Je, kuna ukweli wowote kwamba kipato cha Mwanamke kikiongezeka huwa chanzo cha kuonyesha dharau na kiburi?

Je, kuna ukweli wowote kwamba kipato cha Mwanamke kikiongezeka huwa chanzo cha kuonyesha dharau na kiburi?

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
JE KUNA UKWELI WOWOTE KWAMBA KIPATO CHA MWANAMKE KIKIONGEZEKA HUWA CHANZO CHA KUONYESHA DHARAU NA KIBURI?
Swali hilo linaweza kuwa na majibu aina mbili ndiyo na hapana kwa wakati mmoja.
kwa uzoefu wangu nimewahi kukutana na wanawake wengi sana ambao wanakipato kikubwa sana, elimu,vyeo, umaarufu na nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado huonekana wenye heshima, upendo,moyo wa kujali, huonyesha unyenyekevu bila kujali hali, wadhifa na uchumi wao.

Vilevile nimewahi kukutana na wanawake ambao hawana kazi,hawajasoma ,hawana muonekano mzuri,hawana umaarufu wowote wala nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado walionekana kuwa na tabia ya ubabe, kiburi, dharau, majivuno, jeuri, ujuaji,hawashauriki,hawaambiliki,wanakuwa wakosoaji kupitiliza lakini hawana uwezo wa kustahimili kukosolewa,hata akifanya makosa makubwa huwa wanaona kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo mtu anakuwa tayari kuachana na mwenza wake kuliko kuomba msamaha.

Hivyo tunaweza kuhitimisha kwamba kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa mwanamke yeyote huwa na tabia ya Mwanamke husika wala haina uhusiano wowote na muonekano,cheo, umaarufu,kazi,nguvu ya ushawishi,kipato kikubwa n.k

SIFA ZA MWANAMKE AMBAYE HAWEZI KUDUMU NA MWANAUME NDANI YA FAMILIA
Kwa mujibu wa vitabu vya dini ni kwamba mwanaume ni kichwa cha familia kisha Mwanamke anatakiwa kutii na kuheshimu mamlaka ya mwanaume ndani ya familia.
Lakini kwa mujibu wa itikadi za kifeminist za watu wa magharibi ni kwamba mwanaume na Mwanamke ni sawa kwa maana hakuna jinsia ndani ya familia bali kuna wenza yaani hakuna mwanaume au mwanamke bali kuna partner tu na wote wawili wanakuwa na mamlaka sawa ya maamuzi.
Hakuna mgawanyiko wa majukumu kwa maana Mwanamke anatoa 50 ya kipato cha familia na mwanaume anatoa 50% ya kipato cha familia.
Utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanawake wa kisasa ambao hupenda kuitwa strong independent woman, super woman, wakanda forever.
vilevile utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanaume ambao hupenda kulelewa.

Tuangalie sifa za mwanamke ambaye ni strong independent woman ambaye huwa chanzo cha migogoro ya kimapenzi/kifamilia kwa sababu ya kutaka kuwa kichwa cha familia.
1.ANAKUWA NGANGARI NA ANATAKA UHURU KUPITILIZA
Anakuwa anataka mashindano na mwanaume ndani ya nyumba,huwa hataki kuwa chini ya mamlaka ya mwanaume kwa sababu anatafsiri unyenyekevu,na utii ni utumwa na kushusha brand yake, anaamini chochote ambacho mwanaume anaweza kufanya na yeye anaweza kufanya kwa ubora huohuo.
Akiona anakosa uhuru anaweza kumlazimisha mwanaume ampe talaka,kisha maisha yakiwa magumu sana huwa anataka kurudiana na mwanaume .

Anatoka nyumbani muda wowote na kurudi nyumbani muda wowote hata ikiwa saa 8 usiku lakini hataki kuulizwa alikuwa wapi,akiulizwa tu anaporomosha matusi ya nguoni, atamdhalilisha mwanaume,atasema mwanaume yupo na wivu sana na anamfuatilia sana,akiona kelele zimezidi anabamiza mlango na kuondoka zake,au anaweza kurudi nyumbani kwao kukwepa kelele za mwanaume.

2.ANAKUWA NA MISIMAMO MIKALI SANA
Kwa sababu ya misimamo mikali sana ( rigid) anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa mkali kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mjuaji sana hivyo akipanga jambo lolote lazima liwe vile ambavyo amepanga na kinyume chake bora mahusiano yavunjike.

atampa amri mwanaume toa fedha kiasi XYZ kama hauwezi tuachane inakuwa kauli zake.
Akipanga kwenda kuzurura na mashoga zake anatoka nyumbani hata kama amekataliwa bora waachane kuliko kufanya kitu tofauti na misimamo yake.

kutokana na misimamo mikali sana mara nyingi mwanaume huanza kuonyesha wivu wa mapenzi uliopindukia,kuanza kulia, kuomba msamaha, kupiga magoti, kutishia kujiua kumbembeleza sana.

3.HATAKI KUKOSOLEWA WALA KUAMBIWA CHA KUFANYA
Mwanamke ambaye ni strong independent woman huwa hawezi kuomba msamaha hata kama amefanya makosa,kwake kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo bora mahusiano yavunjike lakini sio kuomba msamaha. Akifanya makosa akikosolewa anakuja kwa jazba anaanza kumkosoa vikali sana mwanaume kwa kumshambulia kwa maneno makali sana badala ya kukiri makosa.
Akifanya makosa makubwa sana anageuza kibao kwa mwanaume,anaweza kuanza kulia kwa kutaka kuonekana anapitia manyanyaso lakini yeye mwenyewe ndiyo anakuwa mnyanyasaji.

4.HAWEZI KUONYESHA HISIA ZA MAPENZI
Kwa sababu ya kiburi, majivuno, jeuri, ujuaji, misimamo mikali sana,hasira kupitiliza, ubabe,utemi na udikteta mara kwa mara anakuwa hana hisia zozote za mapenzi na vilevile kwake anaona ni UDHAIFU hivyo mara kwa mara anagoma kutoa unyumba kwa makusudi mpaka ugomvi unaibuka mara kwa mara.

Wanaume wengi huamua kutafuta mchepuko kama njia mbadala lakini wao mara nyingi hupata wanaume wenye tabia ya kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu sana,kujali sana ,kuomba msamaha mara kwa mara,kulia,kupiga magoti, kutishia kujiua, kumbembeleza sana,.

5.ANAKUWA BUSY SANA
Kwa Mwanamke ambaye ni strong independent woman mara nyingi anakuwa busy kupitiliza.Simu hapokei, sms hajibu.Anaondoka nyumbani alfajiri na kurudi nyumbani usiku sana kila siku.
Mara nyingi anakuwa busy kutafuta fedha nyingi sana ili katika maisha yake asije kumtegemea mwanaume kwa kitu chochote.
lakini baada ya kusimama vizuri kiuchumi huanza kuonyesha dharau waziwazi, ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri,ubabe.kauli za mkato.
kama akijua tu anamzidi mwanaume uchumi huanza kumpelelekesha, kumgombeza, kumtangaza vibaya, kumlaumu, kumkosoa vikali sana, kumshambulia kwa maneno makali sana kwa sababu anajua mwanaume hana fedha .

6.ANATAKA KILA KITU KIWE CHINI YAKE
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ndani ya familia huwa anataka kila kitu na kila mtu awe chini yake.
Anaweza kumpa amri mwanaume wake chagua mimi au mama yako mzazi.
Au anamlazimisha mwanaume atoe password za simu kwa lazima,au atampa amri mwanaume akabidhi mshahara wake wote kisha yeye Mwanamke apange matumizi na ikiwa mwanaume atakataa basi bora waachane.

7.ANAJALI SANA MAENDELEO YA KIUCHUMI KULIKO FAMILIA
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kifamilia huwa kipaumbele chake ni fedha tu.
Mara kwa mara anakuwa busy sana na kazi, biashara,safari za mara kwa mara hivyo familia kwake inakuwa sio kipaumbele.

wapo kwa sababu ya tabia hiyo hujikuta wamefika miaka 35 bila mume,wala mtoto wala mwanaume yeyote ambaye anaeleweka.
Wengi huwa hivyo kwa sababu anakuwa muhanga (victim) wa unyanyasaji ndani ya familia kwa sababu za kiuchumi,unakuta mama yake mzazi aliteswa sana na baba yake kwa sababu mama yake alikuwa tegemezi hivyo yeye binti anajiapiza kupambana kukabiliana na matatizo ya kiuchumi ili kuepuka kunyanyaswa na mwanaume kwa kuwa tegemezi.

8.HATAKI KUONEKANA DHAIFU
Hapa mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kimapenzi huwa anaonyesha tabia ya kutoa vitisho na maagizo tu badala ya kuomba .
kwa mfano akiwa na shida ya fedha haombi pesa kwa sababu anaogopa kuonekana DHAIFU badala yake anatoa maagizo na vitisho kuwa kama hauwezi kunipa kiasi XYZ cha fedha bora tuachane.
Anafanya hivyo ili kujilinda hata kama akiachwa anakuwa tayari alitoa kauli ya kuonyesha ubabe.
Hataki kuonyesha hisia za mapenzi kwa sababu anahisi ataonekana DHAIFU.
Uso wake unakuwa hauna tabasamu muda wote isipokuwa kujilazimisha kucheka.
Anakuwa na hasira kupitiliza kwa vitu vidogo vidogo sana

NINI CHANZO CHA MWANAMKE KUTAKA KUWA KICHWA NDANI YA FAMILIA?
chanzo cha tabia hiyo
Mwanamke Kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni kwamba Mwanamke anakuwa hawezi kumuamini mwanaume kwa sababu ya kumbukumbu mbaya zenye kuhuzunisha na kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni njia ya kujilinda dhidi ya kuumizwa kihisia, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa unyumba, kuingiliwa kinguvu au kuingiliwa kinyume na maumbile.
Mwanamke hawi kichwa cha familia ghafla bali anakuwa na trauma kama
1.Kulelewa na baba mkali kupitiliza husababisha Mwanamke kuwachukia wanaume hivyo anakuwa mkali kupitiliza kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wanyanyasaji matokeo yake anakuwa na hasira kupitiliza, ubabe, utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, misimamo mikali,anakuwa hana hisia za mapenzi madhara yake wanaume wanakuwa wanamuogopa.

2.Kulelewa na baba mpole kupitiliza huku mama anakuwa mkali kupitiliza.Mama anakuwa kichwa cha familia huku baba anakuwa kama bendera hivyo binti anajifunza kusimama ngangari kama kichwa cha familia kwa sababu tangu utotoni ameona mama yake ni kichwa cha familia huku baba anakuwa anaongozwa kama mtoto mdogo.Hivyo hawezi kukubali kuongozwa na mwanaume maishani mwake kwasababu amezoea kujiongoza tangu utotoni mwake.

3.Kulelewa na mama tu bila baba (Single mother parenting) ,binti anaweza kuonekana mbabe,mkali kupitiliza, anakuwa na hasira kupitiliza, misimamo mikali,utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, ubishi,anakuwa anajiamulia vitu yeye mwenyewe kwa sababu tangu utotoni ameishi bila baba ndani ya familia hivyo hajui namna ya kuishi kwa kuongozwa na mwanaume.Kwake ni rahisi kujiamulia mambo yeye mwenyewe kwa sababu amezoea kujiongoza tangu utotoni.

4.Kupitia manyanyaso ndani ya mahusiano ya zamani.
Hapa matukio huwa kama vile kupitia vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa chakula, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara, kutelekezwa na ujauzito au watoto,kupokonywa mali, kudhulumiwa mali, mwanaume kumuacha ghafla.

hali hiyo husababisha Mwanamke anajenga tabia ya ubabe, ukali kupitiliza, kiburi, majivuno, jeuri na dharau,utemi, kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wote wenye tabia ya unyanyasaji na udikteta.
 
JE KUNA UKWELI WOWOTE KWAMBA KIPATO CHA MWANAMKE KIKIONGEZEKA HUWA CHANZO CHA KUONYESHA DHARAU NA KIBURI?
Swali hilo linaweza kuwa na majibu aina mbili ndiyo na hapana kwa wakati mmoja.
kwa uzoefu wangu nimewahi kukutana na wanawake wengi sana ambao wanakipato kikubwa sana, elimu,vyeo, umaarufu na nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado huonekana wenye heshima, upendo,moyo wa kujali, huonyesha unyenyekevu bila kujali hali, wadhifa na uchumi wao.

Vilevile nimewahi kukutana na wanawake ambao hawana kazi,hawajasoma ,hawana muonekano mzuri,hawana umaarufu wowote wala nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado walionekana kuwa na tabia ya ubabe, kiburi, dharau, majivuno, jeuri, ujuaji,hawashauriki,hawaambiliki,wanakuwa wakosoaji kupitiliza lakini hawana uwezo wa kustahimili kukosolewa,hata akifanya makosa makubwa huwa wanaona kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo mtu anakuwa tayari kuachana na mwenza wake kuliko kuomba msamaha.

Hivyo tunaweza kuhitimisha kwamba kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa mwanamke yeyote huwa na tabia ya Mwanamke husika wala haina uhusiano wowote na muonekano,cheo, umaarufu,kazi,nguvu ya ushawishi,kipato kikubwa n.k

SIFA ZA MWANAMKE AMBAYE HAWEZI KUDUMU NA MWANAUME NDANI YA FAMILIA
Kwa mujibu wa vitabu vya dini ni kwamba mwanaume ni kichwa cha familia kisha Mwanamke anatakiwa kutii na kuheshimu mamlaka ya mwanaume ndani ya familia.
Lakini kwa mujibu wa itikadi za kifeminist za watu wa magharibi ni kwamba mwanaume na Mwanamke ni sawa kwa maana hakuna jinsia ndani ya familia bali kuna wenza yaani hakuna mwanaume au mwanamke bali kuna partner tu na wote wawili wanakuwa na mamlaka sawa ya maamuzi.
Hakuna mgawanyiko wa majukumu kwa maana Mwanamke anatoa 50 ya kipato cha familia na mwanaume anatoa 50% ya kipato cha familia.
Utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanawake wa kisasa ambao hupenda kuitwa strong independent woman, super woman, wakanda forever.
vilevile utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanaume ambao hupenda kulelewa.

Tuangalie sifa za mwanamke ambaye ni strong independent woman ambaye huwa chanzo cha migogoro ya kimapenzi/kifamilia kwa sababu ya kutaka kuwa kichwa cha familia.
1.ANAKUWA NGANGARI NA ANATAKA UHURU KUPITILIZA
Anakuwa anataka mashindano na mwanaume ndani ya nyumba,huwa hataki kuwa chini ya mamlaka ya mwanaume kwa sababu anatafsiri unyenyekevu,na utii ni utumwa na kushusha brand yake, anaamini chochote ambacho mwanaume anaweza kufanya na yeye anaweza kufanya kwa ubora huohuo.
Akiona anakosa uhuru anaweza kumlazimisha mwanaume ampe talaka,kisha maisha yakiwa magumu sana huwa anataka kurudiana na mwanaume .

Anatoka nyumbani muda wowote na kurudi nyumbani muda wowote hata ikiwa saa 8 usiku lakini hataki kuulizwa alikuwa wapi,akiulizwa tu anaporomosha matusi ya nguoni, atamdhalilisha mwanaume,atasema mwanaume yupo na wivu sana na anamfuatilia sana,akiona kelele zimezidi anabamiza mlango na kuondoka zake,au anaweza kurudi nyumbani kwao kukwepa kelele za mwanaume.

2.ANAKUWA NA MISIMAMO MIKALI SANA
Kwa sababu ya misimamo mikali sana ( rigid) anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa mkali kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mjuaji sana hivyo akipanga jambo lolote lazima liwe vile ambavyo amepanga na kinyume chake bora mahusiano yavunjike.

atampa amri mwanaume toa fedha kiasi XYZ kama hauwezi tuachane inakuwa kauli zake.
Akipanga kwenda kuzurura na mashoga zake anatoka nyumbani hata kama amekataliwa bora waachane kuliko kufanya kitu tofauti na misimamo yake.

kutokana na misimamo mikali sana mara nyingi mwanaume huanza kuonyesha wivu wa mapenzi uliopindukia,kuanza kulia, kuomba msamaha, kupiga magoti, kutishia kujiua kumbembeleza sana.

3.HATAKI KUKOSOLEWA WALA KUAMBIWA CHA KUFANYA
Mwanamke ambaye ni strong independent woman huwa hawezi kuomba msamaha hata kama amefanya makosa,kwake kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo bora mahusiano yavunjike lakini sio kuomba msamaha. Akifanya makosa akikosolewa anakuja kwa jazba anaanza kumkosoa vikali sana mwanaume kwa kumshambulia kwa maneno makali sana badala ya kukiri makosa.
Akifanya makosa makubwa sana anageuza kibao kwa mwanaume,anaweza kuanza kulia kwa kutaka kuonekana anapitia manyanyaso lakini yeye mwenyewe ndiyo anakuwa mnyanyasaji.

4.HAWEZI KUONYESHA HISIA ZA MAPENZI
Kwa sababu ya kiburi, majivuno, jeuri, ujuaji, misimamo mikali sana,hasira kupitiliza, ubabe,utemi na udikteta mara kwa mara anakuwa hana hisia zozote za mapenzi na vilevile kwake anaona ni UDHAIFU hivyo mara kwa mara anagoma kutoa unyumba kwa makusudi mpaka ugomvi unaibuka mara kwa mara.

Wanaume wengi huamua kutafuta mchepuko kama njia mbadala lakini wao mara nyingi hupata wanaume wenye tabia ya kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu sana,kujali sana ,kuomba msamaha mara kwa mara,kulia,kupiga magoti, kutishia kujiua, kumbembeleza sana,.

5.ANAKUWA BUSY SANA
Kwa Mwanamke ambaye ni strong independent woman mara nyingi anakuwa busy kupitiliza.Simu hapokei, sms hajibu.Anaondoka nyumbani alfajiri na kurudi nyumbani usiku sana kila siku.
Mara nyingi anakuwa busy kutafuta fedha nyingi sana ili katika maisha yake asije kumtegemea mwanaume kwa kitu chochote.
lakini baada ya kusimama vizuri kiuchumi huanza kuonyesha dharau waziwazi, ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri,ubabe.kauli za mkato.
kama akijua tu anamzidi mwanaume uchumi huanza kumpelelekesha, kumgombeza, kumtangaza vibaya, kumlaumu, kumkosoa vikali sana, kumshambulia kwa maneno makali sana kwa sababu anajua mwanaume hana fedha .

6.ANATAKA KILA KITU KIWE CHINI YAKE
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ndani ya familia huwa anataka kila kitu na kila mtu awe chini yake.
Anaweza kumpa amri mwanaume wake chagua mimi au mama yako mzazi.
Au anamlazimisha mwanaume atoe password za simu kwa lazima,au atampa amri mwanaume akabidhi mshahara wake wote kisha yeye Mwanamke apange matumizi na ikiwa mwanaume atakataa basi bora waachane.

7.ANAJALI SANA MAENDELEO YA KIUCHUMI KULIKO FAMILIA
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kifamilia huwa kipaumbele chake ni fedha tu.
Mara kwa mara anakuwa busy sana na kazi, biashara,safari za mara kwa mara hivyo familia kwake inakuwa sio kipaumbele.

wapo kwa sababu ya tabia hiyo hujikuta wamefika miaka 35 bila mume,wala mtoto wala mwanaume yeyote ambaye anaeleweka.
Wengi huwa hivyo kwa sababu anakuwa muhanga (victim) wa unyanyasaji ndani ya familia kwa sababu za kiuchumi,unakuta mama yake mzazi aliteswa sana na baba yake kwa sababu mama yake alikuwa tegemezi hivyo yeye binti anajiapiza kupambana kukabiliana na matatizo ya kiuchumi ili kuepuka kunyanyaswa na mwanaume kwa kuwa tegemezi.

8.HATAKI KUONEKANA DHAIFU
Hapa mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kimapenzi huwa anaonyesha tabia ya kutoa vitisho na maagizo tu badala ya kuomba .
kwa mfano akiwa na shida ya fedha haombi pesa kwa sababu anaogopa kuonekana DHAIFU badala yake anatoa maagizo na vitisho kuwa kama hauwezi kunipa kiasi XYZ cha fedha bora tuachane.
Anafanya hivyo ili kujilinda hata kama akiachwa anakuwa tayari alitoa kauli ya kuonyesha ubabe.
Hataki kuonyesha hisia za mapenzi kwa sababu anahisi ataonekana DHAIFU.
Uso wake unakuwa hauna tabasamu muda wote isipokuwa kujilazimisha kucheka.
Anakuwa na hasira kupitiliza kwa vitu vidogo vidogo sana

NINI CHANZO CHA MWANAMKE KUTAKA KUWA KICHWA NDANI YA FAMILIA?
chanzo cha tabia hiyo
Mwanamke Kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni kwamba Mwanamke anakuwa hawezi kumuamini mwanaume kwa sababu ya kumbukumbu mbaya zenye kuhuzunisha na kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni njia ya kujilinda dhidi ya kuumizwa kihisia, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa unyumba, kuingiliwa kinguvu au kuingiliwa kinyume na maumbile.
Mwanamke hawi kichwa cha familia ghafla bali anakuwa na trauma kama
1.Kulelewa na baba mkali kupitiliza husababisha Mwanamke kuwachukia wanaume hivyo anakuwa mkali kupitiliza kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wanyanyasaji matokeo yake anakuwa na hasira kupitiliza, ubabe, utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, misimamo mikali,anakuwa hana hisia za mapenzi madhara yake wanaume wanakuwa wanamuogopa.

2.Kulelewa na baba mpole kupitiliza huku mama anakuwa mkali kupitiliza.Mama anakuwa kichwa cha familia huku baba anakuwa kama bendera hivyo binti anajifunza kusimama ngangari kama kichwa cha familia kwa sababu tangu utotoni ameona mama yake ni kichwa cha familia huku baba anakuwa anaongozwa kama mtoto mdogo.Hivyo hawezi kukubali kuongozwa na mwanaume maishani mwake kwasababu amezoea kujiongoza tangu utotoni mwake.

3.Kulelewa na mama tu bila baba (Single mother parenting) ,binti anaweza kuonekana mbabe,mkali kupitiliza, anakuwa na hasira kupitiliza, misimamo mikali,utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, ubishi,anakuwa anajiamulia vitu yeye mwenyewe kwa sababu tangu utotoni ameishi bila baba ndani ya familia hivyo hajui namna ya kuishi kwa kuongozwa na mwanaume.Kwake ni rahisi kujiamulia mambo yeye mwenyewe kwa sababu amezoea kujiongoza tangu utotoni.

4.Kupitia manyanyaso ndani ya mahusiano ya zamani.
Hapa matukio huwa kama vile kupitia vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa chakula, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara, kutelekezwa na ujauzito au watoto,kupokonywa mali, kudhulumiwa mali, mwanaume kumuacha ghafla.

hali hiyo husababisha Mwanamke anajenga tabia ya ubabe, ukali kupitiliza, kiburi, majivuno, jeuri na dharau,utemi, kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wote wenye tabia ya unyanyasaji na udikteta.
Kapo kauhusiano
 
Uhusiano upo, kwa kiasi kikubwa kadri mwanamke anavyopanda ngazi kiuchumi au kieleimu ndivyo anavyozidi kupoteza sifa za kuwa mke mwema.

Kielimu, kadri mwanamke anavyopanda ngazi anakutana toxic theories mfano 50/50, feminism n.k. Nadharia ambazo zinamuaminisha kwamba mwanaume ndie adui yake na kikwazo cha maendeleo yake kwaiyo anatakiwa kumpinga kwenye kila kitu ikiwezekana kumchukia kabisa

Kiuchumi, naturaly mwanamke ni reciever na mwanaume ni provider. Mwanamke anajiona yupo entitled kwenye hela na mali za mwanaume wake ambapo in-return anatakiwa ku-offer utiifu na heshima, sasa mwanamke huyu akiwa ana mali au pesa zake maana yake haoni tena sababu ya kumtii mwanaume.

Hii kitu inaitwa 50/50 ndio ilikuja kuaribu balance katika mahusiano ya mwanaume na mwanamke. Women wants a place of a man, privilege of a woman and responsibility of neither. Hapo ndipo kwenye mvulugano.

Haiwezekani ukapewa nafasi ya provider halafu hapo hapo uwe na privilege ya reciever, lazima balance itakosekana.
 
Binadamu anapambania anachotaka ,mwanamke akiwa na uhakika wa maisha hna ulazima wa kuwa na mume labda kama anahitaji Mtoto.

So akiwa na kipato Cha kutosha Ina maana anajiweza kwa kubeba majukumu ya mume.
 
JE KUNA UKWELI WOWOTE KWAMBA KIPATO CHA MWANAMKE KIKIONGEZEKA HUWA CHANZO CHA KUONYESHA DHARAU NA KIBURI?
Swali hilo linaweza kuwa na majibu aina mbili ndiyo na hapana kwa wakati mmoja.
kwa uzoefu wangu nimewahi kukutana na wanawake wengi sana ambao wanakipato kikubwa sana, elimu,vyeo, umaarufu na nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado huonekana wenye heshima, upendo,moyo wa kujali, huonyesha unyenyekevu bila kujali hali, wadhifa na uchumi wao.

Vilevile nimewahi kukutana na wanawake ambao hawana kazi,hawajasoma ,hawana muonekano mzuri,hawana umaarufu wowote wala nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado walionekana kuwa na tabia ya ubabe, kiburi, dharau, majivuno, jeuri, ujuaji,hawashauriki,hawaambiliki,wanakuwa wakosoaji kupitiliza lakini hawana uwezo wa kustahimili kukosolewa,hata akifanya makosa makubwa huwa wanaona kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo mtu anakuwa tayari kuachana na mwenza wake kuliko kuomba msamaha.

Hivyo tunaweza kuhitimisha kwamba kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa mwanamke yeyote huwa na tabia ya Mwanamke husika wala haina uhusiano wowote na muonekano,cheo, umaarufu,kazi,nguvu ya ushawishi,kipato kikubwa n.k

SIFA ZA MWANAMKE AMBAYE HAWEZI KUDUMU NA MWANAUME NDANI YA FAMILIA
Kwa mujibu wa vitabu vya dini ni kwamba mwanaume ni kichwa cha familia kisha Mwanamke anatakiwa kutii na kuheshimu mamlaka ya mwanaume ndani ya familia.
Lakini kwa mujibu wa itikadi za kifeminist za watu wa magharibi ni kwamba mwanaume na Mwanamke ni sawa kwa maana hakuna jinsia ndani ya familia bali kuna wenza yaani hakuna mwanaume au mwanamke bali kuna partner tu na wote wawili wanakuwa na mamlaka sawa ya maamuzi.
Hakuna mgawanyiko wa majukumu kwa maana Mwanamke anatoa 50 ya kipato cha familia na mwanaume anatoa 50% ya kipato cha familia.
Utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanawake wa kisasa ambao hupenda kuitwa strong independent woman, super woman, wakanda forever.
vilevile utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanaume ambao hupenda kulelewa.

Tuangalie sifa za mwanamke ambaye ni strong independent woman ambaye huwa chanzo cha migogoro ya kimapenzi/kifamilia kwa sababu ya kutaka kuwa kichwa cha familia.
1.ANAKUWA NGANGARI NA ANATAKA UHURU KUPITILIZA
Anakuwa anataka mashindano na mwanaume ndani ya nyumba,huwa hataki kuwa chini ya mamlaka ya mwanaume kwa sababu anatafsiri unyenyekevu,na utii ni utumwa na kushusha brand yake, anaamini chochote ambacho mwanaume anaweza kufanya na yeye anaweza kufanya kwa ubora huohuo.
Akiona anakosa uhuru anaweza kumlazimisha mwanaume ampe talaka,kisha maisha yakiwa magumu sana huwa anataka kurudiana na mwanaume .

Anatoka nyumbani muda wowote na kurudi nyumbani muda wowote hata ikiwa saa 8 usiku lakini hataki kuulizwa alikuwa wapi,akiulizwa tu anaporomosha matusi ya nguoni, atamdhalilisha mwanaume,atasema mwanaume yupo na wivu sana na anamfuatilia sana,akiona kelele zimezidi anabamiza mlango na kuondoka zake,au anaweza kurudi nyumbani kwao kukwepa kelele za mwanaume.

2.ANAKUWA NA MISIMAMO MIKALI SANA
Kwa sababu ya misimamo mikali sana ( rigid) anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa mkali kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mjuaji sana hivyo akipanga jambo lolote lazima liwe vile ambavyo amepanga na kinyume chake bora mahusiano yavunjike.

atampa amri mwanaume toa fedha kiasi XYZ kama hauwezi tuachane inakuwa kauli zake.
Akipanga kwenda kuzurura na mashoga zake anatoka nyumbani hata kama amekataliwa bora waachane kuliko kufanya kitu tofauti na misimamo yake.

kutokana na misimamo mikali sana mara nyingi mwanaume huanza kuonyesha wivu wa mapenzi uliopindukia,kuanza kulia, kuomba msamaha, kupiga magoti, kutishia kujiua kumbembeleza sana.

3.HATAKI KUKOSOLEWA WALA KUAMBIWA CHA KUFANYA
Mwanamke ambaye ni strong independent woman huwa hawezi kuomba msamaha hata kama amefanya makosa,kwake kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo bora mahusiano yavunjike lakini sio kuomba msamaha. Akifanya makosa akikosolewa anakuja kwa jazba anaanza kumkosoa vikali sana mwanaume kwa kumshambulia kwa maneno makali sana badala ya kukiri makosa.
Akifanya makosa makubwa sana anageuza kibao kwa mwanaume,anaweza kuanza kulia kwa kutaka kuonekana anapitia manyanyaso lakini yeye mwenyewe ndiyo anakuwa mnyanyasaji.

4.HAWEZI KUONYESHA HISIA ZA MAPENZI
Kwa sababu ya kiburi, majivuno, jeuri, ujuaji, misimamo mikali sana,hasira kupitiliza, ubabe,utemi na udikteta mara kwa mara anakuwa hana hisia zozote za mapenzi na vilevile kwake anaona ni UDHAIFU hivyo mara kwa mara anagoma kutoa unyumba kwa makusudi mpaka ugomvi unaibuka mara kwa mara.

Wanaume wengi huamua kutafuta mchepuko kama njia mbadala lakini wao mara nyingi hupata wanaume wenye tabia ya kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu sana,kujali sana ,kuomba msamaha mara kwa mara,kulia,kupiga magoti, kutishia kujiua, kumbembeleza sana,.

5.ANAKUWA BUSY SANA
Kwa Mwanamke ambaye ni strong independent woman mara nyingi anakuwa busy kupitiliza.Simu hapokei, sms hajibu.Anaondoka nyumbani alfajiri na kurudi nyumbani usiku sana kila siku.
Mara nyingi anakuwa busy kutafuta fedha nyingi sana ili katika maisha yake asije kumtegemea mwanaume kwa kitu chochote.
lakini baada ya kusimama vizuri kiuchumi huanza kuonyesha dharau waziwazi, ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri,ubabe.kauli za mkato.
kama akijua tu anamzidi mwanaume uchumi huanza kumpelelekesha, kumgombeza, kumtangaza vibaya, kumlaumu, kumkosoa vikali sana, kumshambulia kwa maneno makali sana kwa sababu anajua mwanaume hana fedha .

6.ANATAKA KILA KITU KIWE CHINI YAKE
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ndani ya familia huwa anataka kila kitu na kila mtu awe chini yake.
Anaweza kumpa amri mwanaume wake chagua mimi au mama yako mzazi.
Au anamlazimisha mwanaume atoe password za simu kwa lazima,au atampa amri mwanaume akabidhi mshahara wake wote kisha yeye Mwanamke apange matumizi na ikiwa mwanaume atakataa basi bora waachane.

7.ANAJALI SANA MAENDELEO YA KIUCHUMI KULIKO FAMILIA
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kifamilia huwa kipaumbele chake ni fedha tu.
Mara kwa mara anakuwa busy sana na kazi, biashara,safari za mara kwa mara hivyo familia kwake inakuwa sio kipaumbele.

wapo kwa sababu ya tabia hiyo hujikuta wamefika miaka 35 bila mume,wala mtoto wala mwanaume yeyote ambaye anaeleweka.
Wengi huwa hivyo kwa sababu anakuwa muhanga (victim) wa unyanyasaji ndani ya familia kwa sababu za kiuchumi,unakuta mama yake mzazi aliteswa sana na baba yake kwa sababu mama yake alikuwa tegemezi hivyo yeye binti anajiapiza kupambana kukabiliana na matatizo ya kiuchumi ili kuepuka kunyanyaswa na mwanaume kwa kuwa tegemezi.

8.HATAKI KUONEKANA DHAIFU
Hapa mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kimapenzi huwa anaonyesha tabia ya kutoa vitisho na maagizo tu badala ya kuomba .
kwa mfano akiwa na shida ya fedha haombi pesa kwa sababu anaogopa kuonekana DHAIFU badala yake anatoa maagizo na vitisho kuwa kama hauwezi kunipa kiasi XYZ cha fedha bora tuachane.
Anafanya hivyo ili kujilinda hata kama akiachwa anakuwa tayari alitoa kauli ya kuonyesha ubabe.
Hataki kuonyesha hisia za mapenzi kwa sababu anahisi ataonekana DHAIFU.
Uso wake unakuwa hauna tabasamu muda wote isipokuwa kujilazimisha kucheka.
Anakuwa na hasira kupitiliza kwa vitu vidogo vidogo sana

NINI CHANZO CHA MWANAMKE KUTAKA KUWA KICHWA NDANI YA FAMILIA?
chanzo cha tabia hiyo
Mwanamke Kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni kwamba Mwanamke anakuwa hawezi kumuamini mwanaume kwa sababu ya kumbukumbu mbaya zenye kuhuzunisha na kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni njia ya kujilinda dhidi ya kuumizwa kihisia, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa unyumba, kuingiliwa kinguvu au kuingiliwa kinyume na maumbile.
Mwanamke hawi kichwa cha familia ghafla bali anakuwa na trauma kama
1.Kulelewa na baba mkali kupitiliza husababisha Mwanamke kuwachukia wanaume hivyo anakuwa mkali kupitiliza kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wanyanyasaji matokeo yake anakuwa na hasira kupitiliza, ubabe, utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, misimamo mikali,anakuwa hana hisia za mapenzi madhara yake wanaume wanakuwa wanamuogopa.

2.Kulelewa na baba mpole kupitiliza huku mama anakuwa mkali kupitiliza.Mama anakuwa kichwa cha familia huku baba anakuwa kama bendera hivyo binti anajifunza kusimama ngangari kama kichwa cha familia kwa sababu tangu utotoni ameona mama yake ni kichwa cha familia huku baba anakuwa anaongozwa kama mtoto mdogo.Hivyo hawezi kukubali kuongozwa na mwanaume maishani mwake kwasababu amezoea kujiongoza tangu utotoni mwake.

3.Kulelewa na mama tu bila baba (Single mother parenting) ,binti anaweza kuonekana mbabe,mkali kupitiliza, anakuwa na hasira kupitiliza, misimamo mikali,utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, ubishi,anakuwa anajiamulia vitu yeye mwenyewe kwa sababu tangu utotoni ameishi bila baba ndani ya familia hivyo hajui namna ya kuishi kwa kuongozwa na mwanaume.Kwake ni rahisi kujiamulia mambo yeye mwenyewe kwa sababu amezoea kujiongoza tangu utotoni.

4.Kupitia manyanyaso ndani ya mahusiano ya zamani.
Hapa matukio huwa kama vile kupitia vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa chakula, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara, kutelekezwa na ujauzito au watoto,kupokonywa mali, kudhulumiwa mali, mwanaume kumuacha ghafla.

hali hiyo husababisha Mwanamke anajenga tabia ya ubabe, ukali kupitiliza, kiburi, majivuno, jeuri na dharau,utemi, kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wote wenye tabia ya unyanyasaji na udikteta.
Nitasoma tu coment za wadau, hata ni kupenda kusoma sio kwa insha hii
 
Binadamu anapambania anachotaka ,mwanamke akiwa na uhakika wa maisha hna ulazima wa kuwa na mume labda kama anahitaji Mtoto.

So akiwa na kipato Cha kutosha Ina maana anajiweza kwa kubeba majukumu ya mume.
Tuachage kudanganyana,mdada,na jamii yake bila uongozi nikujijaza upepo.
 
JE KUNA UKWELI WOWOTE KWAMBA KIPATO CHA MWANAMKE KIKIONGEZEKA HUWA CHANZO CHA KUONYESHA DHARAU NA KIBURI?
Swali hilo linaweza kuwa na majibu aina mbili ndiyo na hapana kwa wakati mmoja.
kwa uzoefu wangu nimewahi kukutana na wanawake wengi sana ambao wanakipato kikubwa sana, elimu,vyeo, umaarufu na nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado huonekana wenye heshima, upendo,moyo wa kujali, huonyesha unyenyekevu bila kujali hali, wadhifa na uchumi wao.

Vilevile nimewahi kukutana na wanawake ambao hawana kazi,hawajasoma ,hawana muonekano mzuri,hawana umaarufu wowote wala nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado walionekana kuwa na tabia ya ubabe, kiburi, dharau, majivuno, jeuri, ujuaji,hawashauriki,hawaambiliki,wanakuwa wakosoaji kupitiliza lakini hawana uwezo wa kustahimili kukosolewa,hata akifanya makosa makubwa huwa wanaona kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo mtu anakuwa tayari kuachana na mwenza wake kuliko kuomba msamaha.

Hivyo tunaweza kuhitimisha kwamba kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa mwanamke yeyote huwa na tabia ya Mwanamke husika wala haina uhusiano wowote na muonekano,cheo, umaarufu,kazi,nguvu ya ushawishi,kipato kikubwa n.k

SIFA ZA MWANAMKE AMBAYE HAWEZI KUDUMU NA MWANAUME NDANI YA FAMILIA
Kwa mujibu wa vitabu vya dini ni kwamba mwanaume ni kichwa cha familia kisha Mwanamke anatakiwa kutii na kuheshimu mamlaka ya mwanaume ndani ya familia.
Lakini kwa mujibu wa itikadi za kifeminist za watu wa magharibi ni kwamba mwanaume na Mwanamke ni sawa kwa maana hakuna jinsia ndani ya familia bali kuna wenza yaani hakuna mwanaume au mwanamke bali kuna partner tu na wote wawili wanakuwa na mamlaka sawa ya maamuzi.
Hakuna mgawanyiko wa majukumu kwa maana Mwanamke anatoa 50 ya kipato cha familia na mwanaume anatoa 50% ya kipato cha familia.
Utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanawake wa kisasa ambao hupenda kuitwa strong independent woman, super woman, wakanda forever.
vilevile utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanaume ambao hupenda kulelewa.

Tuangalie sifa za mwanamke ambaye ni strong independent woman ambaye huwa chanzo cha migogoro ya kimapenzi/kifamilia kwa sababu ya kutaka kuwa kichwa cha familia.
1.ANAKUWA NGANGARI NA ANATAKA UHURU KUPITILIZA
Anakuwa anataka mashindano na mwanaume ndani ya nyumba,huwa hataki kuwa chini ya mamlaka ya mwanaume kwa sababu anatafsiri unyenyekevu,na utii ni utumwa na kushusha brand yake, anaamini chochote ambacho mwanaume anaweza kufanya na yeye anaweza kufanya kwa ubora huohuo.
Akiona anakosa uhuru anaweza kumlazimisha mwanaume ampe talaka,kisha maisha yakiwa magumu sana huwa anataka kurudiana na mwanaume .

Anatoka nyumbani muda wowote na kurudi nyumbani muda wowote hata ikiwa saa 8 usiku lakini hataki kuulizwa alikuwa wapi,akiulizwa tu anaporomosha matusi ya nguoni, atamdhalilisha mwanaume,atasema mwanaume yupo na wivu sana na anamfuatilia sana,akiona kelele zimezidi anabamiza mlango na kuondoka zake,au anaweza kurudi nyumbani kwao kukwepa kelele za mwanaume.

2.ANAKUWA NA MISIMAMO MIKALI SANA
Kwa sababu ya misimamo mikali sana ( rigid) anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa mkali kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mjuaji sana hivyo akipanga jambo lolote lazima liwe vile ambavyo amepanga na kinyume chake bora mahusiano yavunjike.

atampa amri mwanaume toa fedha kiasi XYZ kama hauwezi tuachane inakuwa kauli zake.
Akipanga kwenda kuzurura na mashoga zake anatoka nyumbani hata kama amekataliwa bora waachane kuliko kufanya kitu tofauti na misimamo yake.

kutokana na misimamo mikali sana mara nyingi mwanaume huanza kuonyesha wivu wa mapenzi uliopindukia,kuanza kulia, kuomba msamaha, kupiga magoti, kutishia kujiua kumbembeleza sana.

3.HATAKI KUKOSOLEWA WALA KUAMBIWA CHA KUFANYA
Mwanamke ambaye ni strong independent woman huwa hawezi kuomba msamaha hata kama amefanya makosa,kwake kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo bora mahusiano yavunjike lakini sio kuomba msamaha. Akifanya makosa akikosolewa anakuja kwa jazba anaanza kumkosoa vikali sana mwanaume kwa kumshambulia kwa maneno makali sana badala ya kukiri makosa.
Akifanya makosa makubwa sana anageuza kibao kwa mwanaume,anaweza kuanza kulia kwa kutaka kuonekana anapitia manyanyaso lakini yeye mwenyewe ndiyo anakuwa mnyanyasaji.

4.HAWEZI KUONYESHA HISIA ZA MAPENZI
Kwa sababu ya kiburi, majivuno, jeuri, ujuaji, misimamo mikali sana,hasira kupitiliza, ubabe,utemi na udikteta mara kwa mara anakuwa hana hisia zozote za mapenzi na vilevile kwake anaona ni UDHAIFU hivyo mara kwa mara anagoma kutoa unyumba kwa makusudi mpaka ugomvi unaibuka mara kwa mara.

Wanaume wengi huamua kutafuta mchepuko kama njia mbadala lakini wao mara nyingi hupata wanaume wenye tabia ya kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu sana,kujali sana ,kuomba msamaha mara kwa mara,kulia,kupiga magoti, kutishia kujiua, kumbembeleza sana,.

5.ANAKUWA BUSY SANA
Kwa Mwanamke ambaye ni strong independent woman mara nyingi anakuwa busy kupitiliza.Simu hapokei, sms hajibu.Anaondoka nyumbani alfajiri na kurudi nyumbani usiku sana kila siku.
Mara nyingi anakuwa busy kutafuta fedha nyingi sana ili katika maisha yake asije kumtegemea mwanaume kwa kitu chochote.
lakini baada ya kusimama vizuri kiuchumi huanza kuonyesha dharau waziwazi, ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri,ubabe.kauli za mkato.
kama akijua tu anamzidi mwanaume uchumi huanza kumpelelekesha, kumgombeza, kumtangaza vibaya, kumlaumu, kumkosoa vikali sana, kumshambulia kwa maneno makali sana kwa sababu anajua mwanaume hana fedha .

6.ANATAKA KILA KITU KIWE CHINI YAKE
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ndani ya familia huwa anataka kila kitu na kila mtu awe chini yake.
Anaweza kumpa amri mwanaume wake chagua mimi au mama yako mzazi.
Au anamlazimisha mwanaume atoe password za simu kwa lazima,au atampa amri mwanaume akabidhi mshahara wake wote kisha yeye Mwanamke apange matumizi na ikiwa mwanaume atakataa basi bora waachane.

7.ANAJALI SANA MAENDELEO YA KIUCHUMI KULIKO FAMILIA
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kifamilia huwa kipaumbele chake ni fedha tu.
Mara kwa mara anakuwa busy sana na kazi, biashara,safari za mara kwa mara hivyo familia kwake inakuwa sio kipaumbele.

wapo kwa sababu ya tabia hiyo hujikuta wamefika miaka 35 bila mume,wala mtoto wala mwanaume yeyote ambaye anaeleweka.
Wengi huwa hivyo kwa sababu anakuwa muhanga (victim) wa unyanyasaji ndani ya familia kwa sababu za kiuchumi,unakuta mama yake mzazi aliteswa sana na baba yake kwa sababu mama yake alikuwa tegemezi hivyo yeye binti anajiapiza kupambana kukabiliana na matatizo ya kiuchumi ili kuepuka kunyanyaswa na mwanaume kwa kuwa tegemezi.

8.HATAKI KUONEKANA DHAIFU
Hapa mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kimapenzi huwa anaonyesha tabia ya kutoa vitisho na maagizo tu badala ya kuomba .
kwa mfano akiwa na shida ya fedha haombi pesa kwa sababu anaogopa kuonekana DHAIFU badala yake anatoa maagizo na vitisho kuwa kama hauwezi kunipa kiasi XYZ cha fedha bora tuachane.
Anafanya hivyo ili kujilinda hata kama akiachwa anakuwa tayari alitoa kauli ya kuonyesha ubabe.
Hataki kuonyesha hisia za mapenzi kwa sababu anahisi ataonekana DHAIFU.
Uso wake unakuwa hauna tabasamu muda wote isipokuwa kujilazimisha kucheka.
Anakuwa na hasira kupitiliza kwa vitu vidogo vidogo sana

NINI CHANZO CHA MWANAMKE KUTAKA KUWA KICHWA NDANI YA FAMILIA?
chanzo cha tabia hiyo
Mwanamke Kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni kwamba Mwanamke anakuwa hawezi kumuamini mwanaume kwa sababu ya kumbukumbu mbaya zenye kuhuzunisha na kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni njia ya kujilinda dhidi ya kuumizwa kihisia, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa unyumba, kuingiliwa kinguvu au kuingiliwa kinyume na maumbile.
Mwanamke hawi kichwa cha familia ghafla bali anakuwa na trauma kama
1.Kulelewa na baba mkali kupitiliza husababisha Mwanamke kuwachukia wanaume hivyo anakuwa mkali kupitiliza kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wanyanyasaji matokeo yake anakuwa na hasira kupitiliza, ubabe, utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, misimamo mikali,anakuwa hana hisia za mapenzi madhara yake wanaume wanakuwa wanamuogopa.

2.Kulelewa na baba mpole kupitiliza huku mama anakuwa mkali kupitiliza.Mama anakuwa kichwa cha familia huku baba anakuwa kama bendera hivyo binti anajifunza kusimama ngangari kama kichwa cha familia kwa sababu tangu utotoni ameona mama yake ni kichwa cha familia huku baba anakuwa anaongozwa kama mtoto mdogo.Hivyo hawezi kukubali kuongozwa na mwanaume maishani mwake kwasababu amezoea kujiongoza tangu utotoni mwake.

3.Kulelewa na mama tu bila baba (Single mother parenting) ,binti anaweza kuonekana mbabe,mkali kupitiliza, anakuwa na hasira kupitiliza, misimamo mikali,utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, ubishi,anakuwa anajiamulia vitu yeye mwenyewe kwa sababu tangu utotoni ameishi bila baba ndani ya familia hivyo hajui namna ya kuishi kwa kuongozwa na mwanaume.Kwake ni rahisi kujiamulia mambo yeye mwenyewe kwa sababu amezoea kujiongoza tangu utotoni.

4.Kupitia manyanyaso ndani ya mahusiano ya zamani.
Hapa matukio huwa kama vile kupitia vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa chakula, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara, kutelekezwa na ujauzito au watoto,kupokonywa mali, kudhulumiwa mali, mwanaume kumuacha ghafla.

hali hiyo husababisha Mwanamke anajenga tabia ya ubabe, ukali kupitiliza, kiburi, majivuno, jeuri na dharau,utemi, kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wote wenye tabia ya unyanyasaji na udikteta.
Umemaliza kila kitu mkuu! Point zako zote naziunga mkono 100%
 
Aiseee huu waraka ni mrefu mno, ila kiufupi tu mwanamke akiwa na kipato kuliko mwanaume wake kiburi huibuka, hutamani kuwa kiongozi na mwenye sauti ya maamuzi, kiasi kwamba kuishi naye inahitaji uwe zina la kiwango la lami bila hivyo unaweza ishia kuua mtoto wa mtu na kujiua, ndio maana kati ya wanawake wanaoshinda kwa manabii ili wapate kuolewa
 
Maadiko marefu yote hayo, harafu mtu anacommet mstari mmoja tu. Wewe unajisikiaje?
 
Aiseee huu waraka ni mrefu mno, ila kiufupi tu mwanamke akiwa na kipato kuliko mwanaume wake kiburi huibuka, hutamani kuwa kiongozi na mwenye sauti ya maamuzi, kiasi kwamba kuishi naye inahitaji uwe zina la kiwango la lami bila hivyo unaweza ishia kuua mtoto wa mtu na kujiua, ndio maana kati ya wanawake wanaoshinda kwa manabii ili wapate kuolewa
Mwanamke akishapata elimu na hela anachowaze yeye ni kumuondoa mwanaume completely kwenye maisha yake.

Mie nipo bega kwa bega na mataliban. Mwanamke asipewe nafasi yakuona ata fence ya shule inafananaje. Atuliage ndani jikoni basi
 
Mwanamke akishapata elimu na hela anachowaze yeye ni kumuondoa mwanaume completely kwenye maisha yake.

Mie nipo bega kwa bega na mataliban. Mwanamke asipewe nafasi yakuona ata fence ya shule inafananaje. Atuliage ndani jikoni basi
sahihi, huanza kutamani ile nguvu ya utawala ya mwanaume, bahati mbaya ile nguvu ni asili
 
Mwanamke yeyeto mwenye asiye na utii kwa mume wake mwenye tabia za kutaka kuwa juu 90% huwa Wana silika ya uchawi.
Pia huwa ni malikia au viongozi huko uchawini sasa hawezi kubali kuwa chini ya mtu yeyeto
 
Tabia ni matokeo ya malezi,malezi ni program ambayo mzazi anapanda kwenye brain ya mtoto kupitia kuona na kusikia
 
JE KUNA UKWELI WOWOTE KWAMBA KIPATO CHA MWANAMKE KIKIONGEZEKA HUWA CHANZO CHA KUONYESHA DHARAU NA KIBURI?
Swali hilo linaweza kuwa na majibu aina mbili ndiyo na hapana kwa wakati mmoja.
kwa uzoefu wangu nimewahi kukutana na wanawake wengi sana ambao wanakipato kikubwa sana, elimu,vyeo, umaarufu na nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado huonekana wenye heshima, upendo,moyo wa kujali, huonyesha unyenyekevu bila kujali hali, wadhifa na uchumi wao.

Vilevile nimewahi kukutana na wanawake ambao hawana kazi,hawajasoma ,hawana muonekano mzuri,hawana umaarufu wowote wala nguvu ya ushawishi kwenye jamii lakini bado walionekana kuwa na tabia ya ubabe, kiburi, dharau, majivuno, jeuri, ujuaji,hawashauriki,hawaambiliki,wanakuwa wakosoaji kupitiliza lakini hawana uwezo wa kustahimili kukosolewa,hata akifanya makosa makubwa huwa wanaona kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo mtu anakuwa tayari kuachana na mwenza wake kuliko kuomba msamaha.

Hivyo tunaweza kuhitimisha kwamba kiburi, majivuno, jeuri na dharau kwa mwanamke yeyote huwa na tabia ya Mwanamke husika wala haina uhusiano wowote na muonekano,cheo, umaarufu,kazi,nguvu ya ushawishi,kipato kikubwa n.k

SIFA ZA MWANAMKE AMBAYE HAWEZI KUDUMU NA MWANAUME NDANI YA FAMILIA
Kwa mujibu wa vitabu vya dini ni kwamba mwanaume ni kichwa cha familia kisha Mwanamke anatakiwa kutii na kuheshimu mamlaka ya mwanaume ndani ya familia.
Lakini kwa mujibu wa itikadi za kifeminist za watu wa magharibi ni kwamba mwanaume na Mwanamke ni sawa kwa maana hakuna jinsia ndani ya familia bali kuna wenza yaani hakuna mwanaume au mwanamke bali kuna partner tu na wote wawili wanakuwa na mamlaka sawa ya maamuzi.
Hakuna mgawanyiko wa majukumu kwa maana Mwanamke anatoa 50 ya kipato cha familia na mwanaume anatoa 50% ya kipato cha familia.
Utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanawake wa kisasa ambao hupenda kuitwa strong independent woman, super woman, wakanda forever.
vilevile utaratibu huo unaungwa mkono sana na wanaume ambao hupenda kulelewa.

Tuangalie sifa za mwanamke ambaye ni strong independent woman ambaye huwa chanzo cha migogoro ya kimapenzi/kifamilia kwa sababu ya kutaka kuwa kichwa cha familia.
1.ANAKUWA NGANGARI NA ANATAKA UHURU KUPITILIZA
Anakuwa anataka mashindano na mwanaume ndani ya nyumba,huwa hataki kuwa chini ya mamlaka ya mwanaume kwa sababu anatafsiri unyenyekevu,na utii ni utumwa na kushusha brand yake, anaamini chochote ambacho mwanaume anaweza kufanya na yeye anaweza kufanya kwa ubora huohuo.
Akiona anakosa uhuru anaweza kumlazimisha mwanaume ampe talaka,kisha maisha yakiwa magumu sana huwa anataka kurudiana na mwanaume .

Anatoka nyumbani muda wowote na kurudi nyumbani muda wowote hata ikiwa saa 8 usiku lakini hataki kuulizwa alikuwa wapi,akiulizwa tu anaporomosha matusi ya nguoni, atamdhalilisha mwanaume,atasema mwanaume yupo na wivu sana na anamfuatilia sana,akiona kelele zimezidi anabamiza mlango na kuondoka zake,au anaweza kurudi nyumbani kwao kukwepa kelele za mwanaume.

2.ANAKUWA NA MISIMAMO MIKALI SANA
Kwa sababu ya misimamo mikali sana ( rigid) anakuwa haambiliki, hashauriki, anakuwa mkali kupitiliza, anakuwa mbabe sana, anakuwa mjuaji sana hivyo akipanga jambo lolote lazima liwe vile ambavyo amepanga na kinyume chake bora mahusiano yavunjike.

atampa amri mwanaume toa fedha kiasi XYZ kama hauwezi tuachane inakuwa kauli zake.
Akipanga kwenda kuzurura na mashoga zake anatoka nyumbani hata kama amekataliwa bora waachane kuliko kufanya kitu tofauti na misimamo yake.

kutokana na misimamo mikali sana mara nyingi mwanaume huanza kuonyesha wivu wa mapenzi uliopindukia,kuanza kulia, kuomba msamaha, kupiga magoti, kutishia kujiua kumbembeleza sana.

3.HATAKI KUKOSOLEWA WALA KUAMBIWA CHA KUFANYA
Mwanamke ambaye ni strong independent woman huwa hawezi kuomba msamaha hata kama amefanya makosa,kwake kuomba msamaha ni kujidhalilisha hivyo bora mahusiano yavunjike lakini sio kuomba msamaha. Akifanya makosa akikosolewa anakuja kwa jazba anaanza kumkosoa vikali sana mwanaume kwa kumshambulia kwa maneno makali sana badala ya kukiri makosa.
Akifanya makosa makubwa sana anageuza kibao kwa mwanaume,anaweza kuanza kulia kwa kutaka kuonekana anapitia manyanyaso lakini yeye mwenyewe ndiyo anakuwa mnyanyasaji.

4.HAWEZI KUONYESHA HISIA ZA MAPENZI
Kwa sababu ya kiburi, majivuno, jeuri, ujuaji, misimamo mikali sana,hasira kupitiliza, ubabe,utemi na udikteta mara kwa mara anakuwa hana hisia zozote za mapenzi na vilevile kwake anaona ni UDHAIFU hivyo mara kwa mara anagoma kutoa unyumba kwa makusudi mpaka ugomvi unaibuka mara kwa mara.

Wanaume wengi huamua kutafuta mchepuko kama njia mbadala lakini wao mara nyingi hupata wanaume wenye tabia ya kunyenyekea sana, kusamehe makosa haraka, uvumilivu sana,kujali sana ,kuomba msamaha mara kwa mara,kulia,kupiga magoti, kutishia kujiua, kumbembeleza sana,.

5.ANAKUWA BUSY SANA
Kwa Mwanamke ambaye ni strong independent woman mara nyingi anakuwa busy kupitiliza.Simu hapokei, sms hajibu.Anaondoka nyumbani alfajiri na kurudi nyumbani usiku sana kila siku.
Mara nyingi anakuwa busy kutafuta fedha nyingi sana ili katika maisha yake asije kumtegemea mwanaume kwa kitu chochote.
lakini baada ya kusimama vizuri kiuchumi huanza kuonyesha dharau waziwazi, ataonyesha kiburi, majivuno, jeuri,ubabe.kauli za mkato.
kama akijua tu anamzidi mwanaume uchumi huanza kumpelelekesha, kumgombeza, kumtangaza vibaya, kumlaumu, kumkosoa vikali sana, kumshambulia kwa maneno makali sana kwa sababu anajua mwanaume hana fedha .

6.ANATAKA KILA KITU KIWE CHINI YAKE
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ndani ya familia huwa anataka kila kitu na kila mtu awe chini yake.
Anaweza kumpa amri mwanaume wake chagua mimi au mama yako mzazi.
Au anamlazimisha mwanaume atoe password za simu kwa lazima,au atampa amri mwanaume akabidhi mshahara wake wote kisha yeye Mwanamke apange matumizi na ikiwa mwanaume atakataa basi bora waachane.

7.ANAJALI SANA MAENDELEO YA KIUCHUMI KULIKO FAMILIA
Mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kifamilia huwa kipaumbele chake ni fedha tu.
Mara kwa mara anakuwa busy sana na kazi, biashara,safari za mara kwa mara hivyo familia kwake inakuwa sio kipaumbele.

wapo kwa sababu ya tabia hiyo hujikuta wamefika miaka 35 bila mume,wala mtoto wala mwanaume yeyote ambaye anaeleweka.
Wengi huwa hivyo kwa sababu anakuwa muhanga (victim) wa unyanyasaji ndani ya familia kwa sababu za kiuchumi,unakuta mama yake mzazi aliteswa sana na baba yake kwa sababu mama yake alikuwa tegemezi hivyo yeye binti anajiapiza kupambana kukabiliana na matatizo ya kiuchumi ili kuepuka kunyanyaswa na mwanaume kwa kuwa tegemezi.

8.HATAKI KUONEKANA DHAIFU
Hapa mwanamke ambaye husababisha ugomvi na migogoro ya kimapenzi huwa anaonyesha tabia ya kutoa vitisho na maagizo tu badala ya kuomba .
kwa mfano akiwa na shida ya fedha haombi pesa kwa sababu anaogopa kuonekana DHAIFU badala yake anatoa maagizo na vitisho kuwa kama hauwezi kunipa kiasi XYZ cha fedha bora tuachane.
Anafanya hivyo ili kujilinda hata kama akiachwa anakuwa tayari alitoa kauli ya kuonyesha ubabe.
Hataki kuonyesha hisia za mapenzi kwa sababu anahisi ataonekana DHAIFU.
Uso wake unakuwa hauna tabasamu muda wote isipokuwa kujilazimisha kucheka.
Anakuwa na hasira kupitiliza kwa vitu vidogo vidogo sana

NINI CHANZO CHA MWANAMKE KUTAKA KUWA KICHWA NDANI YA FAMILIA?
chanzo cha tabia hiyo
Mwanamke Kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni kwamba Mwanamke anakuwa hawezi kumuamini mwanaume kwa sababu ya kumbukumbu mbaya zenye kuhuzunisha na kutaka kuwa kichwa cha familia huwa ni njia ya kujilinda dhidi ya kuumizwa kihisia, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa unyumba, kuingiliwa kinguvu au kuingiliwa kinyume na maumbile.
Mwanamke hawi kichwa cha familia ghafla bali anakuwa na trauma kama
1.Kulelewa na baba mkali kupitiliza husababisha Mwanamke kuwachukia wanaume hivyo anakuwa mkali kupitiliza kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wanyanyasaji matokeo yake anakuwa na hasira kupitiliza, ubabe, utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, misimamo mikali,anakuwa hana hisia za mapenzi madhara yake wanaume wanakuwa wanamuogopa.

2.Kulelewa na baba mpole kupitiliza huku mama anakuwa mkali kupitiliza.Mama anakuwa kichwa cha familia huku baba anakuwa kama bendera hivyo binti anajifunza kusimama ngangari kama kichwa cha familia kwa sababu tangu utotoni ameona mama yake ni kichwa cha familia huku baba anakuwa anaongozwa kama mtoto mdogo.Hivyo hawezi kukubali kuongozwa na mwanaume maishani mwake kwasababu amezoea kujiongoza tangu utotoni mwake.

3.Kulelewa na mama tu bila baba (Single mother parenting) ,binti anaweza kuonekana mbabe,mkali kupitiliza, anakuwa na hasira kupitiliza, misimamo mikali,utemi, dharau, majivuno, kiburi, ujuaji, ubishi,anakuwa anajiamulia vitu yeye mwenyewe kwa sababu tangu utotoni ameishi bila baba ndani ya familia hivyo hajui namna ya kuishi kwa kuongozwa na mwanaume.Kwake ni rahisi kujiamulia mambo yeye mwenyewe kwa sababu amezoea kujiongoza tangu utotoni.

4.Kupitia manyanyaso ndani ya mahusiano ya zamani.
Hapa matukio huwa kama vile kupitia vipigo, matusi, kugombezwa, kukaripiwa, kutolewa dosari za muonekano, kunyimwa chakula, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara, kutelekezwa na ujauzito au watoto,kupokonywa mali, kudhulumiwa mali, mwanaume kumuacha ghafla.

hali hiyo husababisha Mwanamke anajenga tabia ya ubabe, ukali kupitiliza, kiburi, majivuno, jeuri na dharau,utemi, kama njia ya kujilinda dhidi ya wanaume wote wenye tabia ya unyanyasaji na udikteta.
Kweli kabisa kadri kipato cha mwanamke kinavyozidi kuongezeka ndivyo dharau na kiburi uongezeka , ijapokuwa siyo Kwa wanawake wote Kwan wapo wachache wenye vipato vikubwa lakini bado Wana heshima Kwa wenza wao
 
Bill gates anayo majibu toka kwa Belinda. Shusho kwa Christina. Mwaka kwa Queen.........
 
Back
Top Bottom