Mzee wa burger za mlenda una vituko.Utapigwa,mi waneniblock crdb online sijui diaspora acc.
Na Mungu mkubwa nilipotaka kuweka mzigo mzuri wa kutosha nikakuta block.
Toka mwaka juzi bado tunaongelea swala lile lile mpk kesho.
Mbaya zaidi bosi wao ananijibu kimasihara tu account iko dormant.
So nianze upya.
Ina maana ile bakshishi ilikuwemo mle ishalambwa yote so nianze upya sitarudishiwa salio langu.
Watz tumelogwa mganga wetu kafa kubbbbbke.