Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Hana lolote huyo Mama yenu, nchi imemshinda,wewe ulishawai ona wapi kiongoz anawambia waizi waibe kwa urefu wa kamba yao, Sasa kuna haja gaji ya kuwepo na Takukuru,mahakama na vyombo vingine vya sheria.
Kama upo karibu nae mwambie hii nchi ni yetu sote sio ya wale wanaolamba Asali na vibaraka wake kama wewe.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Kutesa kwa zamu.

Makonda yuko wapi?
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli,nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia,

1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe

2. MUUAJI/SHETANI je alimuua nani?

3. ALIPORA MALI ZA WATU je JPM alipora mali za kina nani na kwa njia gani?tafazal iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke

4. DICTATOR UCHWARA je udictator wake ni upi? Tuwekane sawa iki tujue kwa undani maana kuna watu ukitaja jina la JPM anaweza kukuzaba kibao
Wale wote wanamsingizia hizo tuhuma wana upungufu wa akili au wana mtindio wa ubongo, yaani ni machizi au ni watu waliochanganyikiwa wenye laana, yaani ni lile kundi la watu wasio kuwa na material ya kawaida kwenye ubongo yaani kichwani hawana kabisa ubongo wa akili mradi mwili wanao tu na tundu la mdomo la kuropokea
 
Hivi aliyekuwa Waziri wa Fedha si yupo kwa nini isifunguliwe kesi mahakamani ili tusikie ushahidi kamilifu sio hizi ngonjera za kwenye kijiwe cha kahawa.
Hilo halitatokea. Ila kwa Tsh 1.5 Trillion ni dhahiri zililiwa na ndiyo sababu Serikali kilishindwa kuzi account na kutoa maelezo ya uongo eti Billion 250 zilipelekwa Zanzibar huku wakijua kabisa siyo kweli.
 
Kuna mabaloni (pichani) zaidi ya 20 noti yalikutwa ndani kwake baada ya kifo chake.

View attachment 2558558

CAG wa wakati huo alibaini trilioni 1.5 zimechukuliwa na rais.

Rais juzi juzi tu hapa ameutangazia umma kuwa fedha za plea bargaining zinefichwa China kwenye akaunti binafsi. Jiwe alikuwa mwizi
Kwenye masuala ya pesa za serikali, aA
aliyekuwa waziri wa fedha yupo aulizwe. Lazima mjue aliyekufa ni mmoja tu. Serikali nzima ipo
 
Na points zako umezisahau?
Majibu utakayo pewa ni haya hapa
  • hujui kitu
  • huna uelewa wa kutosha
  • hayajakukuta
  • mkombozi wetu lissu kapigwa risasi 16
  • taarifa ya CAG
  • kimbunga cha sijui wapi, bukoba uko
ni points ambazo wamewekwa nazo wanazirudia rudia, wanarudia kwa sababu hakuna nyingine walizonazo
 
Mzee bando nanua mwenyewe sipewi kama nyie,mnavyopewa kama ujira wenu ili mshinde mnaangalia insta na kutoa lugha za matusi humu,Nasoma kichwa cha habari cha mleta Uzi naelewe,Nafata mkutasari wake naelewa alafu napitia comments kadhaaa pia nazo naelewa.
Bando langu nalipata kwa Jasho langu na nalifanyia kazi vizuri kabsaaa humuu.
Mimi ninunuliwe bando? Nadhani huelewi unachosema, anyway bundle kuwa Yako au Ya Sukuma gang haimaanishi kuwa ni sahihi kuwaita wengine mashoga
 
Itachukua mda sana chato team kurudi madarakani, inabidi tuzoee,, binafsi nazimis sana hotuba machachari za jpm,, maana nilikua nacheka sana,,
Kiufupi hapa duniani marais wote wana mamlaka ya kuua, hata marais wa nchi kama marekani, etc, ukionekana unatishia usalama wa nchi, Rais anaweza kusaini uwe Termed,,
Hayo ni mamlaka wanayo,, sawa huwa inatokea misuse,,
Ila kiufupi mtu anaeitwa Rais, usimchukulie poa,
Leo hii Rais anaweza kuamua mfano mwanza aigawe au aiuze kwa kenya,
Mfano kuna Rais wa urusi aligawa crimea kwa ukraine,, mwingine aliuza hawaii kwa marekani, etc.
Uhuru kenyata ameua waislamu wengi sana huko mombasa, mtu unakuwa Termed kwa amri ya Rais, Extra Judicial Termination
Kuna level ya threat ukifikia wenyewe wanarecomend termination.

Wakikupenda sana watakuonya na ukikaidi utakutana nao hao wenye nchi yao halisi.
 
Unamuambia nani?
Duh, kumbe Gachuma mwanza hotel aliitema..?..!!
Lakini nduguzanguni hii desturi ya kuwaona matajiri ni mabepari si nzuri kwa afya ya uchumi,,
Nyerere alitaifisha majumba mwaka 67,sokoine akakamata matajiri na wenye hela, kwamba ni mabepari na walanguzi,, jpm nae kumbe aliwabana matajirii? [emoji134][emoji848]
 
Hivi siku ile pale Chato, si mlisema mmempumzisha kwa amani au hastahili kupumzika huko alikokwenda na hata duniani pia. Nyie ndio mnaosababisha marehemu atukanwe kila siku humu.
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli, nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia;

1. Ufisadi/Mwizi - Nataka kujua Hayati Magufuli alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe.

2. Muuaji/Shetani - Je, alimuua nani?

3. Alipora mali za watu - Je, alipora mali za kina nani na kwa njia gani? Tafadhali iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele, ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke.

4. Dikteta uchwara - Je, udikteta wake ni upi? Tuwekane sawa ili tujue kwa undani, maana kuna watu ukitaja jina la Magufuli wanaweza kukuzaba kibao.
Tutafika taratibu tu!!
 

Attachments

  • Screenshot_20230320-065508.png
    Screenshot_20230320-065508.png
    318.6 KB · Views: 3
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli, nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia;

1. Ufisadi/Mwizi - Nataka kujua Hayati Magufuli alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe.

2. Muuaji/Shetani - Je, alimuua nani?

3. Alipora mali za watu - Je, alipora mali za kina nani na kwa njia gani? Tafadhali iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele, ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke.

4. Dikteta uchwara - Je, udikteta wake ni upi? Tuwekane sawa ili tujue kwa undani, maana kuna watu ukitaja jina la Magufuli wanaweza kukuzaba kibao.
Hizo ni propaganda tu Boss. Ili watu Fulani Fulani waonekane ni Malaika.

Hata Id Amin aliitwa joka kumbe Hata hakuwa joka
 
Hana lolote huyo Mama yenu, nchi imemshinda,wewe ulishawai ona wapi kiongoz anawambia waizi waibe kwa urefu wa kamba yao, Sasa kuna haja gaji ya kuwepo na Takukuru,mahakama na vyombo vingine vya sheria.
Kama upo karibu nae mwambie hii nchi ni yetu sote sio ya wale wanaolamba Asali na vibaraka wake kama wewe.
Sukuma gang mnalia lia nini? Asiyekuwepo na lake halipo.

Ndugai yuko wapi?
 
Kwenye masuala ya pesa za serikali, aA
aliyekuwa waziri wa fedha yupo aulizwe. Lazima mjue aliyekufa ni mmoja tu. Serikali nzima ipo
Jiwe alikuwa dikteta aliendesha nchi kwa amri zake utadhani familia yake. Ndiyo maana mama anapindua kila baya alillokuwa anafanya ibilisi yule
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli, nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia;

1. Ufisadi/Mwizi - Nataka kujua Hayati Magufuli alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe.

2. Muuaji/Shetani - Je, alimuua nani?

3. Alipora mali za watu - Je, alipora mali za kina nani na kwa njia gani? Tafadhali iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele, ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke.

4. Dikteta uchwara - Je, udikteta wake ni upi? Tuwekane sawa ili tujue kwa undani, maana kuna watu ukitaja jina la Magufuli wanaweza kukuzaba kibao.

Mimi na ushuhuda jinsi Magufuli alivyonifanyia. Kabadilisha lifestyle ya Maisha kisa siasa. Mpumbavu Sana yule ibilisi. Unakubali kudestroy Maisha ya watu kwa sababu hawakuungi mkono?. Ngoja nisiongee mengi, ila siku anakufa nilishukuru Sana na kufurahia maana machungu yangu yamelipwa.
 
Kristo alitukanwa, alikashifiwa, alidhalilishwa (fikiria mpaka kuvuliwa nguo), alitemewa mate, na mwishowe aliuawa,lakini ndiye mkombozi wetu,Naamini Rais Magufuli alikufa akiwa na hakika anakwenda na Bwana Yesu,maana aliimba nyimbo kabla ya kifo chake,,aliwaita Mkuu wa Wakatoliki Kadrinali Pengo,na Mkuu wa Waislam,Mufti alikaa nao kwa ajili ya utakaso wa kiroho,hii ni neema wanaipata wachache na ukiipata basi jua kwamba Mungu alikufanya kuwa mwana na alishakuhesabia haki,hivyo basi atahahakikisha unatakasika kabla ya kwenda kwake.
 
Hivi aliyekuwa Waziri wa Fedha si yupo kwa nini isifunguliwe kesi mahakamani ili tusikie ushahidi kamilifu sio hizi ngonjera za kwenye kijiwe cha kahawa.
Jiwe hakuwa na serikali; mawaziri wake walikuwa kama wafanyakazi wa nyumbani kwake: shamba boys/house girls! Hawakuhusishwa kwenye maamuzi makubwa na ndiyo maana nao walikuwa wanamzungumzia mtu mmoja tu badala ya serikali. Alikuwa na kitchen cabinet ya vijana wake wanaofahamika kwa vitimbi na kufuru nyingi.
 
Back
Top Bottom