Je, Kuna usalama wa akaunti baada ya kununua bidhaa kwa kutumia MASTER card

Je, Kuna usalama wa akaunti baada ya kununua bidhaa kwa kutumia MASTER card

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Nataka kufahamu km kuna usalama wa akaunti baada ya kununua BIDHAA kwa kutumia MASTER CARD za bank km NMB, CRDB nk kwenye mitandao km ALIEXPRESS, ALIBABA nk.
 
Nataka kufahamu km kuna usalama wa akaunti baada ya kununua BIDHAA kwa kutumia MASTER CARD za bank km NMB, CRDB nk kwenye mitandao km ALIEXPRESS, ALIBABA nk.
Kwa wewe akaunti yako haina OTP
 
Hakuna, usalama ni wewe, ni mifumo mibovu sana hio na ya kijinga.

Ndio maana watu wanashauri PayPal utumie ukifanya miamala website za Vichochoroni
 
mbona ni salama unakwama wapi..?
hata wakipata namba zote mpk cvv kama umeunga na simu kuna no unatumiwa hiyo ndo inathibitisha kuwa umekubali, sasa ndugu wewe huwa unalipaje na hiyo namba kumbuka ina expire ndani ya muda mchache!
 
Kuna sehemu una set malipo Hadi uthibitishe mwenyewe
Sawa, ila baadhi ya watu wanasema hizi card za bank siyo salama sana ktk malipo ya online. Member mmoja humu pia kasema baadhi ya bank km CRDB hu-doublize makato. Mimi huwa nalipa kwa kutumia sm (mpesa card) , nilitaka kujaribu na master card.
 
Nataka kufahamu km kuna usalama wa akaunti baada ya kununua BIDHAA kwa kutumia MASTER CARD za bank km NMB, CRDB nk kwenye mitandao km ALIEXPRESS, ALIBABA nk.
Utapigwa,mi waneniblock crdb online sijui diaspora acc.
Na Mungu mkubwa nilipotaka kuweka mzigo mzuri wa kutosha nikakuta block.
Toka mwaka juzi bado tunaongelea swala lile lile mpk kesho.
Mbaya zaidi bosi wao ananijibu kimasihara tu account iko dormant.
So nianze upya.
Ina maana ile bakshishi ilikuwemo mle ishalambwa yote so nianze upya sitarudishiwa salio langu.
Watz tumelogwa mganga wetu kafa kubbbbbke.
 
mbona ni salama unakwama wapi..?
hata wakipata namba zote mpk cvv kama umeunga na simu kuna no unatumiwa hiyo ndo inathibitisha kuwa umekubali, sasa ndugu wewe huwa unalipaje na hiyo namba kumbuka ina expire ndani ya muda mchache!
Aliye kudanganya nani? Kuna mtu ukimpa card number na CVV anatoa pesa vizuri tu kama unabisha post card number yako na CVV hapa
 
Kila kadi inayo, namaanisha ile ukitaka kununua kitu benki inakutumia tarakimu kwenye simu au email ili ukamilishe muamala.
Ila kwa site kama aliexpress ni salama mkuu ila usipende kuitumia kwenye sites usizojua kama wataka kufanya hivyo ilink na huduma kama paypal ndipo ulipie kule maana wale hawatakuwa na details za kadi yako kwa sababu malipo yatapita paypal. Lakini sites kama amazon, alibaba, ebay naona ni salama
 
Aliye kudanganya nani? Kuna mtu ukimpa card number na CVV anatoa pesa vizuri tu kama unabisha post card number yako na CVV hapa
mh! kwahiyo hata kama ninabisha ndo nicheze na akaunti yangu kijinga hivyo...🤣

huo itakuwa ni mchezo labda unafanywa na bank ama mtu awe amehack na no yako ya simu ili apate ule msimbo hivihivi hakuna kitu!.
 
mh! kwahiyo hata kama ninabisha ndo nicheze na akaunti yangu kijinga hivyo...🤣

huo itakuwa ni mchezo labda unafanywa na bank ama mtu awe amehack na no yako ya simu ili apate ule msimbo hivihivi hakuna kitu!.
Usibishe mkuu only Card number na CVV basi mchezo unaisha. Simple task kama unabisha tena tafuta huduma ambayo utaset ukatwe pesa direct kutoka kwenye card automatic mwisho wa mwezi (automatic renewal) afu uone kama kabla ya kukatwa utapewa taarifa
 
H
Kila kadi inayo, namaanisha ile ukitaka kununua kitu benki inakutumia tarakimu kwenye simu au email ili ukamilishe muamala.
Ila kwa site kama aliexpress ni salama mkuu ila usipende kuitumia kwenye sites usizojua kama wataka kufanya hivyo ilink na huduma kama paypal ndipo ulipie kule maana wale hawatakuwa na details za kadi yako kwa sababu malipo yatapita paypal. Lakini sites kama amazon, alibaba, ebay naona ni salama
HIi ya Paypal inanivutia....Mkuu tueleze utaratibu wa kupata account ua Paypal
 
Usibishe mkuu only Card number na CVV basi mchezo unaisha. Simple task kama unabisha tena tafuta huduma ambayo utaset ukatwe pesa direct kutoka kwenye card automatic mwisho wa mwezi (automatic renewal) afu uone kama kabla ya kukatwa utapewa taarifa
sasa ukifanya hivyo maana yake si umeruhusu mwenyewe tokea awali, hiyo wengine wanafanyaga hata kwenye mahotel ati mtu anaondoka hajalipia unakuta hotel wana access yakunyofoa mpunga wananyofoa!! ila ukiamua kwenda kubadili unabadili na wanashindwa kunyofoa!.

babu mi nishaenda mpk dark web kule kuna hackers wamehack hizo card unapewa details zote yani unainunua hiyo account labda dollar 200 halafu hiyo account unakuta ina dollar 700!.. ila ukishaitoa hiyo pesa ukidabwa ni juu yako!.. ila wengi wanaouza hizo account ni fake! kwasababu ni kipengele ati ku hack hizo account system za bank usifikiri zimekaa ki mdebwedo hivyo.

chengine watu wanatoaga details kwenye site fake bila wao kujua mfano unaweza kutumiwa site kwenye email yako kumbe ni fake na ukajaza taarifa zako za bank sasa humo ndo unakuta wanabeba taarifa zako unashangaa mtu analizwa!.
inashauliwa kutotumia password moja kwa akaunti zako sasa mwengine akaunti zote password ni moja hacker akiipata account zako zote kazipata!.

ingekuwa ni rahisi ku hack hizo account babu watu wangelizwa sana! .
 
Back
Top Bottom