Mtake msitake, lazima mfanye usaili 😂
Hata wapige mayowe kwa kiwango kipi,usaili ni lazima sana.
-kuwatambua vema wahitajika wa kweli.
-kuepusha udanganyifu na kufanyiana majaribio ya usaili.Atakuja muhusika.
-muda mzuri wa kuvichunguza vyeti.
-kupata maelezo na uwezo binafsi ana kwa ana toka kwa msailiwa.
-kuwajengea kujiamini wasailiwa.
-kuepusha lawama za rushwa kwa kufanya zoezi kwa uwazi.
-kuanza kuwazoesha wasailiwa kuona maana halisi ya ofisi tegemewa.
-kupima uaminifu,uadilifu,usikivu,utimizaji vigezo hitajika na kujali muda.
-kuwasili,kuitika eneo rasmi la usaili na kufanya usaili ni moja ya usaili.
NB:Kizazi hiki kimekua cha viumbe janjajanja sana.Ni vema kuwakusanya pamoja na kukagua vyeti ghushi na watu wasiohusika kupitia wataalamu na vifaa maalumu.Na muda utakaotumika ni mfupi kuliko kuajiri hobelahobela halafu baadaye kuanza kuwafuatilia sehemu za kazi na kutumia malifedha nyingi zaidi na muda mrefu.Wavumilie.