Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli, nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia;

1. Ufisadi/Mwizi - Nataka kujua Hayati Magufuli alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe.

2. Muuaji/Shetani - Je, alimuua nani?

3. Alipora mali za watu - Je, alipora mali za kina nani na kwa njia gani? Tafadhali iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele, ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke.

4. Dikteta uchwara - Je, udikteta wake ni upi? Tuwekane sawa ili tujue kwa undani, maana kuna watu ukitaja jina la Magufuli wanaweza kukuzaba kibao.
 
1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe
Kuna mabaloni (pichani) zaidi ya 20 noti yalikutwa ndani kwake baada ya kifo chake.

Screenshot_20230319-220820.png


CAG wa wakati huo alibaini trilioni 1.5 zimechukuliwa na rais.

Rais juzi juzi tu hapa ameutangazia umma kuwa fedha za plea bargaining zinefichwa China kwenye akaunti binafsi. Jiwe alikuwa mwizi
 
Kuna mabaloni (pichani) zaidi ya 20 noti yalikutwa ndani kwake baada ya kifo chake.

View attachment 2558558

CAG wa wakati huo alibaini trilioni 1.5 zimechukuliwa na rais.

Rais juzi juzi tu hapa ameutangazia umma kuwa fedha za plea bargaining zinefichwa China kwenye akaunti binafsi. Jiwe alikuwa mwizi
Hivi aliyekuwa Waziri wa Fedha si yupo kwa nini isifunguliwe kesi mahakamani ili tusikie ushahidi kamilifu sio hizi ngonjera za kwenye kijiwe cha kahawa.
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli,nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia,

1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe

2. MUUAJI/SHETANI je alimuua nani?

3. ALIPORA MALI ZA WATU je JPM alipora mali za kina nani na kwa njia gani?tafazal iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke

4. DICTATOR UCHWARA je udictator wake ni upi? Tuwekane sawa iki tujue kwa undani maana kuna watu ukitaja jina la JPM anaweza kukuzaba kibao
Wakiweka ushahidi hapa naomba ni tag maan humu ndani mafisadi wengi sana walishughulikiwa ipasavyo,
Ndo mana kweny mada kama hizi wanaropokwa matusi badala ya ushahidi 😂😂😂😂
 
Kuna mabaloni (pichani) zaidi ya 20 noti yalikutwa ndani kwake baada ya kifo chake.

View attachment 2558558

CAG wa wakati huo alibaini trilioni 1.5 zimechukuliwa na rais.

Rais juzi juzi tu hapa ameutangazia umma kuwa fedha za plea bargaining zinefichwa China kwenye akaunti binafsi. Jiwe alikuwa mwizi
Kwani amesema ni akaunti kwa jina jpm. Usimwite jpm mwizi utakua cheti feki wewe. Kwani nchi ya china imekufa? Si waulize? Kwani hujui viongozi wezi wanaweka fedha zao uswizi na nchi zingine za ulaya? Sisi tunajua mama na hao wahuni fisadi lao moja tu...kumchafua jpm
 
▪︎ Plea bargaining ipo kisheria.

▪︎ CAG alikana hakuna hela (1.5T) iliyopotea.

▪︎ Lissu ni speculations zao tu, hakuna established facts zozote mpaka sasa.

▪︎ Mama yao ametuhumu hela zimefichwa China, ajabu pamoja na mamlaka yote aliyonayo hajazirudisha wala kumchukulia yeyote hatua za kisheria... Siasa at its best.

Kwa ufupi hawana ushahidi wowote.
 
Kwani amesema ni akaunti kwa jina jpm. Usimwite jpm mwizi utakua cheti feki wewe. Kwani nchi ya china imekufa? Si waulize? Kwani hujui viongozi wezi wanaweka fedha zao uswizi na nchi zingine za ulaya? Sisi tunajua mama na hao wahuni fisadi lao moja tu...kumchafua jpm
Jiwe hachafuliwi. Alijichafua mwenyewe
 
Plea bargaining ipo kisheria.

CAG alikana hakuna hela (1.5T) iliyopotea.

Lissu ni speculations zao tu.

Watakuambia mama amesema kuna hela zimefichwa China, ila ajabu pamoja na mamlaka yote aliyonayo hajazirudisha wala kumchukulia yeyote sheria... Siasa at its best.

Kwa ufupi hawana ushahidi wowote.
Hela zimewekwa wapi ?
 
Back
Top Bottom