Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ndio nini sasa ?Rais wa Ukrain unajua alikuwa na fani gani kabla ya kuwa rais wa nchi yake au Weah wa Liberia alikuwa ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nini sasa ?Rais wa Ukrain unajua alikuwa na fani gani kabla ya kuwa rais wa nchi yake au Weah wa Liberia alikuwa ni nani?
Weka ukijuacho wewe, acha mbambamba.Ulitaka yeye ndio akaue kwa mikono yake?? Uko na very poor reasoning capacity
Exactly! aweke ushahidi wake hapa kwa kile anachokijua yeye, siyo kumwambia tu mtu yuko na very poor reasoning capacity.Ushahid plz tujitahidi kutoa hojankwa mifano na ushahid mana hakuna wa kukugusa,Mama keshajitenga nae anataman ata afukuliwe.
Weka taarifa kamili iliyojitosheleza ueleweke acha mbambamba,, ikiwezekana weka hiyo clip ya mama akiongea ulichosema hapa au link ya hiyo video.Yaani unaita taarifa ya CAG na mheshimiwa rais ngonjera za kijiweni??
Mbona mnafanya kila mtu mjinga kama ninyi hizo ni hela ziliibiwa na majambazi bank since 2004 Kenyatta ndio alizileta kupitia DPP wa kenya
Zero brain tabla lasa proJe unashahidi wowote kuwa kuna kazi yoyote alifanya nchi hii? Kwanini tuendelee kumhenzi? Kama ushahidi unao tuthibitishie hapa.Hiyo kazi nikazi gani na ilikuwa wapi na alifanya nini?
Umemaliza mkuu hakuna cha kuongeza kabisa.Kwani amesema ni akaunti kwa jina jpm. Usimwite jpm mwizi utakua cheti feki wewe. Kwani nchi ya china imekufa? Si waulize? Kwani hujui viongozi wezi wanaweka fedha zao uswizi na nchi zingine za ulaya? Sisi tunajua mama na hao wahuni fisadi lao moja tu...kumchafua jpm
Hawawezi kuwa na ushaidi hawa zaidi ya kutupigia kelele tu.Si ndiyo uweke ushahidi alimuua na kwa kumtumia nani ,acheki kujaziwa makamasi vichwani na wajinga wenzenu
Ufisadi kama huu hapa:-Ushahid plz tujitahidi kutoa hojankwa mifano na ushahid mana hakuna wa kukugusa,Mama keshajitenga nae anataman ata afukuliwe.
Hapa hakuiba wala kufanya ufisadi alichokifanya alipendelea tu nyumbani kwake,kitu ambacho kwangu ni kizuri,Mana unapopata nafasi jenga kwanza Nyumbani.Ufisadi kama huu hapa:-
View attachment 2558621
Ndio ukweli kwani uongo?Wataishia kukupa habari za kina Azoli, Lissu, Akwelina, 1.5b Chato, Dotto and alike. Wakikupa ushahidi nitag.
Hana lolote huyo Mama yenu, nchi imemshinda,wewe ulishawai ona wapi kiongoz anawambia waizi waibe kwa urefu wa kamba yao, Sasa kuna haja gaji ya kuwepo na Takukuru,mahakama na vyombo vingine vya sheria.Fanya yako, mkome mama.
Kwani alipokuwa akifanya hayo aliutangazia ulimwengu?Wataishia kukupa habari za kina Azoli, Lissu, Akwelina, 1.5b Chato, Dotto and alike. Wakikupa ushahidi nitag.
Mzee bando nanua mwenyewe sipewi kama nyie,mnavyopewa kama ujira wenu ili mshinde mnaangalia insta na kutoa lugha za matusi humu,Nasoma kichwa cha habari cha mleta Uzi naelewe,Nafata mkutasari wake naelewa alafu napitia comments kadhaaa pia nazo naelewa.Hio comment ilikua ya ngapi? Na Kuna mtu Gani alikua amekomenti ujinga ? Tujifunze kutunza heshima ya watu.