Ushahidi wa mazingira na demeanor ya mwendazake uko abundantly.Wataishia kukupa habari za kina Azoli, Lissu, Akwelina, 1.5b Chato, Dotto and alike. Wakikupa ushahidi nitag.
Amini usiamini kama Nchi/serikali ingeamua kuweka tume huru ya kuchunguza na kutoa ripoti, Huyo Mtu amefanya ukatili wa ajabu sana. Alijificha tu kwenye miradi na show off za kuhadaa watu, Lakini alikuwa na ajenda ya kishetani dhidi ya watanzania Fulani.
Kama ulianzisha tume ya makinikia ulishindwaje kuunda tume ya kupotea na kuuawa kikatili kwa Wananchi wako tena katika kipindndi chako?
Pesa za Plea bargaining kama kweli zilikiwq Zina Nia njema, kwanini zikafichwe Nje ya Nchi?
Tuache mengine kama matumizi ya kibabe (mf ununuzi wa ndege) na kesi za uzushi Ili kuangamiza Binadamu wenzio.
Wewe unayetetea hayajakukuta tu, mshukuru MUNGU maana na Wewe Iko siku ungefikiwa!
Ni mpuuzi tu kama huyu niliye mkoti hapa anaweza kutetea!