Je, kuna ushahidi Hayati Magufuli alimuua nani, aliiba nini na alimpora nani hela?

Mwehu kama wewe utajua nini?
 
Akawekeza wap mana sioni utajiri wake huyu mwamba
 
Na Leo ni kitu gani kinawazuiya kuchukua hatua? Kwani hizo mahakama nazo zimekufa? Au waliohusika wote nao wamekufa? Au hiyo jinai imekufa na magufuli?
 
Hayo siyakuuliza tumezulumiwa wavuvi mo alitekwa lisu kapigwa risasi nakamera zilizinwa bilamtuyoyote kuchukuliwa hatuwa kavuruga uchaguzi nakushangaaa mleta mada umefunua mkia wambwa alafu unauliza hili nitundu lanini unataka sisi tujibu lakunyeaaaaa!!!!
 
We unaejitia mjuzi ...wote unao washutumu hawapo.madara I ani hiyo haki ya shoga mwenzio ikowapi?
 
Mpaka leo hakuna aliyekuja na ushahidi?

Ajabu sana
 
Mkuu acha uongo, Mwanza hotel Gachuma ni mpangaji tu.
40bil. Ni dogo sana kwa serikali haiwezi kuteka mtu ety imlazimishe aikopeshe utaratubu wa kukopa upo bayana kwa serikali.
Magufuli alicho kuwa anafanya alikuwa anatuma ma auditors kujua kama pesa unayomiliki inaendana na biashara zako na haufanyi biashara haramu.
 
Kwani umewahi kuona ushahidi wa Botha alimuua nani au Hittler au hata Idd amini dada anayesemekana alikuwa akibeba wazee na kutupa kwa kuwa hawazalishi, je umewahi kuona ushahidi?

Kwani tukisema Rais wa Marekani amemuua Bin Laden au Sadam Hussein unafikiri maanake ni kwamba Rais alionekana ameshika bunduki au bomu na kuua mtu.

Najaribu kukutoa ujinga kidogo kama ukijibidiisha kuelimika🤷‍♀️
 
Waambie ukweli Hawa mapimbi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…