Je, kuna uhusiano wotote kati ya nyumba unayoishi na kufunguka mambo yako?

Je, kuna uhusiano wotote kati ya nyumba unayoishi na kufunguka mambo yako?

Ni kweli 99.9999%

Kuna mitaa tulikua tunaishi zamani.. unaambiwa hiyo nyumba majirani wanauliza tu, nyie kina fulani mwaka wa 6 huu bado mpo tu?! Maana watu hawakai wakamaliza mwezi wanahama.

Kilichosaidia kuishi hapo maombi lakini tuliyokua tunapitia Mungu ndie anaejua… wazee wenye miili ya kinyakyusa miezi miwili tofauti walichungulia shimo la mauti.. yani waliumwa mauti hii hapa unaiona…

Watoto hawasikii,
Hawasomi,
Kuumwa familia nzima,
Magomvi yasioisha,
Hakuna kitu unagusa kinaenda,
Biashara zilikufa..

Siku mama nuru ilipomshukia akaamka asee funga funga kila kitu tunahama.. tukaenda shamba huko.. potelea pwete.. saivi alhamdulillah Mungu ni mwema. Tunaishi vizuri baada ya kutoka pale.

Mauza uza yalikua mengi sana nisingeweza kumwaga code zote.
 
Wengine tupo nyumba za Kota, zina mambo hizi nyumba ni balaaaa, kuna siku nkiwa nasali nikajikuta nasema ninavunja maagano yote na manuizi ktk chumba nacholala, weeeeeeeeee kuanzia hpo nkawa kila nkipanda kitandani ninakabwa, ninakwanguliwa na vitu km makucha yaan nkawa km ndio nmeyatibua
 
Wengine tupo nyumba za Kota, zina mambo hizi nyumba ni balaaaa, kuna siku nkiwa nasali nikajikuta nasema ninavunja maagano yote na manuizi ktk chumba nacholala, weeeeeeeeee kuanzia hpo nkawa kila nkipanda kitandani ninakabwa, ninakwanguliwa na vitu km makucha yaan nkawa km ndio nmeyatibua
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Don't rebuke a 👿 if you don't have strong faith yatakuua hayo madude
 
Naomba nifunguke mama mfanyabiashara baba mtumishi tukaachwa nyumba x kinondoni bahati nzuri bibi alikua afisa polisi na alitusimamia vizuri Sana..... Miaka ikaenda nikafika chuo lakini kwa misukosuko sana siwezi kuweka wazi ile nyumba lugalo mpaka leo tunapokea kodi na wapangaji wanakrabati..... Kinondoni ndo hao wamanyema wanaojua ushirikna nashukuru dunia imenifundisha nao wana somo litaenda karne..,,!! Kuhusu mimi nilipata wa kuendana na mimi asietaka ligi tumejenga mkoani hatuna shida na mtu lakini hizi nyumba za watu ziheshimu Sana.
 
Ni kweli kbs nliishi maisha shda sn kwny nyumba kadhaa lakn hapa nlipohamia kaz ileile maisha yananyooka sn THANKS GOD uhakika wa basic needs siwaz kbs yan vtu nlivyonavyo nlivipata ndan ya miez mi 4 tu mpk watu wanashangaa. nategemea kuhama hapa mpk nijenge kwangu.
 
Naomba nifunguke mama mfanyabiashara baba mtumishi tukaachwa nyumba x kinondoni bahati nzuri bibi alikua afisa polisi na alitusimamia vizuri Sana..... Miaka ikaenda nikafika chuo lakini kwa misukosuko sana siwezi kuweka wazi ile nyumba lugalo mpaka leo tunapokea kodi na wapangaji wanakrabati..... Kinondoni ndo hao wamanyema wanaojua ushirikna nashukuru dunia imenifundisha nao wana somo litaenda karne..,,!! Kuhusu mimi nilipata wa kuendana na mimi asietaka ligi tumejenga mkoani hatuna shida na mtu lakini hizi nyumba za watu ziheshimu Sana.
Da umeanza kama una kitu heavy Cha kuongea...
 
Usinikumbushe machungu ,acha kabisa
Niliishia kumiliki tv tu miaka mitatu aisee
Cha ajabu nilivyohama tu ile nyumba nashukuru dalali kwa kunipeleka maana ilibadilisha Kira kitu
 
Ni kweli kabisa kuna nyumba zingine zina maagano mabaya au zipo kwenye mitaa yenye maagano. Kwa mfano usikae kabisa kwenye nyumba ambayo ipo kwenye mtaa ambao barabara haitoki
Kwasasa nyumba inayoshi ipo kwenye mtaa ambao barabara yake haitoki na kila kitu kipo vizuri kuliko hata nyumba niliyokuwa nakaa kabla ya hii ambayo barabara ya mtaa ilikuwa inatoka. Au hiyo imani inafanya kazi bongo tu?
 
Kwasasa nyumba inayoshi ipo kwenye mtaa ambao barabara yake haitoki na kila kitu kipo vizuri kuliko hata nyumba niliyokuwa nakaa kabla ya hii ambayo barabara ya mtaa ilikuwa inatoka. Au hiyo imani inafanya kazi bongo tu?
Kama upo kwenye nchi ambayo wachawi hawapo active ofvourse haiwezi kufanya kazi hiyo imani
 
Back
Top Bottom