Shida sio assessment, shida ni aina gani ya assessment tipo choice halijawahi ku assess umahili wa mtu kwenye kutibu mgonjwa wala kufundisha mwanafunzi
Mimi nilitegemea mfano kada za Afya wangefanyia Usaili kwa Mgonjwa maana ndiyo kazi yake ya kila siku..
Au mwalimu angeenda kutanishwa na wanafunzi..
Kama ni kweli hoja Ilikua ni usaili kwanini wanatumja njia hii ya maswali tu?
Ukiangalia kwa uharaka zoezi hili.. ni kuwa watu wanapaswa waanze kuingia kwenye vituo vya kazi kabla ya mwezi wa 9 haujaisha yaani mwezi wa 10 mwanzoni wawe wameshafika na kuchukua barua zao..
Hivyo wameona urahisi ni kutumia maswali hayo waanze kupunguza watu ikiwa wengi watafaulu sana written/ computer wachukua hata wenye scores ya 70 kuendelea itategemea na ufaulu ..
Mimi nadhani usaili huu haukulenga Moja kwa Moja kumpima.mtu anajua nini ila umelenga kupunguza Idadi kubwa ya watu ili wapate wachache kwa ajili ya kwenda kwenye oral
Kijana kasoma miaka 3 au 5
Kakutana na wagonjwa amefanya mitihani amefaulu miaka yote ameenda kufanya mtihani wa board/ council za taaluma aliyosomea amefaulu na amepewa leseni bado tena unampima ili iweje? Unampima nini? unampima ubora wake kwa maswali? Hiyo leseni kapewa vipi? Kwamba hamziamini hizo board? Na vipi hayo maswali mnayouliza akikosa mnamnyanganya leseni? Mtasema hana ujuzi?
Kama ni usaili kwanini msiwapeleke wakakutanishwa na wagonjwa. ?
Nakama ni waalimu kwanini wasikutanishwe na wanafunzi.?
Hapa utagundua ni Muda.. Wana muda mchache na wafanyakazi wanahitajika kazini.
Mkifata utaaratibu wa usaili hili zoezi lingetumia miezi hata 2 au 3.
Ila wameamua kufanya assessment kwa njia ambayo haukubaliki na wanataaluma wa afya na ualimu
Tatizo la kuchanganya siasa na taaluma
Na nawasikitikia sana wasimamizi wa haya mambo sio wataalumu wa Afya hivyo hawajui ni namna gani wanainajisi Taaluma Hizi za Afya.
Afya ni tofauti na kada zingine kabisa