Bottom