Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Vijana wa Honey Badger njooni huku mtoe ushahidi. 😂😂😂😂😂
 
Ushahid plz tujitahidi kutoa hojankwa mifano na ushahid mana hakuna wa kukugusa,Mama keshajitenga nae anataman ata afukuliwe.
Exactly! aweke ushahidi wake hapa kwa kile anachokijua yeye, siyo kumwambia tu mtu yuko na very poor reasoning capacity.
 
Je unashahidi wowote kuwa kuna kazi yoyote alifanya nchi hii? Kwanini tuendelee kumhenzi? Kama ushahidi unao tuthibitishie hapa.Hiyo kazi nikazi gani na ilikuwa wapi na alifanya nini?
 
Kwani amesema ni akaunti kwa jina jpm. Usimwite jpm mwizi utakua cheti feki wewe. Kwani nchi ya china imekufa? Si waulize? Kwani hujui viongozi wezi wanaweka fedha zao uswizi na nchi zingine za ulaya? Sisi tunajua mama na hao wahuni fisadi lao moja tu...kumchafua jpm
Umemaliza mkuu hakuna cha kuongeza kabisa.
 
Me nakupa mifano hai ya watu naowajua

1. Alimpora Gaguma 40billion( alikuta kwa ac ya gachuma kuna hela ya kitosha akamuomba bilion 50 afanyie mirad ya nchi Gachuma alipotaka kugoma akamwbia atampa kesi ya kutaifisha majengo ya shirika la pamba ikiwemo mwanza hotel ambavyo Gachuma alichukuaga vyama vya ushirika vya pamba enzi hizo vilipokufa ikabid gachuma atoe 40 ndo yakaisha ila alinyanyang'anywa hotel
2. Alienda na same case kwa zacharia(mmiliki wa mabus kanda ya ziwa ila jamaa akagoma kitoa hela wakamshika mkewe na kumweka ndani miez kadhaa bado jamaa akashikiria msimamo
Walipoona hakubali wakaaamtumia watu wasiojulikana jamaa mjanja akawapiga risasi ndo ikabid wajitaje kuwa ni usalama(wale mnaokumbuka zacharia alitekwa tarime kilichomokoa ni bastora alificha kwa viatu na akawapiga risasi watekaji baadae ndo ikajulikana walikuwa usalama na zacharia akawekwa ndani


Banaeeh we ni maskin hauna tajir hata mmoja aliye karb yako ili uwe na ushahid kuwa matajir wengi waliokuwa na hela bank waliambiwa wagawane so huwez elewa

Mtu unazungukwa na maskin masaa 24 hujui lolote kuhusu matajir hata ukielezwa mabaya aliyowafanyia matajir huyo Magu wako utabisha so endelea kuwa maskini
 
Ushahid plz tujitahidi kutoa hojankwa mifano na ushahid mana hakuna wa kukugusa,Mama keshajitenga nae anataman ata afukuliwe.
Ufisadi kama huu hapa:-
1679258919292.png
 
Hapa hakuiba wala kufanya ufisadi alichokifanya alipendelea tu nyumbani kwake,kitu ambacho kwangu ni kizuri,Mana unapopata nafasi jenga kwanza Nyumbani.
Msiba wa mkapa tulipoenda Lupaso hakukuwa na nyumba ya maana ingawa alikuwa Rais wa jamuhuri kwa Miaka 10.
Hapa ushahidi wa wizi hakuna....mana kuna baadhi ya miradi Aliiacha chato na inasonga.
Kikwete alikuwa Rais,mwanae ni mbunge na ni Naibu waziri,mke wa kikwete ni Viti maalum ila chalinze nzima kuna matatizo kibao hasa ya Maji.
 
Fanya yako, mkome mama.
Hana lolote huyo Mama yenu, nchi imemshinda,wewe ulishawai ona wapi kiongoz anawambia waizi waibe kwa urefu wa kamba yao, Sasa kuna haja gaji ya kuwepo na Takukuru,mahakama na vyombo vingine vya sheria.
Kama upo karibu nae mwambie hii nchi ni yetu sote sio ya wale wanaolamba Asali na vibaraka wake kama wewe.
 
Duh, kumbe Gachuma mwanza hotel aliitema..?..!!
Lakini nduguzanguni hii desturi ya kuwaona matajiri ni mabepari si nzuri kwa afya ya uchumi,,
Nyerere alitaifisha majumba mwaka 67,sokoine akakamata matajiri na wenye hela, kwamba ni mabepari na walanguzi,, jpm nae kumbe aliwabana matajirii? 🙆🤔
 
Hio comment ilikua ya ngapi? Na Kuna mtu Gani alikua amekomenti ujinga ? Tujifunze kutunza heshima ya watu.
Mzee bando nanua mwenyewe sipewi kama nyie,mnavyopewa kama ujira wenu ili mshinde mnaangalia insta na kutoa lugha za matusi humu,Nasoma kichwa cha habari cha mleta Uzi naelewe,Nafata mkutasari wake naelewa alafu napitia comments kadhaaa pia nazo naelewa.
Bando langu nalipata kwa Jasho langu na nalifanyia kazi vizuri kabsaaa humuu.
 
Back
Top Bottom