Je, kuna uhusiano wotote kati ya nyumba unayoishi na kufunguka mambo yako?

Hii ni kweli, kuna nyumba nimewahi ishi dom kwa miaka sio pungufu ya minne na nilikua wakwanza kuingia baada ya kukamilika. Nikiwa kwenye ile nyumba sikufanya kitu chochote cha maana zaidi ya kulipa kodi na kula, majanga ndio usiseme ukipata hela tatizo linatokea linafyeka ela yote nikawa najiuliza au ni mimi tu kumbe sikuwa napitia hali hiyo peke yangu na baadhi ya majirani nao ni hivyo hivyo. Tukashauriana na jirani mmoja tukahama baada ya hapo unafuu ukawepo.
 
Nyamba nyingi zimezindikwa, wenye nyumba wana imani za kishirikina huchimbia ushirikina maeneo ya nyumba ndani na nje ya nyumba. Binafsi nimeshafukua vitu vya kishirikina nyumba kadhaa nilizoishi. Mambo ni mengi kwa kweli na yanaathiri wapangaji. Kikubwa ni kugundua na kuhama
 
Mie nmekuja kuunganisha dots leo
 
Chukuaudongokachanganye na wamposa tupia kwakoo njoo unianbiee
 
Ni kweli kabisa kuna nyumba zingine zina maagano mabaya au zipo kwenye mitaa yenye maagano. Kwa mfano usikae kabisa kwenye nyumba ambayo ipo kwenye mtaa ambao barabara haitoki
Mkuu nimejenga nyumba kwenye close, maana yake nini kwamba nisiishi hapo? ata kama ni nje ya TZ?
 
Duh hatari pole sana mzee
 
mwenza sawa lakini nyumba ina uhusiano gani na uchumi wako? Maana shughuli zako hufanyii nyumbani!
Zina negative energy zinafukuza baraka zako.
Ni kama ilivyo uswahili utoboi kama wewe sio mwanga.
Sababu ya chief satanists au mkuu wa wachawi wa eneo Hilo kaset standard mstari Fulani wa maisha wakazi wa eneo Hilo wasivuke.Mfano hakuna atakaemilki gari,kufika chuo kikuu,olewa nk.
Kuyashinda maagano ni either uwe na nguvu kuzidi wao.
 
Mbaraka mwinshee aliimba kitu halisi.
Mtaa WA Saba.
Mswahili kwa bidii anachoweza ni ngono na uchawi.
Uchawi na ngono ni pacha,maana ngono ni ibada katika uchawi
 
Nyumba zina maagano, kuna nyumba wahusika wamezindika vitu, or alikua anaishi kaacha mambo yake. So ukihamia ardhi hakukubali unasota. Nyingine inakukubali mambo yananyooka. Ni kuomba Mungu tu
Nyumba zinajengwa kwa damu za watu.
 
Hatuswali
Hatusali
hatuna hata mda yaani ni kuamka kuendelea na shughuli zetu ukirudi usiku unalala tutaacha kuwa na mikosi kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…