Je, kuna umuhimu kama taifa kufanya usaili kwa kada ya Afya na Ualimu ndo Uajiri?

Je, kuna umuhimu kama taifa kufanya usaili kwa kada ya Afya na Ualimu ndo Uajiri?

Wahasibu wana bodi pia,na wanasajiliwa,Enginers wana bodi na wanasajiliwa pia..lakini interview za kazi wanafanya..wewe ni nani usifanye?
Leseni zao zinakuja hai Kwa muda Gani?

Unahitaji kuelewa kua Kila mwaka Kuna CPD (Continuous medical/Pharmaceutical education na CME zinafanywa) na wanataaluma hupimwa ujuzi wao na kama wako below wanafutiwa leseni zao.

Kama wako assessed Kila mwaka na bodi husika ya Nini USAILI. Mwajiri anahitaji kujua Nini kwenye interview wakati mamlaka husika inafajama
 
Nchi hii haikujengwa Kwa misingi ya uoga na kusema ndio kiongozi. Hautushi Kwa uoga na kuogopa, Kama jambo halijakaa sawa Kwa Nini mtu asihoji?

Kuhoji so Dhambi, fungua akili.
 
Waajirwa wa afya Kuna bodi zetu husika Kama pharmacy council, Kila mwanataaluma ana leseni yake ya kazi, Kila mwaka anailipia na pia hufanya CME/CPD Ili kushikilia leseni yake. Hivyo yoyote mwenye leseni hai ni mwanataaluma mwenye ujuzi na Yuko vizuri.

Kifanya mtihani ni upotevu wa muda na pesa ya taifa
Mawakili wanahuisha leseni Kila Mwaka na Moja ya sifa ili kuhuisha leseni ni lazima uwe ulikuwa Active lakini wanafanya usaili Kila siku na hawajawahi kulialia
 
Leta hoja yako, ijikite kwenye

1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa.
2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi
3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili
4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili.
5. Hitimisho.

Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe usaili wakati kaujiriwa kama ilivyo kada zingine
Interview ndio nzuri ili tufuane kwa kuotea na kujielezea na mwenye bahati apite sio kutupa jiwe gizani na kusubiri pata potea bila kujua process gani zinafanyika huko gizani

Shida ni kuwa rushwa ni mwanaharamu hata hizi interview mtu anaweza kupenyezewa hints na mkeka wa majibu kama tu ana ukaribu na watu wa utumishi

Nawasilisha
 
Nchi hii haikujengwa Kwa misingi ya uoga na kusema ndio kiongozi. Hautushi Kwa uoga na kuogopa, Kama jambo halijakaa sawa Kwa Nini mtu asihoji?

Kuhoji so Dhambi, fungua akili.
Toa sababu za msingi ni kwann msifanye usaili
 
Leseni zao zinakuja hai Kwa muda Gani?

Unahitaji kuelewa kua Kila mwaka Kuna CPD (Continuous medical/Pharmaceutical education na CME zinafanywa) na wanataaluma hupimwa ujuzi wao na kama wako below wanafutiwa leseni zao.

Kama wako assessed Kila mwaka na bodi husika ya Nini USAILI. Mwajiri anahitaji kujua Nini kwenye interview wakati mamlaka husika inafajama
Mkuu, yn utalalamika sana, ila usaili lazima ufanye
 
Ikiwa kila mtu ana sifa kama unavyosema na nafasi za kazi ni chache huku idadi ya wenye sifa ikiendelea kuongezeka kila mwaka, unadhani njia gani inaweza kutumika ili kuleta usawa kati ya wale watakaopewa kazi na wale watakaokosa kazi?"
GPA, MATOKEO YA 4/6 SIMPLE LIKE THAT
 
Leta hoja yako, ijikite kwenye

1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa.
2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi
3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili
4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili.
5. Hitimisho.

Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe usaili wakati kaujiriwa kama ilivyo kada zingine
Huku ni kudhihirisha kuwa CCM imeishiwa mbinu. Ukiwaambia wawachie wengine hawatakuelewa hata na badala yake wanarukaruka tu kama maharage. CCM inakera Sana, nasema CCM Kwa sababu ndiyo inayounda serikali hii inayofanya vitu vya ajabu. Mnaudhi nyie kina mkenda, Mungu anawaona.
 
Huku ni kudhihirisha kuwa CCM imeishiwa mbinu. Ukiwaambia wawachie wengine hawatakuelewa hata na badala yake wanarukaruka tu kama maharage. CCM inakera Sana, nasema CCM Kwa sababu ndiyo inayounda serikali hii inayofanya vitu vya ajabu. Mnaudhi nyie kina mkenda, Mungu anawaona.
Mkuu leta hoja kwanza ndio tuanze kuilaumu ccm au tuipongeze
 
Huku ni kudhihirisha kuwa CCM imeishiwa mbinu. Ukiwaambia wawachie wengine hawatakuelewa hata na badala yake wanarukaruka tu kama maharage. CCM inakera Sana, nasema CCM Kwa sababu ndiyo inayounda serikali hii inayofanya vitu vya ajabu. Mnaudhi nyie kina mkenda, Mungu anawaona.
Kwahy baada ya kuwepo kwa hizi usaili ndo umejua ubaya wa ccm, ila kipindi cha nyuma hawakuwa na ubaya?
 
Kwann msifanye usaili?
Huo ni usumbufu tu. Eti usaili wa mahojiano ufanyikie mkoa ulioomba ukafanye kazi( Kwa afya). Si mngesema tu utafanya kazi huko huko unakoishi ili uombe huko huko na usaili ufanyikie huko huko. Alafu Kaa ukijua chimbuko la usaili ni kukwepa lawama tu hakuna kingine. Mfano wewe umesoma uhasibu sijuwi astashahada, stashahada au shahada Kwa kuwa serikali Haina uwezo au hata ubunifu, ikafanya pawe na usaili ili hata ukiendelea kuwa jobless ibainike wewe uli fail paper la interview au kingine kinachofanana na interview.
 
Hakuna ajira rasmi isiyokuwa na usaili. Neno usaili ni neno pana, na usaili unaweza kufanyika kwa namna mbali mbali, tofauti tofauti. Kitendo tu cha kuambiwa andika barua ya kuomba ajira na upeleke vyeti vyako na kisha mwajiri kuvipitia ili kuona kama unakidhi hiyo nafasi huo nao ni usaili.
Sasa Katika mazingira ya uhaba wa ujira, ushindani wa kuajiriwa, mivurugano ya mafunzo, ujanja ujanja, upendeleo wa kuajiriwa na malengo mahususi ya mwajiri, suala la kuwepo USAILI MPANA NA MAHUSUSI ni jambo muhimu na lazima. Huwezi kuepuka usaili.
 
Huo ni usumbufu tu. Eti usaili wa mahojiano ufanyikie mkoa ulioomba ukafanye kazi( Kwa afya). Si mngesema tu utafanya kazi huko huko unakoishi ili uombe huko huko na usaili ufanyikie huko huko. Alafu Kaa ukijua chimbuko la usaili ni kukwepa lawama tu hakuna kingine. Mfano wewe umesoma uhasibu sijuwi astashahada, stashahada au shahada Kwa kuwa serikali Haina uwezo au hata ubunifu, ikafanya pawe na usaili ili hata ukiendelea kuwa jobless ibainike wewe uli fail paper la interview au kingine kinachofanana na interview.
Mbona hizi kelele zimeanzia kwenu waalimu wakat tangu kitambo watu wa kada zngn walikuwa wanafanya usaili na hawajawahi kulalamika?
 
Leta hoja yako, ijikite kwenye

1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa.
2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi
3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili
4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili.
5. Hitimisho.

Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe usaili wakati kaujiriwa kama ilivyo kada zingine
Usaili lazima Ili kuondoa majiti ya hovyo yasiyoweza kujali jamii Kwa malezi Bora(Walimu) na Huduma Bora Kwa Wagonjwa (Afya)
 
Mbona hizi kelele zimeanzia kwenu waalimu wakat tangu kitambo watu wa kada zngn walikuwa wanafanya usaili na hawajawahi kulalamika?
Umejuaje kama hawakulalamika huko nyuma kipindi utaratibu unaanza? Au wewe ndiye muasisi wa mambo haya ya usaili?
 
Back
Top Bottom